Hivi nyie baadhi ya wanaume unavyoandikia mwanamke meseji Huwa mnawaza Nini?

Hivi nyie baadhi ya wanaume unavyoandikia mwanamke meseji Huwa mnawaza Nini?

Kwema?

Hivi nyie baadhi ya wanaume unavyoandikia mwanamke meseji Huwa mnawaza Nini?

Mtu anakuandikia mambo?unamjibu poa tu,

Anauliza Tena,Kwema?unamjibu kwema?

Anauliza tena,uko poa lakini?
Unajibu poa?
Sasa anamalizia Tena""NIAMBIE ""😣
Jamani hebu muwe serious basi,Umeanza mwenyewe mazungumzo halafu unaniambia nikwambie, nikwambie Nini sasa?eti Huwa mnataka tuwaambie Nini?Binafsi sana sana ukiniambia nikwambie nitakuomba Hela....halafu utaanza kulalamika na kulilia maana watu wenyewe wa siku hizi tunawajua ni lialia,wakati we mwenyewe umesema nikwambie.,au ni kutafutana lawama tu?

Kwa kweli Mtu akishaniambia hiyo"NIAMBIE"Huwa anikera sana...
Hebu tupumzisheni basi viumbe vya mola jamani..
Wako humu hao "baadhi ya wanaume"?
 
Joannah mambo vp! Hope uko powa......baadae ukipata mda naomba nichukulie hela yangu kwa kijumbe jioni ntaipitia kwako maana ntachelewa kutoka site.
Yaaap hii ndio mwanaume rijali anatakiwa kuandika...Stori zitaanzia hapo kwenye kijumbe Sasa!
Nitakujibu..
Poa mpaji,zamu yako kupokea lini tukale mihogo coco?
Convo hapo tayari
 
Yaaap hii ndio mwanaume rijali anatakiwa kuandika...Stori zitaanzia hapo kwenye kijumbe Sasa!
Nitakujibu..
Poa mpaji,zamu yako kupokea lini tukale mihogo coco?
Convo hapo tayari
Hapo kwa kijumbe ndo point ilipo 😂😂😂
 
Unabaki unamshangaa..!!
Kuna mmoja nilikuwa nachat utasema ana kithethe [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Niabie mdima?
Nikamjibu; Naoba peza
Ilibidi acheke mwenyewe
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Shenzi wewe.
 
Mi mwanaume mwenzangu akinitumia mambo,Huwa simjibu ila akiandika mambo vipi??? Ndo najibu.
 
Back
Top Bottom