Hivi mpaka sasa kuna mtu hamwelewi Rais kweli?

Hivi mpaka sasa kuna mtu hamwelewi Rais kweli?

Mimi naona huyu Mama kaletwa na Mungu kuwa Rais for a purpose.

Hebu angalia yafuatayo;

1. Ameondoa retention fee ya loans board kwa wanafunzi ambao tulikuwa tunasuffer kwelikweli. Kila mwaka mkopo ulikuwa unakua whether unafanya kazi au hifanyi. JPM hakufilia kabisa hilo japo inasemekana alikuwa Rais wa wanyonge, sijui wanyonge wepi!

2. Ameongeza pesa ya kujikimu kwa wanafunzi ambapo itakuwa elfu kumi kwa siku kitu ambacho JPM hakitaka kabisa, halafu alikuwa anajiita eti ni Rais wa wanyonge sijui wanyonge wepi hao!

3. Amefuta kabisa udhalilishaji wa kila namna kwa raia wake, mfano kuwepo kwa wasiojulikana kutesa na kuua. JPM hakufikilia kabisa kukomesha hili maana ndio ilikuwa nyenzo yake kuu ya kuwabana watu hususani mahasimu wake binafsi siyo wa nchi. Halafu eti alikuwa Rais wa wanyonge, sijui wanyonge wepi hao!

3. Limebaki suala moja tu nalo ni suala la muda na mtambuka tu ambalo ni ongezeko la bei ya vyakula ambapo I'm sure hata Mama linamuuma lakini kuna external factors nyingi sana ila litaisha tu.

4. Mwisho hongera Mama na Mungu akujalie uzidi kudumu katika hekima. Sasa hivi ajira bwerere. JPM alimaliza ajira zote eti miradi na ndege ambazo zipo zote ICU.
Malengo yake ni yapi?

Maana naona anaendesha nchi Kama Rais wa mpito tu.
 
Malengo yake ni yapi?

Maana naona anaendesha nchi Kama Rais wa mpito tu.
Malengo yake ni kuongoza raia siyo kuongoza mbuzi kama jpm aliyekuwa anaswaga tu kama mbuzi. Sera zake zipo clear sana kuongeza pato la taifa kwa kuongeza wigo wa vyanzo kama utalii, kilimo, nk. Kupromote demokrasia ambayo ni chachu ya maendeleo endelevu nk. Kama hujui mana ya kuongoza hutaona badala yake utaona kuongoza ni kuua raia kama alivyokuwa anafanya jpm kwa raia kama bensaanane nk
 
Mimi naona huyu Mama kaletwa na Mungu kuwa Rais for a purpose.

Hebu angalia yafuatayo;

1. Ameondoa retention fee ya loans board kwa wanafunzi ambao tulikuwa tunasuffer kwelikweli. Kila mwaka mkopo ulikuwa unakua whether unafanya kazi au hifanyi. JPM hakufilia kabisa hilo japo inasemekana alikuwa Rais wa wanyonge, sijui wanyonge wepi!

2. Ameongeza pesa ya kujikimu kwa wanafunzi ambapo itakuwa elfu kumi kwa siku kitu ambacho JPM hakitaka kabisa, halafu alikuwa anajiita eti ni Rais wa wanyonge sijui wanyonge wepi hao!

3. Amefuta kabisa udhalilishaji wa kila namna kwa raia wake, mfano kuwepo kwa wasiojulikana kutesa na kuua. JPM hakufikilia kabisa kukomesha hili maana ndio ilikuwa nyenzo yake kuu ya kuwabana watu hususani mahasimu wake binafsi siyo wa nchi. Halafu eti alikuwa Rais wa wanyonge, sijui wanyonge wepi hao!

3. Limebaki suala moja tu nalo ni suala la muda na mtambuka tu ambalo ni ongezeko la bei ya vyakula ambapo I'm sure hata Mama linamuuma lakini kuna external factors nyingi sana ila litaisha tu.

