Hivi unaaamini Waziri mmoja tu anaweza kufanya maamuzi ya kuingiza nchi hasara ya zaidi ya trilioni moja bila mabosi wake kujua?

Hivi unaaamini Waziri mmoja tu anaweza kufanya maamuzi ya kuingiza nchi hasara ya zaidi ya trilioni moja bila mabosi wake kujua?

Yule mwingine enzi zake, hakutaka watu wahoji, akahamishia madudu yake kwenye akaunti zisizokaguliwa na akawa anaitwa Mzalendo!

Bongo ni nchi ya maajabu kabisa!
Kwahiyo unataka tuhalalishe wizi kwa sababu hiyo? Ujinga na ubinafsi umekutawala mkuu. Address the issue at hand.
 
Back
Top Bottom