Hivi Mungu yupo au ni mipango ya watu kujipatia ajira na pesa?

Hivi Mungu yupo au ni mipango ya watu kujipatia ajira na pesa?

Huna akili, thibitisha kama unazo. Usipothibitisha hupaswi kujibiwa
To me, common sense, logic, imagination, rational thinking, intuition ànd high power mental reasoning negates the existence of God!

Nasubiri matusi of all kinds, but from an educated mind? Without violating my rights to think otherwise!

Usiku mwema!
 

Zaburi 53:1 SRUV​

Mpumbavu husema moyoni, Hakuna Mungu; Ni wafisadi, na wametenda mambo ya kuchukiza, Hakuna atendaye mema.
 
So many like you may not understand!
Only very few folks , who are awake to what is happening here on earth can relate.
Majority of the people are asleep and do not have idea of what is being prepared by the foot soldiers of the Lawless one .
 
Ikiwa kila mwenendo wa jambo lolote huingizwa na nadharia au kanuni basi hata dunia yupo anayemiliki.

Jua,mwezi na vyote vilivyomo Mungu ndiyo aloviumbe pili maisha ya binadamu yalivyopangiliwa utagundua hilo,mfano

Umeanza kwa kunyonya kwa mama ako ambapo hujui maziwa yamezalishwaje,ukaanza kitambaa na kutembea mpk kirefuka na kupata riziki yako hivi bado hakuna anayesimamia yote haya??
Nimeanza kunyonya kwa mama yangu na ninajua maziwa yanapitikana vipi..
 
To me, common sense, logic, imagination, rational thinking, intuition ànd high power mental reasoning negates the existence of God!

Nasubiri matusi of all kinds, but from an educated mind? Without violating my rights to think otherwise!

Usiku mwema!
Mkuu umefanya nitafakar kitu.
Binafsi naamini hatumjui MUNGu.
wengi wetu hatujui MUNGU ana operate namna gani.

na ndicho kitu kinachotutofautisha sisi binadamu, utasikia kuna watu wa jamii za siri.
mimi naamini kuna mengi wacheche wamefunuliwa.

mkuu kunahaja kubwa yakufuta yale yoote tuliojifunza kama watumwa nakuanza kujifunza mambo ambayo hawakutaka tujifunze.
 
Mungu yupo ndie atulindaye na kutuepusha na majanga kila siku. Tumshukuru na tumsujudie yeye aliye Juu🙅🙅
 
So many like you may not understand!
Only very few folks , who are awake to what is happening here on earth can relate.
Majority of the people are asleep and do not have idea of what is being prepared by the foot soldiers of the Lawless one .
NAKAZIA, kuna balaa linakuja.
 
Mkuu umefanya nitafakar kitu.
Binafsi naamini hatumjui MUNGu.
wengi wetu hatujui MUNGU ana operate namna gani.

na ndicho kitu kinachotutofautisha sisi binadamu, utasikia kuna watu wa jamii za siri.
mimi naamini kuna mengi wacheche wamefunuliwa.

mkuu kunahaja kubwa yakufuta yale yoote tuliojifunza kama watumwa nakuanza kujifunza mambo ambayo hawakutaka tujifunze.
Inapohusu kumjua Mungu sidhani kama kuna source outside the bible and creation..
 
mungu yupo mkuu ila mm siamini katika dini yoyote, siamini kabisa kitabu chochote cha dini, siamini uwepo wa mitume na manabii coz hata kina mwamposa hii miujiza yao ya kutumia script baada ya miaka 500 ama 1000 huko kutakuwa na stori zingine kabisa
 
Una makosa makubwa sana kwamba hadi umefikia hatua hii bado hujaweza kujua kama Mungu yupo au hayupo.

Kwa stage hii uliyopo sasa, ulitakiwa uwe taryari umeshahakikisha kama aidha Mungu yupo au hayupo na hivyo hukutakiwa tena kuuliza swali la namna hii
Hv kwa nini mtu akiuliza swali kuhusu uwepo wa Mungu mnakuja kumtisha ,
 
Back
Top Bottom