Ms Billionaire
JF-Expert Member
- Jul 18, 2020
- 2,452
- 4,955
Ukimkuta mwanao utasema ni mwili wake?Miili yao! uchi au nusu uchi? sidhani kama ni uchi....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukimkuta mwanao utasema ni mwili wake?Miili yao! uchi au nusu uchi? sidhani kama ni uchi....
Tunataka taifa lenye maadiili mema. Tusifudahie huu ushubwadaKipi cha ajabu kama wameamua kutembea uchi mtaani kipi cha ajabu club
Mtoto wa mwenzio ni wao. Tusaidiane kulijenga taifa boraThey are over 18 out there tuache tafudu bana
Nadhani ile ni faragha ya watu wazima. Unless useme bar. Ila kama ni kule ambapo 18 and below hawaruhusiwi kidogo inakuwa ngumu. Unless wafanye ngono.Labda unisaidie- kwenye maeneo na kumbi za starehe ni faraghani ? Siyo hadharani?
Ndiyo kinachofanyika. Kuna msela anaingia chumvini kwa mdada ambaye yuko uchi wa binadamuUnless wafanye ngono.
Vipi hawwa wanaotembea uchi mtaani je.maana siku hizi wanashinda a kutuonyesha mapaja yao publicTunataka taifa lenye maadiili mema. Tusifudahie huu ushubwada
Vigodoro vina uafadhali mkuu. Navifahamu vigodoro na sijawahi kulalamika. Lkn linafanyika siku hizi ni zaidi ya laanaVipi kuhusu ngoma za vigodoro...nazani wanataka kufanana.
Hawa wa mitaani wanatembea nusu uchi siyo uchi.Vipi hawwa wanaotembea uchi mtaaani
Asili ya waafrika ni kufunika katikati, nyuma, na matiti kidogo tuSerikali kama haijaliona tatizo hili basi mm Sexless nawapeni taarifa. Hali imekuwa mbaya sana kwenye kumbi na maeneo mengi ya starehe, wasichana wanacheza wakiwa uchi wa mnyama.
Kuna muda wanafika mahala wanaonesha mambo ya ngono laivu huku watu wakishangilia. Hali ni mbaya Sana.
Ni kwasabb tu nabanwa na vigezo na masharti ya JamiiForums , ningeliweza kuweka clip za videos na picha toka maeneo mbalimbali zikioneaha wasichana wakifanya mambo machafu hadharani.
Serikali ichukue hatua haraka.
Hawa wanaovuliwa ubingwa ndiyo watu gani?WANAOVULIWA UBINGWA
Huko ni kuvuka mipaka.Ndiyo kinachofanyika. Kuna msela anaingia chumvini kwa mdada ambaye yuko uchi wa binadamu
Sasa wasichana siku hizi wanayafunua hayo maeneoAsili ya waafrika ni kufunika katikati, nyuma, na matiti kidogo tu
Kama ni zaidi ya vigodoro!!! Serikali walitazame hili.Vigodoro vina uafadhali mkuu. Navifahamu vigodoro na sijawahi kulalamika. Lkn linafanyika siku hizi ni zaidi ya laana
Kweli mkuu. Tunaharibu taifa. It is too much!!Kama ni zaidi ya vigodoro!!! Serikali walitazame hili.