Hapo kwa kijumbe ndo penyewe na pesa uzikute kwangu 😜Joannah mambo vp! Hope uko powa......baadae ukipata mda naomba nichukulie hela yangu kwa kijumbe jioni ntaipitia kwako maana ntachelewa kutoka site.
Hahahahaha sasa mie sipajui kote huko zaidi ya hapa tu. 😆 😂 😆 😂Wenye Xmas chache wapajua samakisamaki tu...unadhani wenye Xmas chache wanapajua Garden Bistro?
Roho imeniuma mimi 🤣🤣🤣😂😂😂 wametubania uzi wetu watu wabaya jamani.
Nilifanyia kazi ushauri wa madame..natakia tu kuweka mawazo yangu kwenye shughuli..ilienda vzr angalau😂😂
Alijua sitoomba pesa kwa lugha yake 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣We ni kichaaa... Umenichekesha
That's pure maturity, hakuna haja ya kutuma meseji juu ya meseji ambayo haijajibiwa.Ungekua interested na huyo jamaa wala usingemuona msumbufu kilichopo ni kuwa hata salamu yake unaichukulia ni kero.
Binafsi nimeamua kuwa mkax huwa na sense haraka mtu akinichukulia kama vile sina maana au ni msumbufu hasa wanawake, nikikutext mara tatu nikaona negative response baada ya hapo huwa najiweka mbali hutaona meseji yangu tena.
Jirani madaqo yako 😂Dada kumbe kwaresima inadondekea siku moja na valentine?? 🤣🤣🤣
Sa itakuwaje? Tutazini na majivu usoni?? 🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️
Kwani ukimwambia unataka atakujibu Nini?Kwema?
Hivi nyie baadhi ya wanaume unavyoandikia mwanamke meseji Huwa mnawaza Nini?
Mtu anakuandikia mambo?unamjibu poa tu,
Anauliza Tena,Kwema?unamjibu kwema?
Anauliza tena,uko poa lakini?
Unajibu poa?
Sasa anamalizia Tena""NIAMBIE ""😣
Jamani hebu muwe serious basi,Umeanza mwenyewe mazungumzo halafu unaniambia nikwambie, nikwambie Nini sasa?eti Huwa mnataka tuwaambie Nini?Binafsi sana sana ukiniambia nikwambie nitakuomba Hela....halafu utaanza kulalamika na kulilia maana watu wenyewe wa siku hizi tunawajua ni lialia,wakati we mwenyewe umesema nikwambie.,au ni kutafutana lawama tu?
Kwa kweli Mtu akishaniambia hiyo"NIAMBIE"Huwa anikera sana...
Hebu tupumzisheni basi viumbe vya mola jamani..
Jirani nitaomba majivu wanipe nitajipaka baada ya kuvalentika 🤣🤣🤣Jirani madaqo yako 😂
Hiyo ilishapitwa na wakatiBora umesema maana ni kero au ile nipe story
Dalili za mtu asiekuhitaji huwa zipo wazi sana ni vile tu huwa tunajifanya ving'ang'anizi.Kuna watu hawajiongezi
Na mm ntakujibu mihogo siku nyngn... unaonaje twende tukale 🐷🐷🐷!!!Yaaap hii ndio mwanaume rijali anatakiwa kuandika...Stori zitaanzia hapo kwenye kijumbe Sasa!
Nitakujibu..
Poa mpaji,zamu yako kupokea lini tukale mihogo coco?
Convo hapo tayari