Vingi.
1. Makandarasi wa ndani walipwe ili kuongeza mzunguko wa pesa kwenye uchumi wetu wa ndani.
2. Miradi mingi ya serikali hasa mikubwa ihusishe wazawa zaidi ili pesa nyingi ibakie nchini ili kustimulates uchumi wetu kwa sababu kwa sasa pesa nyingi zinaenda nje kutengeneza ajira na maisha ya wananchi wa hizo nchi kuliko tanzania isitoshe miradi hiyo itachukua muda kuanza kulipa.
3. Siasa ni usindani, bila ushindani hakuna siasa, tuamue moja tunahitaji siasa za ushindani au za uteuzi, kama ni za uteuzi basi tuachane na vyama vingi, tuvifute.
4.