KakaJambazi
JF-Expert Member
- Jun 5, 2009
- 18,804
- 12,227
Tatizo lipo utakuta kuna member humu wao ni matusi kwenda mbele lakini nao wanapewa hiyo hadhi ya mkuu.
Mbona Kapuya, Nkamia, kibajaji, Mwigulu wanaitwa waheshimiwa?!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatizo lipo utakuta kuna member humu wao ni matusi kwenda mbele lakini nao wanapewa hiyo hadhi ya mkuu.
Hapo sasa!!Mbona Kapuya, Nkamia, kibajaji, Mwigulu wanaitwa waheshimiwa?!
Hivi hata wadada wanaitwa 'wakuu'?
Basi kama ni hivyo tulitendeeni haki hili jina mkuu,kimaneno na matendo yetu yawe ya kistaarabu sio Mtu anakuita Mkuu na mwisho anamalizia Mkuu wewe ni --------,Mkuu wewe ni PUNGA,Mkuu wewe ni Mburula.
Sasa heshima ya Ukuu iko waph?
Mbona Kapuya, Nkamia, kibajaji, Mwigulu wanaitwa waheshimiwa?!
ndio mkuuHivi hata wadada wanaitwa 'wakuu'?
Habari zenu wakuu!
Mkuu hiyo ID yako nimeitamka mra 4 but nimeishia kuharibu ulimi tu mkuu, hii inaonesha ulisajilia Malensia.
Horse Shoe Arch,vizuri umefafanua kwa kina juu ya ukuu wa Jf.
Kwakua hata uchangiaji,busara,hekima na ukongwe wa kujiunga na Jf unaonaje kukawa clasfications za huu ukuu wetu.
Inakuaje mtu amejiunga jf miaka 7 nyuma aitwe mkuu na huyu alojiunga jana au leo nao waitwe wakuu?
Asante sana mkuuNdio mkuu
Mimi ni mdada na ni mkuu
ndio mkuu
Asante sana mkuu
Mkuu isihofu huo wasifu wa mtu,hujawahi kutana na mtu anamsifia mwenzake kwa vionjo vya matusi mfano k¤m~.#ke Kaseja noma kapungua ile penati,hapa Kaseja kacheza fresh ila hilo tusi sijui ndio msisitizo..Basi kama ni hivyo tulitendeeni haki hili jina mkuu,kimaneno na matendo yetu yawe ya kistaarabu sio Mtu anakuita Mkuu na mwisho anamalizia Mkuu wewe ni --------,Mkuu wewe ni PUNGA,Mkuu wewe ni Mburula.
Sasa heshima ya Ukuu iko waph?
ni kweli mkuu, mkuu ni MUNGU, ila kwakua sisi ni mfano wake basi si vibaya kuitana wakuu
kwahioo Heaven on Earth ni mkuu kiti maalumu!!/?