Hivi mpaka sasa kuna mtu hamwelewi Rais kweli?

Hivi mpaka sasa kuna mtu hamwelewi Rais kweli?

Ifike muda tumlinganishe Rais Samia na marais wa nchi zengine.
 
Hapo kwenye kuletwa na mungu ndo umenitoa tongotongo, kumbe miungu ndo huwa inahusika kuwaleta hawa wakubwa, acha mimi niendelee na huyu Mungu wangu mwenye enzi.
Anaewatawalisha viongozi kati ya waja wake ni allah, anaeamua bei ziwe juu au chini ni allah anaeamua mwaka huu chakula kiwe kingi au kidogo ni allah, na yote haya hufanywa kutokana na matendo ya watu husika, mkienda kinyume mnaletewa balaa mkienda vyema mnaneemeshwa.
 
Nategemea vijana tumwelewe kwa wingi na tumuunge mkono.
Kwa kitendo cha kuwa ananunua magoli ya simba na yanga, hakika vijana mashabiki wa simba na yanga lazima wamuelewe mama maana Magufuli sidhani kama aliwahi kufanya kitu kizuri kama hicho.
 
Hata sisi wapigaji ambao tulikimbizwa mjini na kile chuma cha chato sasa tumepata ahueni na tumesharejea mjini kama Mzee Yusufu, tayari kuwaumiza.
 
Hata sisi wapigaji ambao tulikimbizwa mjini na kile chuma cha chato sasa tumepata ahueni na tumesharejea mjini kama Mzee Yusufu, tayari kuwaumiza.
Hakika Rais Samia ni mpango wa mungu.
 
Back
Top Bottom