,[emoji23][emoji23][emoji23]wenyewe ukiwauliza Wala hawana shida na Hilo,wanaamini alikuwa Bora sana kwa Allah[emoji23][emoji23].Inaonekana Mohammed alikua anapewa special favors na Allah kama his favourite child mpaka bi Aisha aliwahi kulalamika . Mohammed could get away with anything kibaya na verse itashuka kumpa uhalali[emoji3][emoji16].
Umeambiwa Zanzibar kuna huo mtindo kwani kakwambia ni Waislam...Inawezekana imekatazwa lakini wao wanaoana ndugu...Vichwa vigumu kuelewa nyieHUO NI UONGO NA UPOTOSHAJI!
Ndoa za kiislam hufungwa kwa misingi ya kiislam na ipo sura mahsusi kwenye Quran (Sura An - Nisaa) inayoelezea taratibu zote hizo nk.
Labda nikumegee kidogo Aya ya 23
(Sura An- Nisaa - 23)
"Mmeharimishiwa kuoa mama zenu, na binti zenu, na dada zenu, na shangazi zenu, na
khaalati zenu, na binti wa ndugu mume, na binti wa dada, na mama zenu walio
kunyonyesheni, na dada zenu kwa kunyonya, na mama wa wake zenu, na watoto wenu
wa kambo walio katika ulinzi wenu walio zaliwa na wake zenu mlio waingilia.
(Pia mmeharimishwa) wake wa watoto wenu walio toka katika migongo yenu. Na kuwaoa pamoja dada wawili isipo kuwa yale yaliyo kwisha pita. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mwenye kusamehe Mwenye
kurehemu"
NAOMBA NA WEWE UTUWEKEE KIFUNGU CHOCHOTE KWENYE BIBLIA KINACHO ONESHA NANI HURUHUSIWI KUOA
Unataka mantiki gani tena?Sijabisha na wala sina tamaa ya kuzipinga kwani siwezi ila natamani kujua mantiki iliyopo as dunia ina watu weeengi sana tofautitofauti na mwenyezi Mungu alituumba tofautitofauti ili tufahamiane.
Wewe kafiri, unajifanya unatetea mila za asili na kuwashutumu waarabu, kisha ulivyo huna akili katika post za mbele ukawa unapinga polygamy, ndoa "za utotoni" na "kukandamiza" wanawake na kumshutumu Mtume wetu Muhammad (Swala na Salamu ziwe juu yake) kwa hayo. Katika hizo mila zenu za asili kabla ya muarabu mlikuwa hakuna ndoa za "utotoni"? Wewe bibi yako aliolewa na miaka 30? Ndoa za wake wengi si zipo katika hizo mila zenu za asili tena wake wasio na idadi. Na katika hizo mila za asili wanawake wenu walipewa haki sawa na wanaume?
Uislam umeweka utaratibu mzuri zaidi katika hayo kuliko hizo "mila za asili". Na bado haujatoka katika maumbile ya asili.
Kasome Walawi sura ya 17 hadi 18 utapata majibu unayo yatakaAkikuletea nifahamishe.
Ningetamani mabingwa wafanye tafiti ijulikane ni makabila au jamii zipi nchini zinaongoza kwa mangnjwa ya aina hiyo na sababu ni nini.Ni kwanini kuoana ndugu kunakatazwa?
Sababu kubwa ni kwamba kuna magonjwa ya kurithi, kwaiyo mkioana ndugu ni rahisi watoto kuzaliwa na hayo magonjwa kwakua 'gene' za wazazi zinakua zinafanana kwa kiasi kikubwa. Magonjwa kama albinism, sickle cell, pumu n.k. Kwa waliosoma biology (genetics) watanielewa kwenye 'dominant gene' na recessive gene' 'homozygous' na heterozygous'.
Kwaiyo hata wazee wetu hawakua wapumbavu walikua wanalitambua hili. Ndo maana kuna makabila ilikua ikigundulika ndugu mnanyandua adhabu yake ni kifo.
Hii kitu inaaply hata kwa mifugo (kuku,ng'ombe, mbuzi nguruwe n.k), ukitaka mifugo yako uzao wake uendelee vizuri usikubali wapandane ndugu, tafuta dume la mbali kabisa. Bila hivyo vizazi vinavyoendela vinazidi kua dhaifu na vidogo zaidi.
... in the family tree, ukoo unaanzia wapi? I mean, kizazi cha ngapi?Wanaoruhusiwa kuoana ni binamu mkuu, mfano kuoa mtoto wa shangazi......huyo anakuwa si ndugu yako anao ukoo wake mwingine. Ila kitaalamu aina hii ya mahusiano haishauriwi ili kukwepa matatizo ya kurithi kama sickle cell nk.
Pre 10 Commandments era kulikuwa na utaratibu wake. Post that era utaratibu ukawa tofauti ambao nao ulikuja kusukwa sawasawa na Injili. Mara anakuja mwingine in the recent past anaturudisha pre-era!Umesahau hata kwenye biblia nako imeandikwa Yakobo alioa mtoto wa mjomba yake?
🤣Kwakweli
Kwani hiyo inahitaji andiko. Utashi wa kibinadamu tu " common sense" unatosha kukumbusha kwamba hao ni ndugu zako wa damu, huwezi kuwa na mahusiano ya kimapenzi.Lete andiko kutoka kwenye biblia linalo sema ni kosa kumuoa mtoto wa shangazi yako mama ndogo baba mdogo
... in the family tree, ukoo unaanzia wapi? I mean, kizazi cha ngapi?
