Mkuu, hadi nimeogopa! Kuna siku babe alitoka kazini amechoka ila akanipigia simu, alikuwa amechoka sana ila alinisikiliza story zangu kwa takribani dakika 20!Facts.
Kama mwanaume, ukitoka kazini lazima uweke muda wa kumsikiliza mpenzi wako regardless umechoka au huna mood, sio lazima na wewe uongee, we kazi yako ni kusikiliza tuu, usipomsikiliza kuna mwanaume mwingine atamsikiliza, alaf badae ndo haohao wanakuja kutulalamikia wamechapiwa.
Mtafutie asubuhi mjulie hali ameamkaje,, ongea naye kidogo kuhusu ratiba yake hiyo siku ikoje.Mtu mzima anatakiwa atumaje sms
Context kwako ngumu sanaMtafutie asubuhi mjulie hali ameamkaje,, ongea naye kidogo kuhusu ratiba yake hiyo siku ikoje.
Mchana mcheki muulize anaendeleaje,,
Halafu usiku mtafute muulize siku yake imeendaje kiujumla,, ( mchekeshe kidogo, hapa siwezi kukufundisha namna ya kumchekesha,, utajua mwenyewe)
Siku ambayo mpo free wote mnaweza Kutana na mkafanyiana michezo ya kila aina kuonyeshana mahaba.
NB. NI NGUMU KWA WAPENZI WANAOISHI LIFE STYLE YA AINA HIYO 👆 KUCHOKANA MAPEMA TOFAUTI NA NYIE WATOTO MNAOKESHA KUCHATI SIKU NZIMA AS IF HAMNA MAMBO MENGINE YA KUFANYA.
Kama upo kwa ajili ya kubishana, me sipo kwa ajili hiyo, kama unahitaji kuona huko kumchekesha kwenye chatting, tayari nimeshakujibu kwenye reply ya mwanzo.Context kwako ngumu sana
Tunataka kuona huko kimchekesha kwenye chatting
Inaboa sana kila saa mtu kutuma mimeseji mara apige.Wakuu itifaki imezingatiwa
Katika harakati za mahusiano na mapenzi kuna kitu kimenishinda mpaka najiuliza mnaofanya hivi mnaajenda gani muda wote mnawasiliana
Hivi mwanaume mwenye majukumu ya kazi tu mbali na familia unakuta muda wote ni kuongea na mwanamke wako yes tena mmoja tu simu ikipigwa hata lisaa mnaongea tu, ikikata mnaanza chatting
Sasa najiuliza mnawezaje na mnawasiliana mambo gani muda wote
Kweli kabisa🤣🤣🤣.Na ungeona wanayochat ungeacha kuwaheshimu nakwambia 😂😂
Yani kuna story za ujinga mwingi hamna vya maana 🤣🤣🤣Kweli kabisa🤣🤣🤣.
Aaaarrrrgghhh! Sitaki kukumbuka🤣
AsanteUnajua, mahusiano hayakuzwi na maswali yahusuyo LUKU bado ipo? Nyama kwenye friji vipi? Ile ada ya mtoto imelipwa? Vipi, wazazi uliwatumia hela? and the like. Mahusiano hukuzwa kwa mambo ambayo kwa kuyaangalia, ni UJINGA MTUPU, UCHAFU MTUPU..!! Lakini ndo hayo yanyayojenga..!!
Mbona kwenye hoja ya mkwanza umeweka mfano wa sms si wewe, then hapa tena ukiulizwa mfano wa sms unaita ubishi na blah blah.....BOSS UP NIGA.Kama upo kwa ajili ya kubishana, me sipo kwa ajili hiyo, kama unahitaji kuona huko kumchekesha kwenye chatting, tayari nimeshakujibu kwenye reply ya mwanzo.
Nimekujibu nikakwambia kuhusu mamna ya kumchekesha mwanamke wako, sitokufundisha ( pambana na hali yako/Fight your situation.
Msalim sana habeebWa kwangu akiwa busy tusipowasiliana kutwa nzima tukija kuchat baada ya kazi ni tutakesha kufidia muda wetu wa mchana, story haziishi kwa mtu mnayependana.
Elewa content niliyokueleza hapo, mambo ya mfano wa sms acha kujisumbua kuniuliza maana siwezi kukujibu.Mbona kwenye hoja ya mkwanza umeweka mfano wa sms si wewe, then hapa tena ukiulizwa mfano wa sms unaita ubishi na blah blah.....BOSS UP NIGA.
Mambo yao wachiwe wenyewe...
Ndio nani?Msalim sana habeeb