Hivi Tanzania kuna taasisi inayojishighurisja na haki za wanyama? Kama ipo mnijuze kabla sijafanya ukatili mbaya

Hivi Tanzania kuna taasisi inayojishighurisja na haki za wanyama? Kama ipo mnijuze kabla sijafanya ukatili mbaya

Wewe ndo hujui. Kukusaidia tu kiwango cha kibali cha Risas unachoruhusiwa kununua/kumiliki katika kila mwaka kimeoanishwa kwenye Sect 22 of the firearms and ammunition Control act ya mwaka 2015.
Sasa tueleze wewe una silaha gani tu tukuwekee specific limit ya Risas unazoruhusiwa kumiliki in that particular year. Otherwise endelea na porojo zako kwa wasiojua. Wanaojua wanakutizama tuuu!
Hivi akitokea mpumbavu na Juha kama wewe akiniambia sijatahiriwa unategemea nitowe jando kuthibitisha.

You are a fool.
 
Hivi akitokea mpumbavu na Juha kama wewe akiniambia sijatahiriwa unategemea nitowe jando kuthibitisha.

You are a fool.
Huna hoja na Ndo maana watoa irrelevant examples . Poor you.
next time punguza uongo wa hadharani.
Pia njoo nikufundishe matumizi ya silaha kama una hamu ya kumiliki mojawapo.
 
Huna hoja na Ndo maana watoa irrelevant examples . Poor you.
next time punguza uongo wa hadharani.
Pia njoo nikufundishe matumizi ya silaha kama una hamu ya kumiliki mojawapo.
Huna akili, subiri hivi vitoto siku moja uvifundishe halafu watakuonesha inatumikaje.

Screenshot_2024-05-12-11-04-51-65.png
Screenshot_2024-05-12-10-52-30-38.png
Screenshot_2024-05-12-11-04-48-86.png
 
Nyumbani kwangu kuna paka alijileta akapazoea wife akaniambia muache apambane na panya, binafsi siwapendi kabisa paka nimekulia uswahilini nawajuwa ni antena za wachawi.

Huyu paka hana mpango kabisa na panya na ukimpa chakula hakina nyama hali, yeye anataka nyama na samaki na dagaa tu.

Sasa imekuwa kero nyumbani amezidi wizi mkiweka nyama au samaki huyu ni kama chui anweza kupanda popote na hivyo vitu mkileta ndani anajuwa viko wapi ana uwezo mkubwa sana wa kunusa.

Nimevilia sasa nimechoka vituko vyake najuws muda wake asubuhi huwa analala usingizi mzito, sasa nimepanga kumlia timing nimtandike risasi za kutosha maana ndio njia rahisi kwangu kumalizana naye.

Kabla sijatekeleza ukatili huu, kama hapa JF kuna mtu anahusika au amawajuwa wanaohusika na haki za wanyama anijuze niwasiliane nao ili wamnusuru na ukatili ambao nakwenda kuufanya, nimechoka kwakweli na vituko na wizi wake.

Nawasilisha.
Unajua ni ukatili na bado unataka kuufanya?

Mi nimekuja mbio mbio nikifikiri wewe ni mtetezi wa wanyama kumbe ni adui yao?

Usifanye hivyo mkuu. Kaa chini, jitulize na umfundishe huyo paka tabia njema. Utakuja kumfurahia baadaye.
 
sasa ubishani wa nini we mzee?? nimekupa hint its ither ufuate uthibitishe au uendelee kushupaza fuvu lako
Paka hafi kwa sumu ya panya, labda binadamu ndio anakufa kwa sumu ya panya.

Waliosema paka ana roho saba usidhani huo msemo ni wa bure.
 
Wabongo bhana, huwa hatupendi mtu awe tofauti na sisi.... Naona baadh ya watu wamesahau lengo la mleta mada badala yake wanaanza zungumzia umiliki wake wa bunduki🤔🤔

Halafu unakuta wanaomkejeli jamaa wengi wanaishi keko,,, hapo unakuta hata mchana hawajala, wanasumbua watu na bandle la 500!!

Tutafute pesa bandugu ili next time tuwe busy kujibu kwa hoja na sio kuingiza wivu na chuki sehem ambazo vitu hvyo havihitajiki🚶🚶
 
Huku kwetu bongo wanyama hawana haki, we piga tu limradi usiwe mfugo wa mtu maana utaulipa
 
Inakuaje paka anawashinda?

Mtafutie mbwa mkali tu hata wa kukodi...
 
Hapa mie nimetoka kutega panya sumu wafe kudadeki wakunifuata anifuate na yeye nimtie sumu akafie mbele hakuna cha ukatili hapo mie niko kzl wakuja aje kujifungulia kesi
 
TSPCA
Tanzania Society for the prevention to cruelty to animals.
Walikua hapo karibu na vijana building maeneo ya Regency hospital.
 
Back
Top Bottom