4. Mwisho hongera Mama na Mungu akujalie uzidi kudumu katika hekima. Sasa hivi ajira bwerere. JPM alimaliza ajira zote eti miradi na ndege ambazo zipo zote ICU.
Hapo Namba moja nimemuelewa sana.Ameniokolea 8m.
Mungu amjaalie maisha marefu na Afya njema
 
Washalamba asali wote. Tumebaki wachache
Haku mwanaume mwoga wewe. Kama siyo mwoga kwa nini hujitokezi. Jpm alimshambia lisu kwa masasi 32 lakini bado haogopi akaja kugombea urais lakini mitanzania kama wewe ikaufyata hata kulaani kitendo kile. Sasa kama watanzania hamjitambui mnataka nani awasemee
 
Mkuu hata ukimtoa huyo Magufuli bado matatizo makubwa ya hii nchi iliyo chini ya serikali ya ccm ni yaleyale tu kwa miaka yote hii, mpaka sasa washapita marais watano ni ajabu kuanza kupima rais bora kwa mapungufu ya Magufuli na wala Samia hakuwekwa hapo ili kulinganishwa na Magufuli na hasa ikiwa tunaona Magufuli alikuwa Magufuli alikuwa rais wa hovyo basi kwa Rais Samia kumlinganisha na Magufuli ndio maana tunamuona ni Rais bora kutokana na anacholinganishwa nacho. Kwamba Magufuli alizuia mikutano ya kisiasa Samia akaombwa akaruhusu basi inamfanya kuwa Rais bora na kila atakachofanya kinamfanya tuone kafanya kw kuwa ni rais bora, ila kama tukimlinganisha na marais wengine tofauti na Magufuli au marais wa Tanzania kabisa pengine tungemuona ni rais wa kawaida tu.
Kubisha ni kipaji chako hasa kwa kuwa wewe unamuona magufuli kama mungu wenu. Narudia tena Raise Samia ni mpango wa Mungu
 
Hakika umenena vyema sasa mchele ni elfu tatu kilo! Hakika mama anafungua nchi
 
Mkuu hata ukimtoa huyo Magufuli bado matatizo makubwa ya hii nchi iliyo chini ya serikali ya ccm ni yaleyale tu kwa miaka yote hii, mpaka sasa washapita marais watano ni ajabu kuanza kupima rais bora kwa mapungufu ya Magufuli na wala Samia hakuwekwa hapo ili kulinganishwa na Magufuli na hasa ikiwa tunaona Magufuli alikuwa Magufuli alikuwa rais wa hovyo basi kwa Rais Samia kumlinganisha na Magufuli ndio maana tunamuona ni Rais bora kutokana na anacholinganishwa nacho. Kwamba Magufuli alizuia mikutano ya kisiasa Samia akaombwa akaruhusu basi inamfanya kuwa Rais bora na kila atakachofanya kinamfanya tuone kafanya kw kuwa ni rais bora, ila kama tukimlinganisha na marais wengine tofauti na Magufuli au marais wa Tanzania kabisa pengine tungemuona ni rais wa kawaida tu.
Ni sahihi kabisa
 
Kubisha ni kipaji chako hasa kwa kuwa wewe unamuona magufuli kama mungu wenu. Narudia tena Raise Samia ni mpango wa Mungu
Mimi sijui mipango ya Mungu nachojua mipango ya Mungu anaijua mwenyewe Mungu, sasa ndugu ushabiki wako kwa Samia inakufanya udai kujua hadi mipango ya Mungu.
 
Nategemea vijana tumwelewe kwa wingi na tumuunge mkono.
 
Mimi naona huyu Mama kaletwa na Mungu kuwa Rais for a purpose.

Hebu angalia yafuatayo;

1. Ameondoa retention fee ya loans board kwa wanafunzi ambao tulikuwa tunasuffer kwelikweli. Kila mwaka mkopo ulikuwa unakua whether unafanya kazi au hifanyi. JPM hakufilia kabisa hilo japo inasemekana alikuwa Rais wa wanyonge, sijui wanyonge wepi!

2. Ameongeza pesa ya kujikimu kwa wanafunzi ambapo itakuwa elfu kumi kwa siku kitu ambacho JPM hakitaka kabisa, halafu alikuwa anajiita eti ni Rais wa wanyonge sijui wanyonge wepi hao!

3. Amefuta kabisa udhalilishaji wa kila namna kwa raia wake, mfano kuwepo kwa wasiojulikana kutesa na kuua. JPM hakufikilia kabisa kukomesha hili maana ndio ilikuwa nyenzo yake kuu ya kuwabana watu hususani mahasimu wake binafsi siyo wa nchi. Halafu eti alikuwa Rais wa wanyonge, sijui wanyonge wepi hao!

3. Limebaki suala moja tu nalo ni suala la muda na mtambuka tu ambalo ni ongezeko la bei ya vyakula ambapo I'm sure hata Mama linamuuma lakini kuna external factors nyingi sana ila litaisha tu.

