Hivi ni kwanini tunapenda kuitana "Mkuu"?

Hivi ni kwanini tunapenda kuitana "Mkuu"?

Kule forum ya Tech hili jina ndo linatumika effectively, kwa sababu hakuna kuuumbuana kama wana siasa zaidi ya kuombana maujanja ya technologia

Thanks kwa Mkuu paje na IDM yake plus TG

Thanks kwa mkuu njunwa mavoko na Mwl wazee wa PD Proxy


hahaaaaaaaa

Kweli tena kule tech ndio mpango hamnaga mipasho,
 
Wakuu mnajua mkuu aliyeanzisha neno mkuu ili mkuu aliyeuliza swali amfahamu mkuu huyu,mkuu jitokeze bhana
 
Hili neno tumelizoea vibaya! Mi nishamwitaga houseboy wangu "Mkuu" hakunielewa hata kidogo.
 
Wakuu,
yaan najiuliza ni nani aliyeanzisha kutumia neno hili hapa Jf. Yaani linasuit ile kwa sana kuliko kumuadress mtu kwa id yake, it was very creative of that person. Japo hata mtu akijiunga Jf leo bado tutamuita mkuu (ukuu wake upo wapi sasa?) Haha, just messing with y'all. Nawatakia mchana mwema!

Hili ni neno la heshima na watu wa mwambao hulitumia sana badala ya kumuita mtu "mama mkuu/mkubwa, nk" basi unakatisha tu kwa kumuita "mkuu". Very common kwa sisi watu wa Tanga. It literally means "aliekuzidi umri au cheo".
 
Hili ni neno la heshima na watu wa mwambao hulitumia sana badala ya kumuita mtu "mama mkuu/mkubwa, nk" basi unakatisha tu kwa kumuita "mkuu". Very common kwa sisi watu wa Tanga. It literally means "aliekuzidi umri au cheo".

Mkuu umenikumbusha kweli, wakati nakaa jeshini kuna jirani yetu afande bendera alikua ni mtu wa tanga, basi kuna dada yake akaja wakawa wanamwita mkuu mimi nikajua labda na yeye ni mwanajeshi mwenye cheo kikubwa au mkuu wa kikosi kumbe ni kuonesha heshima flani!
 
Bila kumsahau c.power,drphone:smile-big:
Kule forum ya Tech hili jina ndo linatumika effectively, kwa sababu hakuna kuuumbuana kama wana siasa zaidi ya kuombana maujanja ya technologia

Thanks kwa Mkuu paje na IDM yake plus TG

Thanks kwa mkuu njunwa mavoko na Mwl wazee wa PD Proxy


,hahaaaaaaaa
 
Asante mkuu kwa kwa kuuliza hili hata mi nilishangaa mtu ananipm habari yako mkuu khaaa
Hivi linatumika kwa jinsia zote au
 
Back
Top Bottom