Hivi serikali imeruhusu wasichana kucheza uchi wa mnyama kwenye kumbi za starehe? Hali inatisha!

Hivi serikali imeruhusu wasichana kucheza uchi wa mnyama kwenye kumbi za starehe? Hali inatisha!

Serikali kama haijaliona tatizo hili basi mm Sexless nawapeni taarifa. Hali imekuwa mbaya sana kwenye kumbi na maeneo mengi ya starehe, wasichana wanacheza wakiwa uchi wa mnyama.

Kuna muda wanafika mahala wanaonesha mambo ya ngono laivu huku watu wakishangilia. Hali ni mbaya Sana.

Ni kwasabb tu nabanwa na vigezo na masharti ya JamiiForums , ningeliweza kuweka clip za videos na picha toka maeneo mbalimbali zikioneaha wasichana wakifanya mambo machafu hadharani.

Serikali ichukue hatua haraka.
Wewe kwenye kumbi za starehe umefuata nini!!!? Si ungeenda kanisani au msikitikini!!? Tutolee uchuro wako
 
Serikali kama haijaliona tatizo hili basi mm Sexless nawapeni taarifa. Hali imekuwa mbaya sana kwenye kumbi na maeneo mengi ya starehe, wasichana wanacheza wakiwa uchi wa mnyama.

Kuna muda wanafika mahala wanaonesha mambo ya ngono laivu huku watu wakishangilia. Hali ni mbaya Sana.

Ni kwasabb tu nabanwa na vigezo na masharti ya JamiiForums , ningeliweza kuweka clip za videos na picha toka maeneo mbalimbali zikioneaha wasichana wakifanya mambo machafu hadharani.

Serikali ichukue hatua haraka.
Tunapoibebesha serikali kila jambo tusidhani serikali inahusu watu wa kutoka dunia nyingine, sheria ya kukaa uchi hadharani ipo, na mwenye jukumu la kukamata mhalifu au kusaidia mhalifu kukamatwa linakuhusu wewe na hao wenzako waliokua wanashangilia.
 
Serikali ichukue hatua kwa starehe za watu wazima na akili zao timamu ambazo wewe au mimi hatulazimishwi hata kwenda huko ?

Ichukue hatua kwanza kwa mambo basic ambayo tunawalipa na wapo pale kuyatekeleza..., Nishati ya Uhakika, Kudhibiti mfumuko wa Bei, Kupunguza Rushwa, Uwajibikaji kwenye maofisi ya Umma n.k.

Hayo mengine mtajuana nyie na watoto wenu na wateja wenu kama hakuna wanaopenda hizo kumbi za starehe sidhani kama wanashikiwa bunduki ili waende au wewe sidhani kama umelazimishwa kuangalia hizo clip
 
Serikali kama haijaliona tatizo hili basi mm Sexless nawapeni taarifa. Hali imekuwa mbaya sana kwenye kumbi na maeneo mengi ya starehe, wasichana wanacheza wakiwa uchi wa mnyama.

Kuna muda wanafika mahala wanaonesha mambo ya ngono laivu huku watu wakishangilia. Hali ni mbaya Sana.

Ni kwasabb tu nabanwa na vigezo na masharti ya JamiiForums , ningeliweza kuweka clip za videos na picha toka maeneo mbalimbali zikioneaha wasichana wakifanya mambo machafu hadharani.

Serikali ichukue hatua haraka.
Darisalama joootooo!Wapi huko tena nikawakemee mkuu?
 
Serikali kama haijaliona tatizo hili basi mm Sexless nawapeni taarifa. Hali imekuwa mbaya sana kwenye kumbi na maeneo mengi ya starehe, wasichana wanacheza wakiwa uchi wa mnyama.

Kuna muda wanafika mahala wanaonesha mambo ya ngono laivu huku watu wakishangilia. Hali ni mbaya Sana.

Ni kwasabb tu nabanwa na vigezo na masharti ya JamiiForums , ningeliweza kuweka clip za videos na picha toka maeneo mbalimbali zikioneaha wasichana wakifanya mambo machafu hadharani.

Serikali ichukue hatua haraka.
Baada ya baikoko na kangamoto hiyo ndio fasheni mpya mjini na sio kucheza tu bali na kufanya matusi kabisa
 
Hivi kwani serikali yetu sikivu chini ya mama,
Kupitia wizara ya tamaduni, sanaa na michezo
Wanashindwa kutenga bajeti maalum ujengwe ukumbi mkubwa wa serikali kwa ajili ya Watu wazima wakacheze uchi na kujinafasi nafsi zao uko?[emoji848]
 
Serikali kama haijaliona tatizo hili basi mm Sexless nawapeni taarifa. Hali imekuwa mbaya sana kwenye kumbi na maeneo mengi ya starehe, wasichana wanacheza wakiwa uchi wa mnyama.

Kuna muda wanafika mahala wanaonesha mambo ya ngono laivu huku watu wakishangilia. Hali ni mbaya Sana.

Ni kwasabb tu nabanwa na vigezo na masharti ya JamiiForums , ningeliweza kuweka clip za videos na picha toka maeneo mbalimbali zikioneaha wasichana wakifanya mambo machafu hadharani.

Serikali ichukue hatua haraka.

Ni choice kwenda club, na wanaoenda ni wahuni, no body cares, if it is not good for you then do not go.
 
Una maanisha namna hii?
hqdefault.png
 
Serikali kama haijaliona tatizo hili basi mm Sexless nawapeni taarifa. Hali imekuwa mbaya sana kwenye kumbi na maeneo mengi ya starehe, wasichana wanacheza wakiwa uchi wa mnyama.

Kuna muda wanafika mahala wanaonesha mambo ya ngono laivu huku watu wakishangilia. Hali ni mbaya Sana.

Ni kwasabb tu nabanwa na vigezo na masharti ya JamiiForums , ningeliweza kuweka clip za videos na picha toka maeneo mbalimbali zikioneaha wasichana wakifanya mambo machafu hadharani.

Serikali ichukue hatua haraka.
Kwa hisani yako fanya mpango wa hizo video hizo PM
 
Back
Top Bottom