4. Mwisho hongera Mama na Mungu akujalie uzidi kudumu katika hekima. Sasa hivi ajira bwerere. JPM alimaliza ajira zote eti miradi na ndege ambazo zipo zote ICU.
Asiye muelewa rais mpaka sasa huyo ni zuzu yani ...tuna muelewa vizuri sana kuwa ni KIBARAKA WA GENGE LA WAHUNI NA TEAM MSOGA ...TUNAMWELEWA WAZI WAZI KUWA KWAKE UZALENDO NI MAFIII ....TUNAMWELEWA KUWA YUPO NA LEGASI YA KUNYA AKILI NA KUBAKISHA [emoji117][emoji90] KICHWANI
 
Pigo za Samia
tbc_online_1677090008636231.jpg
tbc_online_1677090008636944.jpg
tbc_online_1677090008636463.jpg
tbc_online_1677090008636518.jpg
tbc_online_1677090008635555.jpg
20230217_075946.jpg
 
Ishu namba 1 inanihusu.
Nilifurahi sana baada ya retention fee kuondolewa,
Kwa kufanya hivyo, mheshimiwa rais aliniondolea deni la milioni takribani 5.
From the heart,LIVE LONG MY PRESIDENT.
 
Mimi naona huyu Mama kaletwa na Mungu kuwa Rais for a purpose.

Hebu angalia yafuatayo;

1. Ameondoa retention fee ya loans board kwa wanafunzi ambao tulikuwa tunasuffer kwelikweli. Kila mwaka mkopo ulikuwa unakua whether unafanya kazi au hifanyi. JPM hakufilia kabisa hilo japo inasemekana alikuwa Rais wa wanyonge, sijui wanyonge wepi!

2. Ameongeza pesa ya kujikimu kwa wanafunzi ambapo itakuwa elfu kumi kwa siku kitu ambacho JPM hakitaka kabisa, halafu alikuwa anajiita eti ni Rais wa wanyonge sijui wanyonge wepi hao!

3. Amefuta kabisa udhalilishaji wa kila namna kwa raia wake, mfano kuwepo kwa wasiojulikana kutesa na kuua. JPM hakufikilia kabisa kukomesha hili maana ndio ilikuwa nyenzo yake kuu ya kuwabana watu hususani mahasimu wake binafsi siyo wa nchi. Halafu eti alikuwa Rais wa wanyonge, sijui wanyonge wepi hao!

3. Limebaki suala moja tu nalo ni suala la muda na mtambuka tu ambalo ni ongezeko la bei ya vyakula ambapo I'm sure hata Mama linamuuma lakini kuna external factors nyingi sana ila litaisha tu.

4. Mwisho hongera Mama na Mungu akujalie uzidi kudumu katika hekima. Sasa hivi ajira bwerere. JPM alimaliza ajira zote eti miradi na ndege ambazo zipo zote ICU.
Ha ha ha ha a wajinga hawataisha Duniani wanazeeka na wengine wanazaliwa
 
Rais huyu ni mysterious. That is the greatest problem na rais huyu.
 
Mimi naona huyu Mama kaletwa na Mungu kuwa Rais for a purpose.

Hebu angalia yafuatayo;

1. Ameondoa retention fee ya loans board kwa wanafunzi ambao tulikuwa tunasuffer kwelikweli. Kila mwaka mkopo ulikuwa unakua whether unafanya kazi au hifanyi. JPM hakufilia kabisa hilo japo inasemekana alikuwa Rais wa wanyonge, sijui wanyonge wepi!

2. Ameongeza pesa ya kujikimu kwa wanafunzi ambapo itakuwa elfu kumi kwa siku kitu ambacho JPM hakitaka kabisa, halafu alikuwa anajiita eti ni Rais wa wanyonge sijui wanyonge wepi hao!

3. Amefuta kabisa udhalilishaji wa kila namna kwa raia wake, mfano kuwepo kwa wasiojulikana kutesa na kuua. JPM hakufikilia kabisa kukomesha hili maana ndio ilikuwa nyenzo yake kuu ya kuwabana watu hususani mahasimu wake binafsi siyo wa nchi. Halafu eti alikuwa Rais wa wanyonge, sijui wanyonge wepi hao!

3. Limebaki suala moja tu nalo ni suala la muda na mtambuka tu ambalo ni ongezeko la bei ya vyakula ambapo I'm sure hata Mama linamuuma lakini kuna external factors nyingi sana ila litaisha tu.

4. Mwisho hongera Mama na Mungu akujalie uzidi kudumu katika hekima. Sasa hivi ajira bwerere. JPM alimaliza ajira zote eti miradi na ndege ambazo zipo zote ICU.
Na amesema analeta na Katiba Mpya wasiotaka wahame nchi.

Mimi namwelewa sana.
 
Back
Top Bottom