Hivi mwanaume anapata nini kwenye ndoa kiasi kwamba ajutie kutokuwa na ndoa. Je, ndoa kwa Dunia hii ni muhimu kuliko pesa

Wewe ni binadamu muongo zaidi kuwahi kukushuhudia.Ndoa ipi ilete utulivu?
Maisha ya furaha kwa mwanaume uisha mara tu anapooa.
Ukipata vihelaa ukala ukashiba utaelewa utulivuu gani anazungumziaa ilaa Kama unaamka asubuhi hujui utakulaa nini bhasi akili yako bado haiitaji utulivu unaosemwaa pambana...
 
Wewe ni binadamu muongo zaidi kuwahi kukushuhudia.Ndoa ipi ilete utulivu?
Maisha ya furaha kwa mwanaume uisha mara tu anapooa.
Ndoa unaleta utulivu sio ndoa zenu hivi nyote vicheche mshapakuana vya kutosha ndio mnafunga ndoa...

Marriage was not meant for adulteries...
 
Nipo ndani ya Miaka 20 Sasa, nafurahia familia yangu. Japo sio Tajiri. Pia natekeleza Imani yangu nisi Dhini yaani nakula kilichochinjwa
Hao Uliowataja Sio Manabii, ni kosa kukaa na Mwanamke Bila Kuoa.
 
Wewe kama unaoa wewe oa usitupigie kelele
 
Usiongee usichokijua
dhamana ni haki ya mtuhumiwa.
 
stephot Cook brother
 
Uongo.... don't expect anything from a woman wengi wamelia sana
 
Kuna siku nilitoa point kama hii walinipopoa kuwa na waza kuumwa tu
 
Kataa ndoa wana kwepa majukumu ktk familia hakuna kingine. Ni wana akiri za kitoto na hawa pendi kuwajibika ktk jamii.
 
Mbona watu wanaishi na mama na watoto wao na hawana ndoa? Au mimi ndio sielewi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…