Hivi Mungu aliwaza nini mpaka akaamua kututupia Ibilisi duniani!

Umefafanua vizuri sana mkuu, hakika upo positive mno. Binafsi kuna kitu nimejifunza kwenye comment yako hii Barikiwa.
 
Hii ndio maana ya ujio wa Kristo Yesu kuondoa hasira ya Mungu kwa wanadamu ili kuwe na upatanishi. Na baada ya kristo adhabu za moja kwa moja zilikomeshwa.
 
Mungu kwanini asimwangamize shetani ili na sisi tupumzike na haya mateso???
 
Hakuna pepo ya mteremko tufanye Ibada! We ulitaka uzaliwe,Ufe kisha Uende peponi Kirahisi rahisi Tu....Fanya ibada ukimshinda Ibilisi pepo Inakusubiri.
 

asante sana kwa elimu hii
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Tenda mema usipigwe moto.
alafu siku ya kiama unapigwa moto na uyo ibilisi,wengine hatumjui hata anafananaje.kwa kweli hao kina adam angemalizana nao uko eden sio kutuuzia kesi yao ambao hatukuepo
 
Hii sirediiiiiiiiiii au ngoja kwanza
πŸ€”πŸ€”πŸ€”πŸ€”πŸ€”πŸ€”πŸ€”πŸ€”πŸ€”πŸ€”πŸ€”πŸ€”πŸ€”
 
Ulishamuona ibilisi wewe?
 
hii ni kwa mujibu wa kitabu gani? kwenye quran imeandikwa ibilisi aliambiwa amsujudie adam (abaa wastakbar) akakataa na akafanya kiburi ndipo Mungu akakasirika akamtupa duniani
Ibilisi alitupwa duniani kabla ya kuumbwa Kwa Adam
 
Unapata wapi ujasiri wa kumlaumu Mungu hivi kweli sisi binadamu ndo wakumlaumu Mungu kweli Aiseeee tumefika mbali


Note Mshukuru Mungu kwa kila Jambo
 
hii ni kwa mujibu wa kitabu gani? kwenye quran imeandikwa ibilisi aliambiwa amsujudie adam (abaa wastakbar) akakataa na akafanya kiburi ndipo Mungu akakasirika akamtupa duniani
Manake Adam na shetani walikuwapo mbingu kabla ya uasi?!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…