Hivi Tundu Lissu haoni hatari inayomnyemelea pamoja na maonyo yote? Mungu pisha mbali, anajiamini nini wakati anapambana na viumbe wasio na huruma?

Hivi Tundu Lissu haoni hatari inayomnyemelea pamoja na maonyo yote? Mungu pisha mbali, anajiamini nini wakati anapambana na viumbe wasio na huruma?

Father of All

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2012
Posts
7,672
Reaction score
9,039
1734491513508.png


Kwa namna alivyouawa mzee Ali Kibao bila wahusika kujulikana, kutafutwa wala kuchuliwa hatua, ni mwendawazimu pekee anayeweza kujiamini mbele ya makatili na wauaji ambao wameshika kani chini ya kivuli cha watu wasiojulikana ingawa wanajulikana. Kwa kuzingatia hali na ukweli huu, nashangaa Tundu Lissu anajiamini nini wakati alishajaribiwa. Je anaamini kuweka wazi njama dhidi yake kutamsaidia asimalizwe? Je anaamini hivyo vyombo vyake vya kimataifa au kuna namna? Je huu ni mwanzo wa mwisho wa Lissu hapa duniani? Je ni ile hali ya la kufa? Baba yenu sielewi.
 
View attachment 3179288

Kwa namna alivyouawa mzee Ali Kibao bila wahusika kujulikana, kutafutwa wala kuchuliwa hatua, ni mwendawazimu pekee anayeweza kujiamini mbele ya makatili na wauaji ambao wameshika kani chini ya kivuli cha watu wasiojulikana ingawa wanajulikana. Kwa kuzingatia hali na ukweli huu, nashangaa Tundu Lissu anajiamini nini wakati alishajaribiwa. Je anaamini kuweka wazi njama dhidi yake kutamsaidia asimalizwe? Je anaamini hivyo vyombo vyake vya kimataifa au kuna namna? Je huu ni mwanzo wa mwisho wa Lissu hapa duniani? Je ni ile hali ya la kufa? Baba yenu sielewi.
Kila mtu amezaliwa kwa hulka na tabia yake, wengine, waoga, wengine makatili na wauaji, wengine jasiri na wapambanaji na wengine wambea na machawa nk. Tundu amezaliwa kivyake.
 
View attachment 3179288

Kwa namna alivyouawa mzee Ali Kibao bila wahusika kujulikana, kutafutwa wala kuchuliwa hatua, ni mwendawazimu pekee anayeweza kujiamini mbele ya makatili na wauaji ambao wameshika kani chini ya kivuli cha watu wasiojulikana ingawa wanajulikana. Kwa kuzingatia hali na ukweli huu, nashangaa Tundu Lissu anajiamini nini wakati alishajaribiwa. Je anaamini kuweka wazi njama dhidi yake kutamsaidia asimalizwe? Je anaamini hivyo vyombo vyake vya kimataifa au kuna namna? Je huu ni mwanzo wa mwisho wa Lissu hapa duniani? Je ni ile hali ya la kufa? Baba yenu sielewi.
Unaelewa maana ya jasiri? Dunia hii Kuna binadamu ambae atasalimika na kifo?? Kifo kipo tu hata ukimbilie mwezini Bado utakufa tu! Mwenyezi mungu ndie ajuae namna Gani amekuandalia kifo chako na sio binadamu yeyote
 
Kila nikiangalia hii picha,, huwa nasema bora Jiwe( yule dhalimu) alikufa.

Mungu aliwafanyia watanzania wepesi kwa kushusha pigo moja takatifu ili watu wake wapone.
Kwayanayo endelea Sasa ndani ya chadema Nina Imani hii ilikuwa ni kazi ndani ya chama hata jana Lisu alikuwa na wasiwasi na maisha yake
 
Tundu Lissu ndio mtu pekee kwa sasa anayeweza kutuongoza kupata uhuru upya na kuanza kulijenga upya taifa hili kama ataanzia pale alipokosea Mwalimu Nyerere.
Tundu Lissu kwa sasa ana uwezo wa kutusaidia kuitafuta shilling na funguo zilizotumbukizwa kwenye shimo la choo.
Tundu Lissu akiungana na watu wachache wenye uchungu wa nchi hii na kuondokana na vyama ambavyo vimejaa mafisadi tunaweza kufika mbali zaidi. Tumuunge mkono. 🤔
 
Unaelewa maana ya jasiri? Dunia hii Kuna binadamu ambae atasalimika na kifo?? Kifo kipo tu hata ukimbilie mwezini Bado utakufa tu! Mwenyezi mungu ndie ajuae namna Gani amekuandalia kifo chako na sio binadamu yeyote
Je ungekuwa wewe ungesema hayo? 'Majasiri' mko wapi mbona hatuwaoni? Acha kujidanganya na kudanganya.
 
Nikutoelewa tu ,kuna watu kwenye nchi sio wa kugusa ,Mseveni na umafia wake wote hakuwai wafanyia wapinzani wake kama alichofanyiwa lissu ya kupigwa malisasi.
Mara ya mwisho ndo tuliona Bob wine anapigwa risasi ya mguu, hata hivyo aliefanya vile wenda yuko kwenye onyo kali
 
View attachment 3179288

Kwa namna alivyouawa mzee Ali Kibao bila wahusika kujulikana, kutafutwa wala kuchuliwa hatua, ni mwendawazimu pekee anayeweza kujiamini mbele ya makatili na wauaji ambao wameshika kani chini ya kivuli cha watu wasiojulikana ingawa wanajulikana. Kwa kuzingatia hali na ukweli huu, nashangaa Tundu Lissu anajiamini nini wakati alishajaribiwa. Je anaamini kuweka wazi njama dhidi yake kutamsaidia asimalizwe? Je anaamini hivyo vyombo vyake vya kimataifa au kuna namna? Je huu ni mwanzo wa mwisho wa Lissu hapa duniani? Je ni ile hali ya la kufa? Baba yenu sielewi.
Nelson mandela na icon wengine ulaya na south america walioteswa zaidi ya hiki? Wangekata tamaa mataifa yao yangekuwa hapo?

