Kasema kweli, unaanzaje mechi umefungwa?Ukikua utaacha.
UONGOKiongozi Kama umeoa basi Mungu akutangulie sana ila kama bado amini amini nakuambia utanasa kwa single mom.
Wanaume saa zingine tunakuwa wajinga sanaWajinga sana, mabinti wabichi wapo ila mtu anangangania wapigania uhuru tena aliyezalishwa
Wanakuwa loyal sababu wenye watoto wao hawajarudi au kuna kitu wanafaidi kwako.Ni wanaume wapumbavu pekee ndio wanaofanya maisha na single maza
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Kidogo ningejichanganya nikamuoa yule single Maza wa kimarangu sema nilishtuka nikatupa kule saivi Yuko na jamaa mmoja full stress
wewe ni kama hawa watalaamu wetu wa afya, wajumlisha mtu usiu usile Chakula kizoto, bila kujali watu wote hawafanyi kazi kazi ofisi ya kiyoyozi, kiti cha mataili na wala hawapandi gari lisilo na kelele na kyoyozi juu.Bora ubaki bila kuoa Ila sio kuoa mwanamke mwenye mtoto.
Wewe single mother ?Kwamba mwanamke aliyezaa kabla ya ndoa hafai sio? Hivi kati ya kuoa mwanamke aliyezaa na anayekuheshimu,na kuoa mwanamke ambaye hajazaa na akakuzalia mtoto wa nje ndani ya ndoa yako,kipi ni Bora?
Kwa nn mkuuSasa hivi ukitaka mwanamke unamjaza mimba kwanza
Fafanua kidogoSasa hivi ukitaka mwanamke unamjaza mimba kwanza
🤣 Kuna ukweli hapa😂 huku mitandaoni mnajifanya hamuwataki ila huko nje kutwa kuwanunulia watoto wao vijizawadi ili muwapate. Mimi binafsi sichagui chaka maana dini inasema tuwe na huruma kwa watoto wa kike.
Comment ya kipumbavu sana hiiDuh! wewe jamaa unapata dhambi ujue.
Kuna wengine hawakutaka ilikuwa shetani tu kawapoteza ndio wakaishia kuwa na watoto, wengine wameteleza lakini ni ma-waifu matirio kabisa.
Na kingine wanakuwa mamejufunza mengi ya kimaisha kwahiyo ukibahatika ukampata alietulia utafika nae mbali sana.
Unawaita 'wapigania uhuru' sawa ng'ang'ania hao 'wanamageuzi' wako.
Yeah single maza ni wanafiki sanaWanakuwa loyal sababu wenye watoto wao hawajarudi au kuna kitu wanafaidi kwako.
Mi kwa kweli siwezi oa aliyezalishwa, mwenye mtoto
Si nlikwambia hua unaponda ma single mothers.Wajinga sana, mabinti wabichi wapo ila mtu anangangania wapigania uhuru tena aliyezalishwa
Nyota ipi tena hiyo!Kama ana nyota nzuri kuzaa sio tija
Wapigania uhuru, Daaah sio poa!!Wajinga sana, mabinti wabichi wapo ila mtu anangangania wapigania uhuru tena aliyezalishwa
DuhWajinga sana, mabinti wabichi wapo ila mtu anangangania wapigania uhuru tena aliyezalishwa
Kwahiyo singo maza wako aliyekuzalia hautaki aolewe mkuu? Sisi wakataa ndoa inakaaje?Ni wanaume wapumbavu pekee ndio wanaofanya maisha na single maza