Sababu ni mabadiliko ya tabia nchi..watu hawana afya pia hula vi batili...ukipiga mtu kofi anaweza kuzimika jumla..sasa kifuatacho......Nakumbuka miaka ya 80-90 ilikuwa jambo la kawaida kukuta jamaa wanapigana mitaani halafu watu wanashangilia sana.
Yaani ukiwa mtemi au gangwe basi unaonekana wa maana sana. Hata baadhi ya disco ilikuwa lazima ziishe kwa ngumi.
Kwa wale wa Iringa mtawakumbuka kina cool 9, shedadi, Ray nk
Yeah!, cool 9!, Na Hayati, umenikumbusha mbali Sana!, siku moja cool 9 alizinguana Na mzee mmoja dereva wa Lori la mafuta mtaani kwetu, alikura risasi ya bega, ikawa stori ya mjini, sisi wenyewe wakati tunakua tulikuwa Na kitu inaitwa "UWANJA WA DAMU", mkibishana buti Tu ya kwenye soka Kila kitu kinasimama tunelekea uwanja wa damu kwa pambano moja, lakini huko yatazuka mengine hata zaidi ya 10, mzunguko ukiisha wote mlioenda Kama watazamaji mnajikuta mmezipiga, ili usipigwe kubali unyonge mapemaaa!, ila ndio utachekwa mpaka Na wasichana( Na hapo ndipo mtoto wa kiume anapofanya maamuzi magumu), Siku hizi, kupigana Tu hadharani wote mnashitakiwa, Na watu wanajua Sana sheria, "hata kuitanana bwege Tu!, ........!.Nakumbuka miaka ya 80-90 ilikuwa jambo la kawaida kukuta jamaa wanapigana mitaani halafu watu wanashangilia sana.
Yaani ukiwa mtemi au gangwe basi unaonekana wa maana sana. Hata baadhi ya disco ilikuwa lazima ziishe kwa ngumi.
Kwa wale wa Iringa mtawakumbuka kina cool 9, shedadi, Ray nk
Ulikuwa Hawafu mwenye nguvu mkuu.... Uliandika Kitabu?Mleta mada unanikumbusha mbali sana 1981 ama 1982 kama sijakosea kuna dogo flan aliingia anga zangu kijijin huko mbarali kwa kumtongoza mchepuko wangu. Nilitembeza vitasa kijiji kizima kwa madogo wote wenye umri kama wake. Maumiv makal sana niliwakabiz kwa kosa la mtu mmoja. Yan nilikuwa na bwaka nikiibuka 10 ardhin nikizama nikichomoza 20 wengine chali. Nikamchukua dogo mwengine mwembamba hiv nikamtumia kama fimbo kwa kuwacharaza. Ila kwasasa nimejikita zaid kusaka hela uzee nao ndio huo. Ila miaka iyo ya themanini nilikuwa mtemi sana
~~~>>Umenikumbusha miaka kadhaa nyuma..
Siku moja nilijifanya mtata... Nikamchokoza jamaa mmoja hivi..Alikuwa na kidemu chake nikawa natafuta Ujiko...
Jamaa akanipiga ngumi moja ya pua... Sijakaa sawa akanipa moja ya Sikio.. Hapo nikiangalia mbele sioni
Jamaa anaendelea kutupia ngumi.... Nikaona Izrael ananisogelea.. Nikataka kukimbia wapambe wananizuia... Wanashangilia ninavyokula ngumi
Jamaa akanifumua ngumi moja Juu ya Sikio..... Hapo damu zikaanza kutoka... Akili zika kaa sawa
Nikaona hapa nakufa....Nikajikaza... Nikaelekeza nguvu zote kichwani.... Nilimtandika kichwa kimoja cha Kujitoa mhanga.... Jamaa akapepesuka nikapata Upenyo wa kukimbia
Nilitoka Speed ambayo hata wangenikimbiza na Piki piki wasingenikamata
NB:
Ila jamaa alinifumua.
mhhhh, wanakijiji walikuwa wanajua lugha kweli?Miaka niliwahi kutembeza kichapo kijiji kizima mpaka wakaniita King of the Village.
Kijijini kwetu kulikuwa na Wasomi toka mwanzoni mwa Karine ya 19.mhhhh, wanakijiji walikuwa wanajua lugha kweli?
Mleta mada unanikumbusha mbali sana 1981 ama 1982 kama sijakosea kuna dogo flan aliingia anga zangu kijijin huko mbarali kwa kumtongoza mchepuko wangu. Nilitembeza vitasa kijiji kizima kwa madogo wote wenye umri kama wake. Maumiv makal sana niliwakabiz kwa kosa la mtu mmoja. Yan nilikuwa na bwaka nikiibuka 10 ardhin nikizama nikichomoza 20 wengine chali. Nikamchukua dogo mwengine mwembamba hiv nikamtumia kama fimbo kwa kuwacharaza. Ila kwasasa nimejikita zaid kusaka hela uzee nao ndio huo. Ila miaka iyo ya themanini nilikuwa mtemi sana