Lazima watu kama wawepo ili jamii fulani ivuke eneo fulani.

Tree of freedom must be refreshed time to time by the blood of patriots
 
View attachment 3179288

Kwa namna alivyouawa mzee Ali Kibao bila wahusika kujulikana, kutafutwa wala kuchuliwa hatua, ni mwendawazimu pekee anayeweza kujiamini mbele ya makatili na wauaji ambao wameshika kani chini ya kivuli cha watu wasiojulikana ingawa wanajulikana. Kwa kuzingatia hali na ukweli huu, nashangaa Tundu Lissu anajiamini nini wakati alishajaribiwa. Je anaamini kuweka wazi njama dhidi yake kutamsaidia asimalizwe? Je anaamini hivyo vyombo vyake vya kimataifa au kuna namna? Je huu ni mwanzo wa mwisho wa Lissu hapa duniani? Je ni ile hali ya la kufa? Baba yenu sielewi.
Du!! kwa hiyo hao wauaji wana collabo na cdm? mm najua yeye anataka u chairman wa cdm.
 
Je ungekuwa wewe ungesema hayo? 'Majasiri' mko wapi mbona hatuwaoni? Acha kujidanganya na kudanganya.
Kila mahali kuna majasiri ndio maana kuna wanajeshi .

Watu wote wakiwa waoga Dunia isingepiga hatua. Hata kucheza mpira kunahitaji ujasiri mkubwa, kujenga majengo marefu kunahitaji ujasiri mkubwa .

Kuvua samaki kunahitaji ujasiri mkubwa, kufuga ng'ombe katikati ya pori la simba kuna hitaji ujasiri, Jaji anapotoa hukumu ya kifo kuna hitaji ujasiri mkubwa, kumkosoa Rais dikteta kunahtaji ujasiri mkubwa,

Kuendesha ndege vita kunahitaji ujasiri mkubwa, kutegua mabomu kunahitaji ujasiri mkubwa,
Kuchimba Madini mita 1000 chini ya ardhi kuna hitaji ujasiri mkubwa.
Kuendesha mitambo ya kuchimba visima kunahitaji ujasiri mkubwa, Polisi kupambana na majambazi kuna hitaji ujasiri mkubwa.
Kuendesha magari ya mashindano au pikipiki kunahitaji ujasiri mkubwa .

Kuhubiri Ukristo kwenye nchi za Asia na uarabuni na Somalia kuna hitaji ujasiri mkubwa. Kuwa Gaidi kuna hitaji ujasiri mkubwa.
 
View attachment 3179288

Kwa namna alivyouawa mzee Ali Kibao bila wahusika kujulikana, kutafutwa wala kuchuliwa hatua, ni mwendawazimu pekee anayeweza kujiamini mbele ya makatili na wauaji ambao wameshika kani chini ya kivuli cha watu wasiojulikana ingawa wanajulikana. Kwa kuzingatia hali na ukweli huu, nashangaa Tundu Lissu anajiamini nini wakati alishajaribiwa. Je anaamini kuweka wazi njama dhidi yake kutamsaidia asimalizwe? Je anaamini hivyo vyombo vyake vya kimataifa au kuna namna? Je huu ni mwanzo wa mwisho wa Lissu hapa duniani? Je ni ile hali ya la kufa? Baba yenu sielewi.
Yesu alisema (pamoja na mateso haya yote) "mwenye kuvumilia ndiye atayeokoka."
 
View attachment 3179288

Kwa namna alivyouawa mzee Ali Kibao bila wahusika kujulikana, kutafutwa wala kuchuliwa hatua, ni mwendawazimu pekee anayeweza kujiamini mbele ya makatili na wauaji ambao wameshika kani chini ya kivuli cha watu wasiojulikana ingawa wanajulikana. Kwa kuzingatia hali na ukweli huu, nashangaa Tundu Lissu anajiamini nini wakati alishajaribiwa. Je anaamini kuweka wazi njama dhidi yake kutamsaidia asimalizwe? Je anaamini hivyo vyombo vyake vya kimataifa au kuna namna? Je huu ni mwanzo wa mwisho wa Lissu hapa duniani? Je ni ile hali ya la kufa? Baba yenu sielewi.
Hata nyerere angewaogopa wakoloni kwa kuwa waliwanyonga waafrika hadharani basi usingekuwa huru hadi sasa ,

Kuna watu mungu huwainua kwa ajili ya mambo hayo kama anavyo fanya lisu na hutumia sehemu kubwa ya maisha yao bila kujali ,wewe uliye muonga ndivyo ulivyo umbwa haiwezekani mkafanana
 
Tangu nchi ipate uhuru hajawahi kutokea mtu mshenzi na katili kama Magufuli.
Kama Magufuli alimshindwa na hatimaye kufa mwenyewe sidhani kama huyo Mungu aliyemnyang'anya uhai Magufuli atashindwa kufanya tena
 
Back
Top Bottom