Hivi Tanzania kuna taasisi inayojishighurisja na haki za wanyama? Kama ipo mnijuze kabla sijafanya ukatili mbaya

Hivi akitokea mpumbavu na Juha kama wewe akiniambia sijatahiriwa unategemea nitowe jando kuthibitisha.

You are a fool.
 
Hivi akitokea mpumbavu na Juha kama wewe akiniambia sijatahiriwa unategemea nitowe jando kuthibitisha.

You are a fool.
Huna hoja na Ndo maana watoa irrelevant examples . Poor you.
next time punguza uongo wa hadharani.
Pia njoo nikufundishe matumizi ya silaha kama una hamu ya kumiliki mojawapo.
 
Simba kagongwa 7-1 hii taasisi inakwama parefu sana
 
Huna hoja na Ndo maana watoa irrelevant examples . Poor you.
next time punguza uongo wa hadharani.
Pia njoo nikufundishe matumizi ya silaha kama una hamu ya kumiliki mojawapo.
Huna akili, subiri hivi vitoto siku moja uvifundishe halafu watakuonesha inatumikaje.

 
Unajua ni ukatili na bado unataka kuufanya?

Mi nimekuja mbio mbio nikifikiri wewe ni mtetezi wa wanyama kumbe ni adui yao?

Usifanye hivyo mkuu. Kaa chini, jitulize na umfundishe huyo paka tabia njema. Utakuja kumfurahia baadaye.
 
sasa ubishani wa nini we mzee?? nimekupa hint its ither ufuate uthibitishe au uendelee kushupaza fuvu lako
Paka hafi kwa sumu ya panya, labda binadamu ndio anakufa kwa sumu ya panya.

Waliosema paka ana roho saba usidhani huo msemo ni wa bure.
 
Wabongo bhana, huwa hatupendi mtu awe tofauti na sisi.... Naona baadh ya watu wamesahau lengo la mleta mada badala yake wanaanza zungumzia umiliki wake wa bundukišŸ¤”šŸ¤”

Halafu unakuta wanaomkejeli jamaa wengi wanaishi keko,,, hapo unakuta hata mchana hawajala, wanasumbua watu na bandle la 500!!

Tutafute pesa bandugu ili next time tuwe busy kujibu kwa hoja na sio kuingiza wivu na chuki sehem ambazo vitu hvyo havihitajiki🚶🚶
 
Huku kwetu bongo wanyama hawana haki, we piga tu limradi usiwe mfugo wa mtu maana utaulipa
 
Inakuaje paka anawashinda?

Mtafutie mbwa mkali tu hata wa kukodi...
 
Hapa mie nimetoka kutega panya sumu wafe kudadeki wakunifuata anifuate na yeye nimtie sumu akafie mbele hakuna cha ukatili hapo mie niko kzl wakuja aje kujifungulia kesi
 
TSPCA
Tanzania Society for the prevention to cruelty to animals.
Walikua hapo karibu na vijana building maeneo ya Regency hospital.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…