Hivi Tanzania kuna taasisi inayojishighurisja na haki za wanyama? Kama ipo mnijuze kabla sijafanya ukatili mbaya

Hivi Tanzania kuna taasisi inayojishighurisja na haki za wanyama? Kama ipo mnijuze kabla sijafanya ukatili mbaya

Daah tuwapende Wanyama nao wana haki ya kuishi ukiweza tafuta watu wa mifugo wapelekee mimi niliwahi kumuokota Mbwa aligongwa na Jamaa wa boda boda kwenye mtaro nikampeleka home na kuanza kumnunulia Chakula hoteli mpaka akapona na maisha yake yakaendelea Wanyama wana upendo sana kuwepo kwao kuna sababu tafuta njia ya kumuondoa hapo kwako ataelewa kuwa humuhitaji ila usifanye kitu kibaya maana ubaya wowote utakaomfanyia amini utarudi kwako...
Mkuu ndio maana nataka kumuondowa kwa njia za amani, maana vituko vyake nimevichoka.
 
Ungekuwa mwanaume usingeongea hayo. Shida wewe si mwanaume. Huwezi kuta simba anatangaza yeye ni simba kwa wanyama. Unajifanya mwanaume ili uheshimike. Sisi wanaume tunakuangalia tu dogo kilalavi. Unaa ngalia sana movies za kihindi unadanganyika. Eti risasi..... Hii story umeikuta sehemu umeileta kama ndo wewe mhusika... Kumbe kilalavi tu huna lolote. Ushapigwa sana pipe eeeh?
Kuna wimbi kubwa la mashoga JF ambao wanatafuta mabwana kinguvu.
 
Mbwa anakula Paka'
Paka anakula Panya

SULUHISHO: Fuga Mbwa huyo Paka' atahama mwenyewe bila kupenda

Usimtie kwenye kiroba
Usimtie Rungu
Usimpige na bullet
Usimsafirishe

Paka hakai na Mbwa nyumba moja ukimuingiza Mbwa Paka' lazima atahaga mpambano
 
Wanakera sana viumbe majizi kama paka na mbwa! Kwa sisi hali za chini huyo ningekata panga au ningemuitia jeshi la maangamizi au kwa ajili ya huruma ningemtegea sumu. Kwa nyinyi mnaojiweza kiasi nakushauri kwa ajili umeonesha huruma na kujali utu wako basi mtegee kiroba akiingia nenda nae mbali sana kamtelekeze porini tu!
 
Nyumbani kwangu kuna paka alijileta akapazoea wife akaniambia muache apambane na panya, binafsi siwapendi kabisa paka nimekulia uswahilini nawajuwa ni antena za wachawi.

Huyu paka hana mpango kabisa na panya na ukimpa chakula hakina nyama hali, yeye anataka nyama na samaki na dagaa tu.

Sasa imekuwa kero nyumbani amezidi wizi mkiweka nyama au samaki huyu ni kama chui anweza kupanda popote na hivyo vitu mkileta ndani anajuwa viko wapi ana uwezo mkubwa sana wa kunusa.

Nimevilia sasa nimechoka vituko vyake najuws muda wake asubuhi huwa analala usingizi mzito, sasa nimepanga kumlia timing nimtandike risasi za kutosha maana ndio njia rahisi kwangu kumalizana naye.

Kabla sijatekeleza ukatili huu, kama hapa JF kuna mtu anahusika au amawajuwa wanaohusika na haki za wanyama anijuze niwasiliane nao ili wamnusuru na ukatili ambao nakwenda kuufanya, nimechoka kwakweli na vituko na wizi wake.

Nawasilisha.
Nakupa hongera kwa kumiliki tisasi
 
Mbwa anakula Paka'
Paka anakula Panya

SULUHISHO: Fuga Mbwa huyo Paka' atahama mwenyewe bila kupenda

Usimtie kwenye kiroba
Usimtie Rungu
Usimpige na bullet
Usimsafirishe

Paka hakai na Mbwa nyumba moja ukimuingiza Mbwa Paka' lazima atahaga mpambano
Sitaki kupata dhambi ya kufuga mnyama ambaye unategemea makombo bar ndio umlishe.