Kama sote ndugu Kachumbie msomali sasa au muhindi au mwaarab uone watakavyokukimbiza na mapanga na masime na mafyekeo 😀👍🏾Binadamu wote ni ndugu,yoyote utakaye muoa ni ndugu yako kiukoo.Kila unayemuona ni uzao wa Adam,ndio maana tukaitwa Bin Adam(watoto wa Adam).
Wale ni wabaguzi wa rangi tu sio uchoyo wa mali... kwani ni lazima ukioa mwanamke wa kiarab au kihindi au mwenye asili ya kiarab au kihindi uwe kwenye part ya mali na biashara zao?!Uchoyo wa wahindi, waarabu na wenyewe asili hiyo kusambaza utajiri nje ya familia.
soma Bibilia weweMwarabu alileta mila za hovyo sana Bongo. Wafuasi wa dini kwao ni kawaida jamaa kumuoa mtoto wa shangazi, mjomba, baba mkubwa, baba mdogo, na watoto wa mama mkubwa na mama mdogo. Hii ni kinyume kabisa na mila za asili kabla ya ujio wa wavurugaji hawa wa mila kutoka Uarabuni, ambao walikuja kuuza watu kama kuku huku wakilazimisha watu kufuata dini yao, ambayo kimsingi ni mila zao. Kutokana na hilo, unakuta magonjwa ya kurithi ya kigenetiki yanakuwa mengi miongoni mwao.
HIi sio swala la dini bali mila na desturiHUO NI UONGO NA UPOTOSHAJI!
Ndoa za kiislam hufungwa kwa misingi ya kiislam na ipo sura mahsusi kwenye Quran (Sura An - Nisaa) inayoelezea taratibu zote hizo nk.
Labda nikumegee kidogo Aya ya 23
(Sura An- Nisaa - 23)
"Mmeharimishiwa kuoa mama zenu, na binti zenu, na dada zenu, na shangazi zenu, na
khaalati zenu, na binti wa ndugu mume, na binti wa dada, na mama zenu walio
kunyonyesheni, na dada zenu kwa kunyonya, na mama wa wake zenu, na watoto wenu
wa kambo walio katika ulinzi wenu walio zaliwa na wake zenu mlio waingilia.
(Pia mmeharimishwa) wake wa watoto wenu walio toka katika migongo yenu. Na kuwaoa pamoja dada wawili isipo kuwa yale yaliyo kwisha pita. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mwenye kusamehe Mwenye
kurehemu"
NAOMBA NA WEWE UTUWEKEE KIFUNGU CHOCHOTE KWENYE BIBLIA KINACHO ONESHA NANI HURUHUSIWI KUOA
Bro hata wamarekani baadhi hasa Mormons na wale walioshika ukristo hasa wanaoana cousin. State kama Alabama ni maarufu Kwa hivyo. Hata uchina na sehemu ya ulaya wanaoana ndugu mpaka Israel.Mwarabu alileta mila za hovyo sana Bongo. Wafuasi wa dini kwao ni kawaida jamaa kumuoa mtoto wa shangazi, mjomba, baba mkubwa, baba mdogo, na watoto wa mama mkubwa na mama mdogo. Hii ni kinyume kabisa na mila za asili kabla ya ujio wa wavurugaji hawa wa mila kutoka Uarabuni, ambao walikuja kuuza watu kama kuku huku wakilazimisha watu kufuata dini yao, ambayo kimsingi ni mila zao. Kutokana na hilo, unakuta magonjwa ya kurithi ya kigenetiki yanakuwa mengi miongoni mwao.
Kumbe mwalabu ndio alikuwa anauza watu?Mwarabu alileta mila za hovyo sana Bongo. Wafuasi wa dini kwao ni kawaida jamaa kumuoa mtoto wa shangazi, mjomba, baba mkubwa, baba mdogo, na watoto wa mama mkubwa na mama mdogo. Hii ni kinyume kabisa na mila za asili kabla ya ujio wa wavurugaji hawa wa mila kutoka Uarabuni, ambao walikuja kuuza watu kama kuku huku wakilazimisha watu kufuata dini yao, ambayo kimsingi ni mila zao. Kutokana na hilo, unakuta magonjwa ya kurithi ya kigenetiki yanakuwa mengi miongoni mwao.
Sisi ni wapogoro huu ni uongo mkubwaMila za kiafrika unazijua nenda hadi Leo wapogoro wanaoana ndugu,mtu anazaa hadi na mama yake mzazi, Kaskazini baba anazaa na binti yake unataka kusema ushenzi gani.
Hakuna dini inayoruhusu ndugu wa damu kuoana.
Ukoo mmoja wanaweza lakini lazima wanaangalia undugu wa mbali
ndugu wakiona wanazaa watoto dhaifu ndo manake wazanzbar wanakula urojo badala ya ugali,,na hata kuongea kwao wanaongea tartiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiibu!!!!Binamu wanaoana.....
Watoto wa baba mkubwa na mdogo wanaoana. Zanzibar limetamalaki sana hili.
Yote hayo mimi yamenishinda; yaani nikamuoe mtoto wa baba mkubwa/mdogo? Damu yangu? Nimeshindwa, nashukuru imani haijasema kwamba hilo ni lazima. Ningefukuzwa.
Hivi hekima haswa iliyojificha nyuma ya hili ni nini? Au nini historia ya hili?
Karibuni mnielimishe.