Hivi shule kama hii ina walimu kabisa watakaoweza kuidai Serikali iwaongezee mshahara bila aibu?

Mepitia page yao huko Facebook asee wako vizuri kwenye michezo na talents zingine kama dancing. Mengine hayawahusuu
Basi ingefanywa shule ya michezo na sanaa kuliko kufundisha taaluma ha kawaida na kupimwa na wengine kwa mtihani ule ule.
 
Watakaofeli la Saba na Ni watoto wadogo waende wapi? Mara Mia wateli huko huko juu wakiwa wakubwa.
 
Tunasemanga kila siku mjini watoto ni wajinga mnakataa, njooeno huku MWASHINON'GHELA,mitoto inafaulu bila nyenzo nyingii Wala walimu WA kutosha. Na haiendi Tuisheniii🤣

Mjini bila hizoo tuisheni msingeona hata hzo alama.
 
Tena Bora na Miaka hii walimu walau wapo na hata Mtaani waliomaliza hawana kazi wapo ,kipindi hicho ilikuwa mbinde kweli kweli
 
Hapana tumia akili kama watoto uliopokea ni A kunakuwa na kanuni na kama watoto uliopokea ni B kunakuwa na kanuni pia ...na C , jifunze kwenye mbia za uwanjani utaona wengine wapo mbele na wengine wapo nyuma kwa sababu ya mduara kuna hesabu zake ....tatizo watz ni wavivu wa kufikiri kusuka mipango ,na taratibu na mifumo yenye akili
 
Vijijini wanafaulu Ila dropout ndio kubwa.
Huko Mjini kwenu mnakoshindia kukata vouno vya singeli ndio mnafeli.
 
Wanafunzi wa siku hizi ni wapumbavu. Hawafundishiki sababu wazazi hawawalei ipaswavyo.

Tutegemee bomu la makahaba, vibaka, majambazi maana hata serikali ikiwafaulisha bado watafeli tu
Serikali haitoi ajira. Then watengeneza wajinga wengi
 
Shule ipo mjini kabisa , kila kona ya kuingia kutoka shule ipo online , daladala zipo za kutoshaa pembeni kama mita 600 kuna ki bettiing shop (nakijua) sasa uulize nini , binafsi , mm nnapenda pisi za hizo shule japo. Under 18 ,
 
Unaweza kukuta hizo IV ni baada ya ku standardise zaidi ya mara mbili kama yale ya Big Resilts Now
... kuna wale vipanga wa St. Francis, Canossa, etc. wengine wamepiga 97%, 95%, 99%, etc. sijui wana-standardize vipi maana ni kutowatendea haki waliopasua.
 
Hapa ndo nimekuelewa mwalimu.
Je huoni kama serikali inaongeza tatizo, maana hao wanaweza penya hadi kufika ofisini kabisa
 
Hata ningekuwa mwalimu wa hiyo shule siwezi kufanya hivyo. Nasahihisha madaftari 500+ kwa mshahara gani?
... kati ya kazi ngumu ni kusahihisha; watoto wenyewe shule za kata. Hiyo miandiko na lugha sasa! Usiombe!
 
Walimu wapo bize mitandaoni/kubet/kwenye vicoba,

Walimu bhana[emoji16]

Wakike wakikaa staff kazi kuongelea madanga tu[emoji706]
 
Shule ipo mjini kabisa , kila kona ya kuingia kutoka shule ipo online , daladala zipo za kutoshaa pembeni kama mita 600 kuna ki bettiing shop (nakijua) sasa uulize nini , binafsi , mm nnapenda pisi za hizo shule japo. Under 18 ,
Nyie ndo mnao wa felishaa, afu lawama kwa walimu khaaaah
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…