Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sitaki.Dogo mhuni tulia na mimi dear
Umenikataa leo mbele ya kadamnasi hii ya JF? Watu karibia la laki sita? Kwanini usingekuja kunikatalia gheto?Sitaki.
Acha bhangi🤔Umenikataa leo mbele ya kadamnasi hii ya JF? Watu karibia la laki sita? Kwanini usingekuja kunikatalia gheto?
Inategemea ila ke wangu aje gheto wiki nzima nisimbandue? Labda awe mgonjwa sana.Vipi kwa upande wako, ni ngumu ?😁
Baby usinikatae haraka haraka hivyo utamiss mambo matamuAcha bhangi🤔
Namtaka mdogo wako🙄Baby usinikatae haraka haraka hivyo utamiss mambo matamu
Piga shoo kijana asiondoke bila kuuchezea hata kamoko si haba😂😂 Hua namjegeja ila mara moja moja namuacha
Yani siku hiyo mkuu hauzungumzii kabisa ishu za sex.. Una act kama vile hicho kitu hakipo 😂Kama kaja kwa shida zake sio sawa, ila kama ulimpanga ni muhimu kumuomba
Ila kama hautaki kumgusa kwa sababu ya ugentleman na kuonekana hauna papara ni bora usimguse kabisa
Mademu wengi hawapendi upige touch halafu usimbutue hata kama ameonesha kila dalili ya kukataa
Hivyo ukianza safari hata kama masihara hakikisha unaimaliza,
maana ukiwaacha na mizuka hata kama alijifanya kukataa katakata huwa inawakera sana
Rule ni moja tu, usipotaka piga nae stori
Ukilianzisha hakikisha unamaliza
Na akikupea nyoosha goti kweli kweli, ukiyumba tu ni ngumu sana kumrejesha maana hawa viumbe kama huna hela first impression ndio kila kitu😂
Si unaona nilikuwa nimetulia zangu zimeletwa mada za minyanduano 🤣Uchungaji tutaufikia kweli?🤔
Usijali mtumishi! Nitafanya toba kwa ajili yako ila usirudie tenaSi unaona nilikuwa nimetulia zangu zimeletwa mada za minyanduano 🤣
Naam unachambua tu mkataba wa bandari na masuala ya Ngorongoro😂😂Yani siku hiyo mkuu hauzungumzii kabisa ishu za sex.. Una act kama vile hicho kitu hakipo 😂
Sawa kwakuwa unakuja kwetu hamna shida. Wachaga huwa wake tunawaacha kwa Mamndenyi basi mimi nitakuja kurutubisha shamba akizaliwa mtoto ni wakwetu. Huwa hatukatai watoto.Namtaka mdogo wako🙄
Kwa nnavyojua kwa ujana na pisi ikawa inakuelewa show zako itataka tu hata kama hakuja kwa nia hiyo.Unakuta mpo karibu sana , Almost unaweza ukakachapa siku tatu mfululizo
Yanne huwezi ukakaacha