tinna cute
JF-Expert Member
- Sep 22, 2013
- 4,630
- 2,308
Nashangazwa na matumizi ya neno MKUU humu Jf. Yaani kila mtu anamwita mwenzake mkuu hivi huu ni ukuu unatokana na kitu gani.
Tatizo lipo utakuta kuna member humu wao ni matusi kwenda mbele lakini nao wanapewa hiyo hadhi ya mkuu.
Mimi naona kwa kawaida ktk mjumuiko wa watu mkuu (overall) hakosekani.Sasa humu naona watu wote ni wakuu ndo nashangaa ukuu wetu ni nini.
Kwani mkuu kunatatizo ganiNashangazwa na matumizi ya neno MKUU humu Jf. Yaani kila mtu anamwita mwenzake mkuu hivi huu ni ukuu unatokana na kitu gani.
Hivi hata wadada wanaitwa 'wakuu'?
Habari zenu wakuu!
Mkuu kama hupendi kuitwa Mkuu tupe jina unalopenda au tukuite Mwanangu?
Mkuu. Usicheke peke yako mkuuHahahaha nimejikuta nacheka sana baada ya kusoma comments
Hakuna aliye mkuu duniani zaidi ya MUNGU.