Unaweza kwenda kwenye sherehe watu mnaburudika mtu yuko bize na watu wa catering wamuhifadhie makombo aondoke nayo, mimi hapana kwakweli.

Na hata nikifuga mbwa nitafuga mbwa kweli siyo hawa mbwa koko, hawa mbwa wakali walishataka kumuuwa jamaa yangu Changanyikeni walichelewa kupewa chakula, ni Mungu tu aliyemnusuru, na kuna yale mabull dog yenyewe huwa yanapoteza memory yanaweza kukuchenjia muda wowote.
 
mbwa wakali walishataka kumuuwa jamaa yangu Changanyikeni walichelewa kupewa chakula
Mbwa haui sababu ya Chakula nimefuga na kuishi na Mbwa wakali zaidi ya ukali unaoujua wewe namaanisha wakali na Mimi mkali kwa HIO tulikua tumekutana, Mbwa anakuua ukimzingua Ila km unaishi nae Peace anakua rafiki yako mkubwa
 
Rungu humpati huyo,nilikua na paka moja la kike jizi sana.
Friji linafungua tu litakula mboga zote.
Sana samaki na dagaa badae linaleta na mabwana zake.
Nikaona ngoja huyu namuondoa.
Nilikua na lile betong la kuchezea golf.
Hapo tuko wawili tu niliweza.
Piga dharuba kruka ukutani
Piga lingine katoka kunivaa,lingine ikawa vita sasa
Badae nikafungua mlango huyo kakimbia.
Dawa yao ha ni sumu tu kwenye samaki hao anaopenda au dagaa.
Sasa jichanganye ushaweka sumu kwenye samaki umekula monde unakula tena hicho umemtegea.
Unakufa wewe.
😂😂😂
 
kuna jirani yangu alikua anafuga kuku wa kienyeji bas walikua wanataga na wanalea mno vifaranga yan kuku kua na vifaranga 10 akavikuza sio shida jamaa akajaza sana banda mtaani, kuna paka akaona windo la bure anakuja anakamata vifaranga hata vinne anakata vichwa analala chini ya mwembe,jamaa akawa na moyo wakuvumilia tu kwamba akija anamfukuza kimbembe siku moja kuku wake katoka na watoto kumi nambili nje ile anarud kutoka mjini kuwanunulia vyakula anakuta paka anamalizia kifaranga cha mwisho alichokisema n kimoja tu nimechoka nitakuua, akachukua samaki wekea ile sumu ya panya ya chenga nyeus akatega kila anapojua huyu paka anapenda kupita pita na kujipumzisha tulimkuta asubuhi kafa kwenye mwembe anapopenda kulala akishakula vifaranga so dawa hio
 
Mkiambiwa PhD zenu za mchongo mnabisha, chama hicho lipo Ila umeshindwa hata kugoogle ujue wapo wapi
 
Mmbebe tu huyo nyau vizuri nenda sehemu mtupe nenda daraja kubwa mtupe huko,ila kichekesho, tulikwenda home kijijini tukapewa paka,tukaishi nao,maana ni 3 unajua kijijini panya wengi,basi bwana paka hashiki sana panya na akizaa anakula watoto wake. Nani
mwizi balaa,mara anakwaruza watu,anakula mizoga yaani full drama alining'ata kama nini vibaya mno. Sasa baba akataka kumuua kwa sumu hajala kile chakula , akamtegea mitego mingi. Akamshindwa,aisee shida kweli. Ndio akambeba akaenda kumtupa sehemu ya mbali sana . Ila baada ya siku kadhaa akamsikia amerudi. Baba yangu alimchukua akamkemea nakumuamuru atoweke. Baada ya maombi hayo hakuonekana hadi na leo
 
