Sister Abigail
JF-Expert Member
- Sep 2, 2020
- 2,886
- 9,088
- Thread starter
-
- #81
Ni kweli.maana auditory nerves zinakuwa zimepara tatizo.sasa faida peke atayoipata ni sauti kuja Kwa juu but kuelewa matamshi ni Kwa kubahatishaMkuu hiki kifaa kazi yake ni kukusanya mawimbi ya sauti na kuyaelekeza ndani ya sikio, sasa kwa mtu ambaye anashindwa kuelewa kinachozungumzwa hata kwa sauti kubwa kitamsaidia vipi?.
Nimepoa mkuuPole Mkuu
Unajua hearinh aid ina kao gani na inatumiwa na kina nani?Mkuu hiki kifaa kazi yake ni kukusanya mawimbi ya sauti na kuyaelekeza ndani ya sikio, sasa kwa mtu ambaye anashindwa kuelewa kinachozungumzwa hata kwa sauti kubwa kitamsaidia vipi?.
Umesema ukweli.tunapitia wakati mgumu sana kiuchumi.ni wachcahe hufanikiwaPole Sana mkuu
Mimi binafsi nilikuwa naichukulia kawaida sana changamoto ya usikivu Ila Karina harakati zangu nimegundua hii ni changamoto kubwa na inaweza kumkosesha mtu fursa za kiuchumi.
Sehemu nyingi maeneo ya Kazi wakigundua hausikii vizuri tayari wanaanza kukufanyia unyanyasaji .
Ndo maana wasomi wengi wenye hii changamoto asipopata fursa serikalini wanaamua kufanya tu Biashara .
Ni mateso Sana .
Ni mbaya MTU akifanyia stigma
hi vp kucopy na hiyo hali ya unyanyapaa@sister abigailSalaam,
Imenibidi niulize Kwa maana Hali Halisi niionavyo na nikiwa kama mhanga mmojawapo inanifkirisha sana. Nasema hivi sababu Kuna baadhi ya watu jinsi wanavyotendea wenye matatizo ya usikivu ni kama kuwafanya vituko. Hugeuza tatizo lao kuwa utambulisho badala ya kumsaidia.unakuta uko eneo lenye mkusanyiko anakufata mtu "choo Kiko wapi"?.. wakati unatarajia kumjibu anakuja au anadakia mtu "haskii vizuri"
Kwa Namna hii inakuwa anamnuong'onyeza yule mwenye tatizo badala ya kumsaidia. Hawa watu wako beneti mda wote attention kuhakikisha hakuna anaekuongeasha.hata salamu. Na hawa ndo wale wakishajua husikii vema basi hata salamu hakupi,anakupita kama sanamu hata ukimsalimia "habari yako" hakujibu. Mwingine unakuta ni Mzee kabisa,unatarajia atakuwa tofauti na labda sababu ya ukomavu kiakili lakini nae eti unamsalimia hajibu.nabaki naduwaa!.
Kuna wakati najiuliza matatizo ya sikio ndio makubwa kuliko yote,mbona mtu haoni vizuri anavaa miwani hafanyiwi hivi? Kuna watu bila miwani hawawezi hata kutembea barabarani,kusoma hawawezi kabisa,why hawapitii masaibu kama wenye usikivu hafifu?
Basi angalau iwe Kwa watu Baki,tunayapitia pia na Kwa tunaowaona wapendwa na ndugu zetu.maumivu yake sio madogo. Achana na ndugu na wapendwa Kuna nyumba ya ibada.nliwahi fanyiwa jambo nkajikuta nachukia kuingia nyumba ya ibada. Kwenye maofisi hasa ya umma Hadi tunaogopa.maana kama wenye masikio Yao tu wanakiona Cha moto vipi wewe mwenye masikio mazito🤣
Lakini pamoja na kukutana nawatu wenye kutibua hisia na maumivu,bado Kuna watu wema hata mie nakutana nao,ni watu waelewa,wako friendly hawajali kabisa ukiwa open unafurahia wanakusahaulisha hata shida zako..Mwenyezi Mungu awatunze sana!
Nb:Abigail ni muhanga wa Hilo tatizo na nilijua nko mwenyewe ama tuko wachache lakini nilivyojiunga kwenye jamii za wenye Hilo tatizo ndipo nkajua tupo wengi sana,asilimia kubwa ni vijana.japo vyanzo vya shida vinafanana na wengine havifanani,katika kushea changamoto wanazopitia nikaobserve mengi mojawapo ni Hilo.
The same hali yangu nina hali yangu ya kutokanyaga chini miguu yangu yote miwili ila mimi nimechukulia kawaida tuSalaam,
Imenibidi niulize Kwa maana Hali Halisi niionavyo na nikiwa kama mhanga mmojawapo inanifkirisha sana. Nasema hivi sababu Kuna baadhi ya watu jinsi wanavyotendea wenye matatizo ya usikivu ni kama kuwafanya vituko. Hugeuza tatizo lao kuwa utambulisho badala ya kumsaidia.unakuta uko eneo lenye mkusanyiko anakufata mtu "choo Kiko wapi"?.. wakati unatarajia kumjibu anakuja au anadakia mtu "haskii vizuri"
Kwa Namna hii inakuwa anamnuong'onyeza yule mwenye tatizo badala ya kumsaidia. Hawa watu wako beneti mda wote attention kuhakikisha hakuna anaekuongeasha.hata salamu. Na hawa ndo wale wakishajua husikii vema basi hata salamu hakupi,anakupita kama sanamu hata ukimsalimia "habari yako" hakujibu. Mwingine unakuta ni Mzee kabisa,unatarajia atakuwa tofauti na labda sababu ya ukomavu kiakili lakini nae eti unamsalimia hajibu.nabaki naduwaa!.
