Hivi na umri ulionao bado unaendeshwa na mapenzi?

Hivi na umri ulionao bado unaendeshwa na mapenzi?

Ivi mtu anatesekaje na mapenz? Me nahic wanaoteseka na mapenz ni wale majobless t [emoji23][emoji16] mtu anaejishughulish na kutafuta hela kwel asa mapenz hayana nafas kubwa kwake
[emoji23] [emoji23] Wale wakina mwafulani walikua majobless? Hii kitu achana nayo kama wewe hayajakukuta mazito shukuru sana na omba sana yasikukute mana sio poa yaani.
 
Back
Top Bottom