Ya nn uharibu risasi katili mwenzako nipo hapa huyo mwekee samaki kwenye kiroba harafu kiroba kiweke kimetego akiingia tu funga kiroba ongeza na kiroba kingine juu weka na jiwe harafu tia kwenye buti la gari ukifika sehem kuna mto tupa kiroba humo kwisha habari ...mnyama gani huyo anakua rafiki wa mchawi harafu mm nikomae nae home😎
Mwanetu hii ilikuwa kabla hujakamatwa baada ya kumwajibisha babe wetu Penina pale Goba sio.
 
Mmbebe tu huyo nyau vizuri nenda sehemu mtupe nenda daraja kubwa mtupe huko,ila kichekesho, tulikwenda home kijijini tukapewa paka,tukaishi nao,maana ni 3 unajua kijijini panya wengi,basi bwana paka hashiki sana panya na akizaa anakula watoto wake. Nani
mwizi balaa,mara anakwaruza watu,anakula mizoga yaani full drama alining'ata kama nini vibaya mno. Sasa baba akataka kumuua kwa sumu hajala kile chakula , akamtegea mitego mingi. Akamshindwa,aisee shida kweli. Ndio akambeba akaenda kumtupa sehemu ya mbali sana . Ila baada ya siku kadhaa akamsikia amerudi. Baba yangu alimchukua akamkemea nakumuamuru atoweke. Baada ya maombi hayo hakuonekana hadi na leo
Balaa sana hii
 
Hakuna cha ruhusa una piga kisasa sawa anakufa una zika kwani kuna kesi hapo ,mbona sie tushaua dog bila ya ruhusa huyo paka niwakukill kwa Malungu ya uhakika .Una omba ruhusa naona haja kukera vizuri bado huyo paka muhini
ukatili ulioje? Kwani yeye hana roho au hakuumbwa?
 
Nyumbani kwangu kuna paka alijileta akapazoea wife akaniambia muache apambane na panya, binafsi siwapendi kabisa paka nimekulia uswahilini nawajuwa ni antena za wachawi.

Huyu paka hana mpango kabisa na panya na ukimpa chakula hakina nyama hali, yeye anataka nyama na samaki na dagaa tu.

Sasa imekuwa kero nyumbani amezidi wizi mkiweka nyama au samaki huyu ni kama chui anweza kupanda popote na hivyo vitu mkileta ndani anajuwa viko wapi ana uwezo mkubwa sana wa kunusa.

Nimevilia sasa nimechoka vituko vyake najuws muda wake asubuhi huwa analala usingizi mzito, sasa nimepanga kumlia timing nimtandike risasi za kutosha maana ndio njia rahisi kwangu kumalizana naye.

Kabla sijatekeleza ukatili huu, kama hapa JF kuna mtu anahusika au amawajuwa wanaohusika na haki za wanyama anijuze niwasiliane nao ili wamnusuru na ukatili ambao nakwenda kuufanya, nimechoka kwakweli na vituko na wizi wake.

Nawasilisha.
Paka anakutoa jasho. Hadi unataka kumaliza risasi zako kwa ajli yake.
Je ukishambuliwa na mbu utaomba kibali kipi?
 
Paka anakutoa jasho. Hadi unataka kumaliza risasi zako kwa ajli yake.
Je ukishambuliwa na mbu utaomba kibali kipi?
Ninaposema mashoga wamejaa JF huwa namaanisha, hivi wewe unaweza kupambana na paka tukufungieni ndani wawili?

Mapimbi kama wewe hamjui paka yupo kundi moja na chui na Simba.

Simba na Chui wote ni Cat na huyu wa domestic unayemchukulia powa kwa sababu ni Juha naye ni Cat.

Tofauti yao Simba na Chui ni paka wakubwa na huyu wa nyumbani ni paka mdogo lakini ni walewale.
 
Back
Top Bottom