Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani haiwezi tokea mkuu?..Hiiiiiii!!
[emoji2][emoji2]Nitamuomba aniruhusu nimuoe binti yake J
😂😂😂😂😂😂Nitamuangaliaaa bila kummaliza then nitatingisha kichwa na kuaga.
8Vizuri sana,ushauri mzuri mkuu!!..
ntamshauri asiendelee kugombea baada mihula yake miwili kumalixikaMaisha ya mwanadamu ni ya kipekee sana, japo sote tunafanana kwa umbo la nje lakini kifikra, imani, itikadi na mitazamo tunatofautiana kwa kiwango kikubwa.
Kuna baadhi ya watu wamepata bahati ya kukutana na Rais wetu katika matukio, hafla na dhifa mbalimbali baadhi yao wakiwa wanasiasa, watumishi wa Mungu, wanamichezo, wanahabari, wafanyabiashara, watumishi nk.
Watu hao wote walikuwa na mambo mengi ya kuongea/kushauriana ambayo mengi tunayajua na mengine hatuyajui pia.
Ikitokea kwako unayesoma andiko hili ukakutana na Mheshimiwa na akawa radhi kukusikiliza, hoja, ombi, au ushauri utamwambia kitu gani ambacho unahisi kitakuwa na manufaa kwako na kwa jamii kwa ujumla?
Unamtafuta ubaya jojo na kai@@ki ??
Upishi huu huu niujuao mimi au umeingiza kamethali mkuu?Anipe nafasi ya upishi..nimfurahishe
Tz inaonekana bado kuna dhulma na ufisadi katika utoaji wa haki.Nitamwomba anisaidie kunirudishia mali zangu nilizodhulumiwa!
Amen mkuu,naomba aone hapa..anipe nafasi ya kuwatumikia watanzania...
Vizuri Mkuu1. Aunganishe kila mkoa kwa SGR hata kule ambako reli ya kati haikupita. Atakuwa ameacha bonge la legacy na kusaidia uchumi wetu kwa miaka mingi ijayo. Hata ikibidi tufunge zaidi mikanda nile mara moja kwa siku, nitaunga mkono kama ni kwasababu nitaweza toka Mwanza kwenda kwetu Namanyere kwa kuteleza na kurudi siku hiyo hiyo. Na tunajua akiamua kitu, anaweza. Aamue SGR kila mkoa.
2. Afikirie na kutafakari kabla ya kuongea. Apime malengo ya anayotaka kuyasema, kama hawezi kuyasema mbele za Mungu, anyamaze.
3. Akitaka kutuonyesha jinsi alivyo na nguvu na mamlaka juu ya kila kitu, aache kutoa vitisho hadharani. Hakuna asiyejua nguvu ya ofisi aliyonayo. Kutoa vitisho kwa watendaji wake hadharani ili kuwatishia kutenda ayatakayo ni Ishara ya Udhaifu, na kukosa imani kuwa aliowateua tayari wanajua anauwezo wakuwatengua, na kwa uwoga wa kutenguliwa, watatekeleza ayatakayo.
4.Asiogope kuongea na wanahabari kama walivyofanya Mkapa na Kikwete kila mwezi kutuelezea na kutufafanulia sera anazotekeleza.
5. Asisahau kunyamaza mbele ya hadhara. Hana jipya analoelezaga. Tumeshayasikia yote na kurudiarudia haisaidii. Sio lazima kila akipewa kipaza sauti, aongee.
6.Afunge na kuomba Mungu amjalie Hekima na Busara japo kidogo tu.
Ufanikiwa Madam,una tamani zaidi ungepewa nafasi ya kuwatumikia wananchi katika field ipi?.Anipe nafasi majukumu ya kulitumikia taifa hili tuu. Kuna mengi makubwa na mazuri anapanga yafanyike ambayo akinipa kazi ya kutekeleza sitamuangusha. Namwelewa sana my President[emoji123]
Imetokea ukapata Mkuu utapendelea zaidi akupe nafasi eneo gani?.Nitamuomba anipe nafasi ya kazi nitumikie wananchi wenzangu. Pamoja na rais na kwa umoja, ukweli, nia na lengo moja tunaweza kuifikisha nchi mahali tunapotamani kuwa.
Vipi kwa wazazi/walezi wasio na uwezo kabisa wa kumudu gharama za kusomesha watoto mkuu, huoni kwamba ushauri wako utaathiri watu badala ya kuwafaidisha majority ambao ni watu wasio na kipato/kipato cha chini?Afute elimu bure