Kuna wakati najiuliza matatizo ya sikio ndio makubwa kuliko yote,mbona mtu haoni vizuri anavaa miwani hafanyiwi hivi? Kuna watu bila miwani hawawezi hata kutembea barabarani,kusoma hawawezi kabisa,why hawapitii masaibu kama wenye usikivu hafifu?
Basi angalau iwe Kwa watu Baki,tunayapitia pia na Kwa tunaowaona wapendwa na ndugu zetu.maumivu yake sio madogo. Achana na ndugu na wapendwa Kuna nyumba ya ibada.nliwahi fanyiwa jambo nkajikuta nachukia kuingia nyumba ya ibada. Kwenye maofisi hasa ya umma Hadi tunaogopa.maana kama wenye masikio Yao tu wanakiona Cha moto vipi wewe mwenye masikio mazito🤣
Lakini pamoja na kukutana nawatu wenye kutibua hisia na maumivu,bado Kuna watu wema hata mie nakutana nao,ni watu waelewa,wako friendly hawajali kabisa ukiwa open unafurahia wanakusahaulisha hata shida zako..Mwenyezi Mungu awatunze sana!
Nb:Abigail ni muhanga wa Hilo tatizo na nilijua nko mwenyewe ama tuko wachache lakini nilivyojiunga kwenye jamii za wenye Hilo tatizo ndipo nkajua tupo wengi sana,asilimia kubwa ni vijana.japo vyanzo vya shida vinafanana na wengine havifanani,katika kushea changamoto wanazopitia nikaobserve mengi mojawapo ni Hilo.
Umesema ukweli.tunapitia wakati mgumu sana kiuchumi.ni wachcahe hufanikiwa
Ukiwa huna elimu kubwa ama ujUzi ndio tatizo zaidi
Linaweza kutibika ukitembelea wataalamu wa masikio, wanatambulika 'ENT'Wakati naanza kubalehe ndio lilianza
Unamaaniaha ku cope?Unais
hi vp kucopy na hiyo hali ya unyanyapaa@sister abigail
Kujikubali ni kila kitu siunamuona Hajii ManaraThe same hali yangu nina hali yangu ya kutokanyaga chini miguu yangu yote miwili ila mimi nimechukulia kawaida tu
Wanasema tatizo ni nini?The same hali yangu nina hali yangu ya kutokanyaga chini miguu yangu yote miwili ila mimi nimechukulia kawaida tu
Kuna alitypitia yanamfaanya awe hivo.Kweli Ila Kama umepata hii shida ni vizuri ukawa makini Sana ili usikuze tatizo zaidi .
Maana Mimi nimekaa na Dada hasikii viziuri kiukweli nimeoja ambavyo anajichukia Sana maana kila mtu anamkataa hasa katika mahusiano.
Nshafanya sana.tangu zamani japo nlichelewaLinaweza kutibika ukitembelea wataalamu wa masikio, wanatambulika 'ENT'
HongeraThe same hali yangu nina hali yangu ya kutokanyaga chini miguu yangu yote miwili ila mimi nimechukulia kawaida tu
Hii imenisaidia sana hadi hapa nilipofika.Ni wewe tu unavyojiweka, kuna sehemu nyingine unakuta mlemavu ndio kila kitu yaani kwenye kitengo/ group/ au sehemu yenye maamuzi fulani kijamii bila yeye hamtoboi.
Jiamini,Jithamini,weka mipaka na hakikikisha watu wanafuata kanuni na taratibu zako iwe kifamilia ,kimapenzi ,kikazi n.k.
Onyesha thamani yako wengine watafuata.
Mimi nilihudhuria clinic Muhimbili ENT miezi 3 nikitumia dawa huku wakiendelea kuniangalia,na aliyekuwa daktari wangu ni specialist wa ENT,baada ya miezi 3 wakasema solution ni mbili,ufanyiwe operation ambayo ni very risk,unaweza kupona au ukabaki na kilema,au utumie hearing aids,akasema sikushauri ufanye operation,kwahiyo nikaandikiwa hearing aids na nikaanza kuzitumia,zinasaidia kwa kiwango flani lakini sio kama zinakurudishia usikivu wa sikio la kawaida...Linaweza kutibika ukitembelea wataalamu wa masikio, wanatambulika 'ENT'
Dawa za asili zipo na zinatibu kweli, ila kwa tatizo lililosababishwa na mwingne.Dawa za asili zipo usiwe mbishi Kwa kila kitu Mimi mzee wangu alikuwa hasikii .
Ila kuna Dawa alitumia akapona .
Nipo Bukoba Ila nikifika DSM Kwa mzee nitamuuliza hiyo Dawa.
Dawa zipo na zinatibu