Hivi serikali imeruhusu wasichana kucheza uchi wa mnyama kwenye kumbi za starehe? Hali inatisha!

Hivi serikali imeruhusu wasichana kucheza uchi wa mnyama kwenye kumbi za starehe? Hali inatisha!

Serikali kama haijaliona tatizo hili basi mm Sexless nawapeni taarifa. Hali imekuwa mbaya sana kwenye kumbi na maeneo mengi ya starehe, wasichana wanacheza wakiwa uchi wa mnyama.

Kuna muda wanafika mahala wanaonesha mambo ya ngono laivu huku watu wakishangilia. Hali ni mbaya Sana.

Ni kwasabb tu nabanwa na vigezo na masharti ya JamiiForums , ningeliweza kuweka clip za videos na picha toka maeneo mbalimbali zikioneaha wasichana wakifanya mambo machafu hadharani.

Serikali ichukue hatua haraka.
Leta video moderators wataamua waifute au la.

Tutajuaje usemayo kama ni ya kweli ama uchochezi na kupotosha umma
 
Naona unahasisha watu twende tukajionee!

Embu sema ni wapi huku..Nahisi hali ya mtoko sahii🤗
 
Kuna ile moja wale wamevaa jezi za yanga 😅😅😅

Kuna ile ingine yule dada anaweka wine sijui whisky kwenye tigo aafu anapuliza 😅😅 alafu mchana kweupe

Dunia ishaisha aisee
Ebu nipe hiyo ya tigo na whiskey nione jamni mbona napitwa na mengi
 
Mama mtu wa taarab unategemea nini hapo??!! Chuma kilipoingia ikulu kundi lililokua likitamba kwa kucheza uchi nchini Kanga moko laki si pesa lilisambaratishwa Kimya kimya, nchi imerudi kwenye mizaha ndio maana hivyo vikundi vimerudi kwa kasi ya kutisha.
 
Serikali imeweka sheria kusambaza vdeo zisizo za maadili, na imeweka sheria watu kutokufanya vitendo visivyo vya kimaadili mfano ngono hadharani..

Sasa Hili la wanaojifungia kwenye kumbi ya starehe serikali inalizuiaje? Serikali iweke polisi kuzuia watu wazima wasivue nguo? Au izue kumbi za starehe?
 
Serikali imeweka sheria kusambaza vdeo zisizo za maadili, na imeweka sheria watu kutokufanya vitendo visivyo vya kimaadili mfano ngono hadharani..
Labda unisaidie- kwenye maeneo na kumbi za starehe ni faraghani ? Siyo hadharani?
 
Serikali kama haijaliona tatizo hili basi mm Sexless nawapeni taarifa. Hali imekuwa mbaya sana kwenye kumbi na maeneo mengi ya starehe, wasichana wanacheza wakiwa uchi wa mnyama.

Kuna muda wanafika mahala wanaonesha mambo ya ngono laivu huku watu wakishangilia. Hali ni mbaya Sana.

Ni kwasabb tu nabanwa na vigezo na masharti ya JamiiForums , ningeliweza kuweka clip za videos na picha toka maeneo mbalimbali zikioneaha wasichana wakifanya mambo machafu hadharani.

Serikali ichukue hatua haraka.
Hivi unadhani Tanzania ni nchi iliyopo mbinguni au duniani.

duniani kuna mazuri na mabaya wewe ndio unaoption ya kuacha kipi na kufuata kipi..

tena bongo tupo nyuma sana kwenye starehe starehe hizi kuna nchi huko unaweza kuzimia kwa utayoyaona..
 
Back
Top Bottom