Hilo nalo neno. Wahusika walitazame kwa jicho la kipekee. Usipoziba ufa -Utajenga ukuta.Mkuu , tatizo sio waalimu tu ni ngono watoto wanafanya Sana ngono Hadi wanapoteza focus then wa kiume wana Bet Sana na bangi nyingi na ushoga.
Hapo in short hamna shule
Mmm! Siafiki hoja yako. Mwalimu anazo mbinu nyingi za kuwafikishia wanafunzi wake ujumbe/maarifa kile anachokusudia wakipate. Siku hizi Library zipo nyingi mpaka kwenye Internet. Vikundi vya kujifunza na kujadiliana (Kwa nia njema) vinawezekana. Yapo madarasa rasmi ya masomo ya ziada. Wanafunzi wakihamasishwa vizuri watayapenda masomo yao, na mwanafunzi akilipenda somo atalielewa zaidi.Mimi nimesoma sekondari o level ya serikali sema haikuwa shule ya kata bali shule kongwe za kitambo tulikuwa na mikondo minne a mpaka d kwa kila darasa na kila darasa lilikuwa na wanagunzi wasiozidi 35 na hiyo mikondo sio ya kuingia kwa kupokezana, hapana kila kidato kilikuwa na madarasa manne.
Sasa hawa wanafunzi 500 hata wawe na mikondo miwili kila darasa lina wanafunzi zaidi ya 200 ni changamoto kwa walimu ukichanganya na ni kizazi cha internet basi sometimes makosa sio ya walimu bali ni mazingira
Kwa hiyo internet anawafikishia kupitia simu yake au? Kwa watoto hao 500? Ukijumlisha wazazi ambao siku hizi hawana hata muda na watoto wamewaacha dada wa kazi na walimu na wakishindwa kabisa wanawapeleka boarding. And by the way, asilimia kubwa ya watoto wanaosoma shule hizo wazazi wao wa kipato cha chini na wazazi wengi wa hivyo wanapambana na maisha hata huo muda wa kufuatilia watoto hawana. Mzazi yeyote mwenye kujiweza angalau kidogo ni ngumu kumwacha mtoto asome darasa lenye watoto zaidi ya 200.Mmm! Siafiki hoja yako. Mwalimu anazo mbinu nyingi za kuwafikishia wanafunzi wake ujumbe/maarifa kile anachokusudia wakipate. Siku hizi Library zipo nyingi mpaka kwenye Internet. Vikundi vya kujifunza na kujadiliana (Kwa nia njema) vinawezekana. Yapo madarasa rasmi ya masomo ya ziada. Wanafunzi wakihamasishwa vizuri watayapenda masomo yao, na mwanafunzi akilipenda somo atalielewa zaidi.
Kama wazazi watashikamana na waalimu, matokeo mabovu ya 2022 yatakuwa ndo ya mwisho. Huko mbele matokeo yatafurahisha zaidi. (Nimesema hivyo kutokana na uzoefu wangu kama mjumbe wa Bodi huku kwetu).
NB:Tusisingizie mazingira kwani hata huko walikofanya vizuri mazingira yapo na labda ni magumu zaidi.
Mwalimu au mtu wa kumfundisha mwanafunzi wa Sekondari sio lazima awe yule aliyetoka chuo cha ualimu. Baba nyumbani, mama, kaka,dada aliyepita Sekondari anaweza kutoa msaada 1,2,3...na sio lazima kwa masomo yote. Wanafunzi/Mtoto ahamasishwe kuuliza maswali ya kile alichojifunza shuleni na hakukielewa. Sio ahamasishwe (kwa kupewa ruksa) kuangalia TV au Simu janja au kufuatilia Mpira na mambo kama hayo.
Mkuu; nimesema mwalimu sio lazima awe yule mtu aliyepitia chuo. e.g. Hiyo simu mtoto (mwanafunzi wa sekondari) anayotumia kuangalia porn si aitumie kusearch somo lolote analolitaka?mbona hayo masomo na mifano (+ video)hutolewa kwenye Internet? Mzazi mwenye dada wa kazi ni mzazi mwenye uwezo.Kwa hiyo internet anawafikishia kupitia simu yake au? Kwa watoto hao 500? Ukijumlisha wazazi ambao siku hizi hawana hata muda na watoto wamewaacha dada wa kazi na walimu na wakishindwa kabisa wanawapeleka boarding. And by the way, asilimia kubwa ya watoto wanaosoma shule hizo wazazi wao wa kipato cha chini na wazazi wengi wa hivyo wanapambana na maisha hata huo muda wa kufuatilia watoto hawana. Mzazi yeyote mwenye kujiweza angalau kidogo ni ngumu kumwacha mtoto asome darasa lenye watoto zaidi ya 200.
Walimu hawawezi kutenda miujiza, wanahitaji miundombinu pia. Hayo mengine sijuo ya internet sijui nini wanheyafanya kama hata mishahara wanayolipwa ingekuwa inaeleweka.
