Hivi raraa reree hizi likes unazogawaga uzi mzima unatumia BOT au nini?

πŸ˜πŸ˜πŸ˜…πŸ˜… hatimaye yametia nilitaka ukomenti.

Kwa hiyo tajiri unatumbua midolari yako kidogo kidogo mpaka ukufe. a.k.a ginimbi a.k.a hushpupi a.k.a mompha a.k.a don majina ni yote papaa ndama mutoto ya pesa.
Mtu asipofanya kazi tayari anakuwa tajiri sio πŸ˜„πŸ˜†πŸ˜‚πŸ€£
 
Huyo Ni robot wa jf wanamtumia
 
Huo msemo "huko shuleni mlisomea ujinga"..mmeshampora alieanzisha huo usemi?mmewapa kina ngosha?πŸ˜…
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…