Hivi Rais Samia amewahi kuandika Makala au Paper ya utatuzi wa changamoto za jamii?

Hivi Rais Samia amewahi kuandika Makala au Paper ya utatuzi wa changamoto za jamii?

Nimelazimika kuuliza hii kitu, ni muhimu sana kujua. Makala nzito iliyojaa critical analysis na ikapatikana kwenye national au International journals. Paper fulani hivi ya kuzungumzia changamoto mtambuka za jamii yetu ya Kitanzania.

Mambo haya yanaakisi sana uwezo wa mtu. Nafikiri ana Degree na Masters, ziko wapo Research reports zake tuzifanyie Literature Review.

Tanzania inakabiliwa na changamoto nyingi chungu mzima. Lakini hatuoni hatuoni hata moja ikipatiwa majibu ya utatuzi. Nchi ni kama mgonjwa anayesubiri muujiza wa Baba wa Mbinguni tu.
Magufuli alikuwa Dikteta hivyo msilalamike maana
Mungu mlimsifia sana kwa kuwaondolea JPM.
 
Rubbish! Hana uwezo wa kuandika any intellectual paper! Never, Hana kwa intellectual capacity ipi from her scholarly history
Mkuu Retired , hebu acheni dharau zenu nyie watu, andiko limeandikwa na Samia!. Watanzania hawahitaji scholarly articles, wanahitaji solutions to their problems, Rais Samia is that solution!, kwa wanaotaka scholarly articles nendeni mkazisome, zimejaa tele kwenye shelves za maktaba za vyuo vikuu, na kwenye ma kabrasha kede kede!.
P
 
Makala au pepa ndio inatatua Changamoto zako au za jamii?

Pili Kauli yake ,miongozo,maagizo ni makala tosha.

Kwa mfano Wizara ya Elimu ilikuwa na proposal ya mradi wa HEET(Mageuzi ya Elimu ya Juu) na ililenga kuongeza uwezo wa Miundombinu,utafiti,kuongeza wakufunzi nk kwenye existing universities and other higher Learning institutions.(Mkopo kutoka WB).

Samia akasema Kaeni Upya na WB Ili kwamba badala ya kurundikaaendeleo maeneo hayo hayo Kila siku tusambaze Nchi nzima ndipo Sasa WB wakakubari na Sasa Vinajengwa vyuo Vikuu na Matawi ya Vyuo Vikuu kwenye Mikoa yote ambayo haikuwa na vyuo.

Huu ni mfano mmja kati ya mambo mengi ambayo Rais ameweka interventions na yametatua Changamoto.

Umeelewa wewe nyumbu wa Chadema?

Kumbe hajawahi kuandika? Asante sana.
 
Mkuu Retired , hebu acheni dharau zenu nyie watu, andiko limeandikwa na Samia!. Watanzania hawahitaji scholarly articles, wanahitaji solutions to their problems, Rais Samia is that solution!, kwa wanaotaka scholarly articles nendeni mkazisome, zimejaa tele kwenye shelves za maktaba za vyuo vikuu, na kwenye ma kabrasha kede kede!.
P

Ungejibu tu kuwa hajawahi kuandika, sio kuleta stori ndefu
 
Kwa kifupi JIBU halijapatikana. Ni chawa kuleta utetezi wa hapa na pale
 
Katika marais wetu, Nyerere ndiye alikuwa kiboko. Yaani ukisikia rais msomi ndiyo yule. Hata Mkapa anaingia kwenye list. List uchwara ni Magufuli, Samia na Kikwete.
Sasa mbna huyo Nyerere aliitumbukiza nchi shimoni????
 
Nimelazimika kuuliza hii kitu, ni muhimu sana kujua. Makala nzito iliyojaa critical analysis na ikapatikana kwenye national au International journals. Paper fulani hivi ya kuzungumzia changamoto mtambuka za jamii yetu ya Kitanzania.

Mambo haya yanaakisi sana uwezo wa mtu. Nafikiri ana Degree na Masters, ziko wapo Research reports zake tuzifanyie Literature Review.

Tanzania inakabiliwa na changamoto nyingi chungu mzima. Lakini hatuoni hatuoni hata moja ikipatiwa majibu ya utatuzi. Nchi ni kama mgonjwa anayesubiri muujiza wa Baba wa Mbinguni tu.
4m4 felia anawezaje mambo hayo
 
Baada ya Nyerere, hakuna rais aliyewahi kuandika makala yoyote yenye intellectual content. Mwanasiasa mwingine aliyekuwa anaandika intellectually ni Pius Msekwa tu. Wengine wote wakifanikiwa kuandika makala yoyote utakuta ni mlolongo wa maoni au kumbukumbu ya matukio yasiyokuwa na intellectual content yoyote.
Nyerere alifunga kiwanda cha Matrekta cha LONRHO akafunguwa kiwanda cha majembe ya mkono UFI Ubungo

"If such are the priests God bless the congregation".
 
Back
Top Bottom