Swala la kufaulu mwanafunzi linabebwa na wadau wanne kwanza mwalimu anajukumu la kumpa maarifa ,ujuzi na kumlea mwanafunzi anapokua kwenye mazingira ya shule pili mzazi anajukumu la kumlea na kufuatailia mienendo na tabia za mwanafunzi huyu za kila siku awapo nyumbani tatu mwanafunzi mwenyewe anawajibu wa kufocus ,awe na malengo na uchu wa kufanikiwa katika elimu(commitmentl) nne serikali anawajibu wa kuandaa sera nzuri za elimu Kwaio ndugu mtoa maada wanafunzi wakifeli hatuilaumu serikali,walimu au wanafunzi tunapaswa kufanya utafiti ili tugundue kati ya hao wadau hapo juu nani hajatimizia wajibu wake ipasavyoKwanini wasidai wakati ni haki ya??
Tatizo la wazazi wengi wanafikili mwalimu peke yake anafaulisha.
Kama mzazi mtoto wako Akirudia shule huna muda nae WA kumfuatilia masomo yake unamwacha Kwenye disko na vigodoro unategemea nini??
Mtoto akichapwa kidogo mzazi unaenda kuchamba waalimu matokeo yake ndo haya.
Serikali na yenyewe iwathamini waalimu,Madai ya nauri na arrears za mishahara Yao walipwe Kwa wakati na madaraja wapandishwe Kwa wakati badala ya waalimu kusumbuka na bahasha za barua za kuomba kulipwa madai Yao.
Waalimu wapi stressed Kwa mawazo ,
Wanafunzi wenyewe wanapaswa wajitambue waache utoto na michezo ya kimapenzi.
Wengi wamenunuliwa Simu na wazazi wao na simu hizo zinatumika kuchezea gemu na kutongozana TU basi.Simu wanyang'anywe ili waache kushindwa kucheza gemu.
Waalimu nanyi fundisheni Kwa kutimiza majukumu yenu ipasavyo
Endeleeni kubet na viwango ili tuonekane tunatekeleza ilani .SijawahiWanafunzi mia tano darasa Moja walikua wengi sana yaani ni idadi ya shule nyingine kabisa. Kwahiyo hapo waligawanywa katika mikondo 6 au Saba. Kutokana na idadi ya walimu waliopo Kama ni wachache kufelisha ni jambo la kawaida.
Hii ni Shule iko jioni Dar Es Salaam. Kwa kweli ni aibu tupu! Ina maana waalimu na hao wanafunzi wenyewe Kuna jambo wanafanya sio bure!! Haiwezekani walioko mkoani awafanyie vyema. Huu ni uchumi.Kwa msioifahamu mburahati,ni shule ya secondary ya kata ,iko wilaya ya kinondoni na mkoa wa Dar es Salaam.
Ni shule iliyopo mjini kabisa nikiwa na maana ina access ya nyenzo zote kuanzia walimu na mpaka vitendea kazi.
Sasa haya ndio matokeo yao ya form 2 kwa mwaka jana.
Je, walimu wa hii shule wanastahili kweli kulilia nyongeza yoyote ya mshahara kutoka serikalini?
View attachment 2474008
Kweli kabisa mkuu. Na akibainika ni nani kazembea, basi awajibike.Swala la kufaulu mwanafunzi linabebwa na wadau wanne kwanza mwalimu anajukumu la kumpa maarifa ,ujuzi na kumlea mwanafunzi anapokua kwenye mazingira ya shule pili mzazi anajukumu la kumlea na kufuatailia mienendo na tabia za mwanafunzi huyu za kila siku awapo nyumbani tatu mwanafunzi mwenyewe anawajibu wa kufocus ,awe na malengo na uchu wa kufanikiwa katika elimu(commitmentl) nne serikali anawajibu wa kuandaa sera nzuri za elimu Kwaio ndugu mtoa maada wanafunzi wakifeli hatuilaumu serikali,walimu au wanafunzi tunapaswa kufanya utafiti ili tugundue kati ya hao wadau hapo juu nani hajatimizia wajibu wake ipasavyo
Ws haya wayaona mazuri?Matokeo ya form two mwaka juzi haya..ubaya unavuma sana kuliko uzuriView attachment 2476484
Duuuh! Makahaba tena?Tutegemee bomu la makahaba
Inasikitisha sanaKwa msioifahamu mburahati,ni shule ya secondary ya kata ,iko wilaya ya kinondoni na mkoa wa Dar es Salaam.
Ni shule iliyopo mjini kabisa nikiwa na maana ina access ya nyenzo zote kuanzia walimu na mpaka vitendea kazi.
Sasa haya ndio matokeo yao ya form 2 kwa mwaka jana.
Je, walimu wa hii shule wanastahili kweli kulilia nyongeza yoyote ya mshahara kutoka serikalini?
View attachment 2474008
Semenya wetu huyo....Duuuuuuuh.
We unawajua kweli[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]hyo shule nuksi bin balaaa hamna kitu hapoHyo shule kuanziq benchi la ufundi that means Walimu na wanafunzi wao wana Bet na kucheza upatu... No seriousness at all
Broo nilikua na darasa la watoto 700 ukitoka class kichwa kimestuck jus imagine nilikua nafundisha mathsAiseee ..hapa hamna shule..View attachment 2474026