princess ariana haya makitu hayana formula. Unaweza kufanya due deligence nzuri sana lakini mambo yakabadika.Alipitaje kwenye mchujo wa kuwa mumeo???
😁😁😁😁Wanawake ni viumbe dhaifu... Unawasaidia tu kwenye topic kama hizi maana hawana idea😂
Mia na kuchepuka inahusiana vip mamndenyi?Mwanaume awe hana hata mia ila asichepuke,
Tukiachana na hilo Dr..
Kumuhudumia MTU yeyote is blessings in disguise
Kujitoa kwa MTU in positive way is blessings too.
MTU yeyote anayelalamika kuwa amechoka kumuhudumia mwanaume au mwanamke anakuwa na Ana shida kichwani kwa kuamini maisha ni kula , kuvaa na kulala.
Ameonesha immaturity
(kakosa ukomavu wa akili na hisia )
👏🏻👏🏻👏🏻😜Ulifungaje ndoa na wa hivi na wewe? Hata mahari aliweza kumudu?
Wenzio wa hivi tunawafanya mchepuko wa kudumu kama kweli tunampenda na shughuli anaiweza. Tunaolewa na family man, responsible man, baba mjengo, baba mwenye nyumba!
Żuri… Kweli?Hapo nilipopigia mstari hapo ndo anaangukia shemeji yetu!
Umeelewa mada ndugu?Sijajua vizuri, hivi ndoa maana yake ni Kwa mwanaume kumuhudumia Kwa kila kitu Mkewe hadi kumfikisha kileleni…? Na si kuwa na Team work katika familia, hayo ya Team work hayamuhusu mwanamke- yeye ni matonya hadi Yesu arudi au sijaelewa?
Ndo maana kataa ndoa wana point zao humu ndani…
Ukiacha hiki kiherehere cha kusolve matatizo yake uje sasa tuzungumze tujue cha kufanyai, yeye yupo yupo tu na pombe anakunywa shida haziishi kwake unaishia kusolve tu matatizo yake.
Kwani moto si anakupelekea au?Mi ninachojua kazi kubwa ya mwanaume ni kumpenda mkewe na kuhudumia ndio vitu pia vinavyoonesha upendo au kuna namna nyingine mimi sijui unielekeze?
Ndoa ni kila mtu kujitahidi kadri ya uwezo wake kwa uwezo aliopewa na Mungu kuchangia maendeleo ya familia.Sijajua vizuri, hivi ndoa maana yake ni Kwa mwanaume kumuhudumia Kwa kila kitu Mkewe hadi kumfikisha kileleni…? Na si kuwa na Team work katika familia, hayo ya Team work hayamuhusu mwanamke- yeye ni matonya hadi Yesu arudi au sijaelewa?
Ndo maana kataa ndoa wana point zao humu ndani…
Dada yako ni mtakatifu Mbingu ataiona. Niseme tu hivyo kwakweli! Sijioni nikielewa mwanaume asiyetaka kufanya kazi.Żuri… Kweli?
Ukiona ME ana abnormal behavior jua hayuko sawa kichwani. tumuombee shem wetu chance.
Dada yangu mmoja alipatwa na huu mtihani, mumewe alikuwa Lecturer mahali, gafla akaacha kazi, na hajaomba kazi kwa 11 years.. na sio kwamba alikuwa anafanya chochote, alianza tu kushinda home na kwenda kanisani tu. 2020 ndio amerudi kuwa sawa na kuanza kupambana upya.
DuuUlifungaje ndoa na wa hivi na wewe? Hata mahari aliweza kumudu?
Wenzio wa hivi tunawafanya mchepuko wa kudumu kama kweli tunampenda na shughuli anaiweza. Tunaolewa na family man, responsible man, baba mjengo, baba mwenye nyumba!