Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama umepangiwa kikombe cha kuwa na mwanamke aliyezalishwa hauchomoki, atazalishwa hata ndani ya ndoa..😂
Single maza ni laanaKwahiyo singo maza wako aliyekuzalia hautaki aolewe mkuu? Sisi wakataa ndoa inakaaje?
Ndelea kubamizwa na single mama hukoWapumbavu wewe na Ukoo wako wote.
Ahahah,ila wewe asee!!Kiongozi Kama umeoa basi Mungu akutangulie sana ila kama bado amini amini nakuambia utanasa kwa single mom.
Usimuachie laana mkuuKiongozi Kama umeoa basi Mungu akutangulie sana ila kama bado amini amini nakuambia utanasa kwa single mom.
🤣🤣🤣🤣🤣Ni Fibroids au wamemaliza mayai Kwa kuzitoa Hizo mimba Ili waolewe fresh?Hili suala nimeanza kulizingatia Kwa kweli. Maana nishakutana na watatu wote hawawezi kuzaa maana fibroids zimewamaliza hivyo Sasa nawafikiria singo Maza Kwa ukaribu sana [emoji23]
Fibroids maana wengi unakuta wanahangaikq kutafuta tiba. Time is coming single mother watakuwa kwenye chati we ngoja. Maana haya matumizi ya p2 yameshafika Kasi sana.😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣Ni Fibroids au wamemaliza mayai Kwa kuzitoa Hizo mimba Ili waolewe fresh?
NakaziaMwanaume timamu hata kama una watoto 5 nje ya ndoa unaanzaje kuoa mwanamke mwenye mtoto?
Kwamba mwanamke aliyezaa hata ukilala naye siku moja unashindwa kujua kwamba kazaa?
Unadanganywa kwamba sijazaa unakubali?
Mwanaume usikubali kuanza maisha na mwanamke mwenye mtoto
Labda kama unapasha tu !!!
Hata kama una watoto kumi nje ya ndoa oa mwanamke ambaye hajazalishwa!!
Mwanamke aliyezaa nje ya ndoa ana pepo la aliyemzalisha utasikia unajua yule baba yake na mwanangu alikuwa ananifanyia hivi alikuwa vile upuuzi upuuzi tu..!!!
Siwezi kuoa mwanamke ambaye amezaa aende kwa mumewe aliyemzalisha mtoto wa kwanza.!!
Mkuu ndoa sio kama kanuni kuwa 1+1=2 wangapi wameoa tena wanawake bikra lakini ndoa zimevunjika kisa wanawake kuwa mapepe!! Na wangapi wameoa wanawake wenye watoto lakini ndoa zikadumu?!! Hayo ni maneno ya vijiweniMwanaume timamu hata kama una watoto 5 nje ya ndoa unaanzaje kuoa mwanamke mwenye mtoto?
Kwamba mwanamke aliyezaa hata ukilala naye siku moja unashindwa kujua kwamba kazaa?
Unadanganywa kwamba sijazaa unakubali?
Mwanaume usikubali kuanza maisha na mwanamke mwenye mtoto
Labda kama unapasha tu !!!
Hata kama una watoto kumi nje ya ndoa oa mwanamke ambaye hajazalishwa!!
Mwanamke aliyezaa nje ya ndoa ana pepo la aliyemzalisha utasikia unajua yule baba yake na mwanangu alikuwa ananifanyia hivi alikuwa vile upuuzi upuuzi tu..!!!
Siwezi kuoa mwanamke ambaye amezaa aende kwa mumewe aliyemzalisha mtoto wa kwanza.!!
Aisee umenikumbusha mbali kuna jamaa angu alipata changamoto kwenye ndoa yake alikuwa anasema siwezi oa mke kutoka chuo fulani (kilikuwa kina supply upendo kwa wanamkoa husika) Mungu si Athumani baada ya divorce ya kwanza leo hii anaishi na kazaa na dada kutoka hicho chuo full kumsifia ni wife material inshort kwenye maisha tuweke akiba ya maneno hata kama moyoni kuna rules zetu, huwa siwezi kumkumbusha maana ni brother ninayemuheshimuKiongozi Kama umeoa basi Mungu akutangulie sana ila kama bado amini amini nakuambia utanasa kwa single mom.
Ila ma single mother wana upendo balaaMwanaume timamu hata kama una watoto 5 nje ya ndoa unaanzaje kuoa mwanamke mwenye mtoto?
Kwamba mwanamke aliyezaa hata ukilala naye siku moja unashindwa kujua kwamba kazaa?
Unadanganywa kwamba sijazaa unakubali?
Mwanaume usikubali kuanza maisha na mwanamke mwenye mtoto
Labda kama unapasha tu !!!
Hata kama una watoto kumi nje ya ndoa oa mwanamke ambaye hajazalishwa!!
Mwanamke aliyezaa nje ya ndoa ana pepo la aliyemzalisha utasikia unajua yule baba yake na mwanangu alikuwa ananifanyia hivi alikuwa vile upuuzi upuuzi tu..!!!
Siwezi kuoa mwanamke ambaye amezaa aende kwa mumewe aliyemzalisha mtoto wa kwanza.!!
Naoa tu hivyo hivyo hawana tofauti na ambao hawajazaa mkuu.Mwanaume timamu hata kama una watoto 5 nje ya ndoa unaanzaje kuoa mwanamke mwenye mtoto?
Kwamba mwanamke aliyezaa hata ukilala naye siku moja unashindwa kujua kwamba kazaa?
Unadanganywa kwamba sijazaa unakubali?
Mwanaume usikubali kuanza maisha na mwanamke mwenye mtoto
Labda kama unapasha tu !!!
Hata kama una watoto kumi nje ya ndoa oa mwanamke ambaye hajazalishwa!!
Mwanamke aliyezaa nje ya ndoa ana pepo la aliyemzalisha utasikia unajua yule baba yake na mwanangu alikuwa ananifanyia hivi alikuwa vile upuuzi upuuzi tu..!!!
Siwezi kuoa mwanamke ambaye amezaa aende kwa mumewe aliyemzalisha mtoto wa kwanza.!!