Hivi na umri ulionao bado unaendeshwa na mapenzi?

Ivi mtu anatesekaje na mapenz? Me nahic wanaoteseka na mapenz ni wale majobless t [emoji23][emoji16] mtu anaejishughulish na kutafuta hela kwel asa mapenz hayana nafas kubwa kwake
[emoji23] [emoji23] Wale wakina mwafulani walikua majobless? Hii kitu achana nayo kama wewe hayajakukuta mazito shukuru sana na omba sana yasikukute mana sio poa yaani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…