Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Atakuwa alijishindia biko. halafu inatakiwa ujue mume ndo anaye chuja.Alipitaje kwenye mchujo wa kuwa mumeo???
Inaweza ikawa ni sawa lkn sio sawa pia kwasababu hata iyo 50 ya mwanamke bado anaipambania majukumu anayafanya yote kama mwanamke mi naona ni akili tu bweteka kwasababu uhakika wa kuishi upoShida hii imechochewa na 50/50
muulize huyu mume alimtoa wapi mke wake anaemponda mtandaoni??Alipitaje kwenye mchujo wa kuwa mumeo???
😂😂😂😂Kweli Wanawake mnapenda harusi sana. Unaolewaje na mtu kama huyo ?
Tengua kauli kwanza hafanyi lolote tukikuuliza hakuzagamui utatujibuje? Hii ndio kazi ya kwanza ya mwanaume kuhakikisha unazagamliwa daily.Yani mwanaume hakuhudumii kwa chochote na amekuoa hajui mnakula nini, kodi inalipwaje yaani hakuna lolote anafanya.
Ukimwambia kuhusu kazi yeye haoni kama kuna kazi anaweza kufanya na sio kwamba labda amesoma ana vyeti ndani, yeye yupo yupo tu na pombe anakunywa shida haziishi kwake unaishia kusolve tu matatizo yake.
Je, kama wewe mwanamke unaweza kumvumilia? Wanaume mnalionaje hili na mnakaa nae kwenye vikao vya wanaume?
Tatizo mimi ni kidume cha mbegu umenitaja kwenye changamoto za wanawake mkuu 😁😁
Eee upo sawa 50-50 umeanza fanya kazi analalamika Nini ukute hata mwaka haijaisha ila sisi tuna wahudumia miaka yote Hadi basi Wala hatulalamiki popote😂😂😂Hapo wewe ndio umemuoa kwahiyo mvumilie huyo 'mkeo'.
Kuna wanawake wengi sasa hivi wamewakalia waume zao vichwani, wanataka full control ya kila jambo kwenye familia, mume hana nafasi kama baba ila mke ndiyo final say, matokeo yake wanaume wanapata frustration wanaamua kutafuta faraja ya pombeInaweza ikawa ni sawa lkn sio sawa pia kwasababu hata iyo 50 ya mwanamke bado anaipambania majukumu anayafanya yote kama mwanamke mi naona ni akili tu bweteka kwasababu uhakika wa kuishi upo
MHaya yote hukuyaona au hata dalili huko uchumbani??
Yalianza baada ya mahaliHaya yote hukuyaona au hata dalili huko uchumbani??
Duuuh,. Mwambie tu ukweli kipenzi kama umemchoka usiendelee kubeba mzigo moyoni na mwilini,. Dunia ya kwetu sote kwanini uteseke pekeyakoYalianza baada ya mahali
😂😂😂😂kama mazuriEee upo sawa 50-50 umeanza fanya kazi analalamika Nini ukute hata mwaka haijaisha ila sisi tuna wahudumia miaka yote Hadi basi Wala hatulalamiki popote😂😂😂
Shemeji mvumioie mwamba akipata kazi atakutunza mpaka ushangae. Wanaume wa aina hii wakipata kazi wanakuwa makini sana kwenye utunzaji wa .familia zao.Yani mwanaume hakuhudumii kwa chochote na amekuoa hajui mnakula nini, kodi inalipwaje yaani hakuna lolote anafanya.
Ukimwambia kuhusu kazi yeye haoni kama kuna kazi anaweza kufanya na sio kwamba labda amesoma ana vyeti ndani, yeye yupo yupo tu na pombe anakunywa shida haziishi kwake unaishia kusolve tu matatizo yake.
Je, kama wewe mwanamke unaweza kumvumilia? Wanaume mnalionaje hili na mnakaa nae kwenye vikao vya wanaume?
Yhn mwanamke akiomba kila kitumnachoka akianza kupata vimiambili na nyie ndio mnaweka miguu juu mnajisahauEee upo sawa 50-50 umeanza fanya kazi analalamika Nini ukute hata mwaka haijaisha ila sisi tuna wahudumia miaka yote Hadi basi Wala hatulalamiki popote😂😂😂
🤦♀️🤦♀️Mbona minaona huyo wako anaunafuu kuliko mimi...😞
Hakuna mwanaume anayechoka kuhudumia mke wake. Hata iwe vipi kikubwa tu mke ajue majukumu yake. Huwa tunaombwa Hadi 100 ya kununua sindano tunatoaYhn mwanamke akiomba kila kitumnachoka akianza kupata vimiambili na nyie ndio mnaweka miguu juu mnajisahau