mkuu donlucchese mambo Vipi? keki ya mahafali umelala pekee yako ....
tungeitana madogo au dogo. sawa dogo. kingenuka umu ndani bora ata mkuu
hehehe lilianzishwa na wakuu fulani hivi wa enzi hizo...
Kule forum ya Tech hili jina ndo linatumika effectively, kwa sababu hakuna kuuumbuana kama wana siasa zaidi ya kuombana maujanja ya technologia
Thanks kwa Mkuu paje na IDM yake plus TG
Thanks kwa mkuu njunwa mavoko na Mwl wazee wa PD Proxy
hahaaaaaaaa
Mkuu®©♂
Hili neno tumelizoea vibaya! Mi nishamwitaga houseboy wangu "Mkuu" hakunielewa hata kidogo.
Wakuu mnajua mkuu aliyeanzisha neno mkuu ili mkuu aliyeuliza swali amfahamu mkuu huyu,mkuu jitokeze bhana
tungeitana madogo au dogo. sawa dogo. kingenuka umu ndani bora ata mkuu
yani hilo jina la dogo silipendi kwakweli naona ni dharau mtu kuniita hvyo
Wakuu,
yaan najiuliza ni nani aliyeanzisha kutumia neno hili hapa Jf. Yaani linasuit ile kwa sana kuliko kumuadress mtu kwa id yake, it was very creative of that person. Japo hata mtu akijiunga Jf leo bado tutamuita mkuu (ukuu wake upo wapi sasa?) Haha, just messing with y'all. Nawatakia mchana mwema!
Hili ni neno la heshima na watu wa mwambao hulitumia sana badala ya kumuita mtu "mama mkuu/mkubwa, nk" basi unakatisha tu kwa kumuita "mkuu". Very common kwa sisi watu wa Tanga. It literally means "aliekuzidi umri au cheo".
Kule forum ya Tech hili jina ndo linatumika effectively, kwa sababu hakuna kuuumbuana kama wana siasa zaidi ya kuombana maujanja ya technologia
Thanks kwa Mkuu paje na IDM yake plus TG
Thanks kwa mkuu njunwa mavoko na Mwl wazee wa PD Proxy
,hahaaaaaaaa
Dogo usikarike kwa vitu vidogo vidogo kama hivi.yani hilo jina la dogo silipendi kwakweli naona ni dharau mtu kuniita hvyo