Johnny Sack
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 8,984
- 19,288
Alipaswa kujua watanzania ni wavivu kabla ya kutaifisha mashirika na viwanda binafsi na kuvifanya vya serikali, matokeo yake vikawa, vinajiendesha kwa hasara hadi kujifiaNyerere hakufilisi uchumi wa nchi. Nyerere alianzisha mashirika na viwanda vingi tu lakini hakujua watanzania ni wezi na wavivu wa kutupwa. Enzi za Nyerere watu waliokuwa wanasoma bure. Hospital bure. Kulikuwa mpaka na kupewa warrant wa kusafiri kwa wanafunzi na watu wengine kama wanamuziki. Kwa kifupi watu wa kawaida ndiyo walikuwa wana-enjoy keki ya Taifa. Hebu nionyeshe katika hizi nchi za sub-Sahara African countries ni nchi ipi wananchi wake walikuwa wanaishi vizuri kama Tanzania kipindi cha Nyerere! Nyerere mpaka raslimali aliziacha kwa matumizi ya baadae. Sasa hizi wanashindana kuzipiga bei.
Serikali kutoa vitu bure sio ujanja, serikali sio baba au mama yako, serikali inatakiwa kuweka miundombinu sahihi na sera sahihi kwa ajili ya wananchi kuzalisha na kipato na kujilipia huduma wenyewe, nchi zilizoendelea ndio zilifanya hivyo, ujamaa ni kulea uvivu
Kipindi cha Nyerere ndio kipindi wananchi waliishi maisha magumu kuliko vipindi vyote, kwa mgao wa bidhaa, udikteta, njaa