raraa reree
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 11,504
- 35,520
Mtu asipofanya kazi tayari anakuwa tajiri sio ππππ€£πππ π hatimaye yametia nilitaka ukomenti.
Kwa hiyo tajiri unatumbua midolari yako kidogo kidogo mpaka ukufe. a.k.a ginimbi a.k.a hushpupi a.k.a mompha a.k.a don majina ni yote papaa ndama mutoto ya pesa.
πSio kila mtu lazima afanye kazi π
Sio kwa ubaya lakn ni maoni tu π»
Lazima iwe hivo kiongozi π π πMtu asipofanya kazi tayari anakuwa tajiri sio ππππ€£
Sasa hujui kuwa asiye fanya kazi na asire. π π πMtu asipofanya kazi tayari anakuwa tajiri sio ππππ€£
Hahaaa To yeye my gurl wasaaay ππ
Endelea kuchapa kazi kijana ili ule sawaaaSasa hujui kuwa asiye fanya kazi na asire. π π π
Endelea kuwapa tu umuhimu wa kula bamia maana hakuna namna ππ€£π€£π€£ Inabidi muda mwingine watu wajifunze kumind their business maana la sivyo wanaweza onekana wao ndo shule haijawasaidia kimtindo
Kwani shureni urisomea ujinga π π π am kidding you guys usije nichukia mwl. wangu.π€£π€£ Inabidi muda mwingine watu wajifunze kumind their business maana la sivyo wanaweza onekana wao ndo shule haijawasaidia kimtindo
Kumbe aseee wewe ni mwana intelejensia mahiri na mtaalamu.Kuna baadhi ya ID ni taasisi
Utajiju mi hayanihusu π₯΄Kwani shureni urisomea ujinga π π π am kidding you guys usije nichukia mwl. wangu.
Hakika bamia ni muhimu sana aiseeπ€Endelea kuwapa tu umuhimu wa kula bamia maana hakuna namna ππ€£
Genta ana makasiriko atakubalika vipi....Ama kweli bahati ya mwenzako Usi ilalie mlango wazi. GENTAMYCINE kwa siku anaondika nyuzi 20 hapa jf ila watu hawamkubali wala nini lakini raraa reree anakubalika kwa kutoa like tu. raraa reree is genius . Apewe maua yake
Sawa mzee hili ninalitazama kabisa.Tafuta hela ukae kimvulini ujue namna ya kuitumia
Huyo Ni robot wa jf wanamtumiaSalaam!
Nauliza japo sio kwa ubaya wanajukwaa na mods msinielewe vibaya kwa hilo swali.....
Ni mimi nina notice reactions za member raraa reree kwenye almost 80% ya post zangu au kuna na wengine, he/she is so active.
Kuna haka kamsemo kakina ngosha eti (in voice of ngosha) "shureni kwani urisomea ujinga" kananivutia sana π π π basi member huyu alisomea kureact kwani π
Nisiwachoshe sana wasomaji najiuliza how much time ana spent Jamii forum na anawezaje aisee to view kila thread.
With reference to this, moderators shall have to pay for his presence, I think he/she deserves an accolaide for greatness of his respondingπππππ π π π€π€π€π€
Huo msemo "huko shuleni mlisomea ujinga"..mmeshampora alieanzisha huo usemi?mmewapa kina ngosha?πSalaam!
Nauliza japo sio kwa ubaya wanajukwaa na mods msinielewe vibaya kwa hilo swali.....
Ni mimi nina notice reactions za member raraa reree kwenye almost 80% ya post zangu au kuna na wengine, he/she is so active.
Kuna haka kamsemo kakina ngosha eti (in voice of ngosha) "shureni kwani urisomea ujinga" kananivutia sana π π π basi member huyu alisomea kureact kwani π
Nisiwachoshe sana wasomaji najiuliza how much time ana spent Jamii forum na anawezaje aisee to view kila thread.
With reference to this, moderators shall have to pay for his presence, I think he/she deserves an accolaide for greatness of his respondingπππππ π π π€π€π€π€
Tatizo nyota kaka [emoji23][emoji23]Ama kweli bahati ya mwenzako Usi ilalie mlango wazi. GENTAMYCINE kwa siku anaondika nyuzi 20 hapa jf ila watu hawamkubali wala nini lakini raraa reree anakubalika kwa kutoa like tu. raraa reree is genius . Apewe maua yake