Yo majesty
JF-Expert Member
- Sep 13, 2023
- 687
- 1,179
Wa kawe tumesahaulika wapi genta mzee ya makaburi 3Kuna sehemu huwa nikipita hapo dar naona kabisa kuliko niishi huko bora niendelee tu kuishi huku kijijini kwetu.maeneo ni machafu,msongamano wa watu ni mkubwa,kunanuka harufu mbaya,joto kali,tabia za ajabu ajabu,usalama hakuna,umasikini uliokithiri nk.
1.Manzese
2.Magomeni
3.Mburahati
4.Kigogo
5.tandale
6.Gongo la mboto
7.Mbagala
8.mwananyamala
9.Temeke
10.Buguruni
Mbona wewe unaishi kigogo halafu unauliza hili swali?Kuna sehemu huwa nikipita hapo dar naona kabisa kuliko niishi huko bora niendelee tu kuishi huku kijijini kwetu.maeneo ni machafu,msongamano wa watu ni mkubwa,kunanuka harufu mbaya,joto kali,tabia za ajabu ajabu,usalama hakuna,umasikini uliokithiri nk.
1.Manzese
2.Magomeni
3.Mburahati
4.Kigogo
5.tandale
6.Gongo la mboto
7.Mbagala
8.mwananyamala
9.Temeke
10.Buguruni
Unauliza kwa maana ya Jiografia, kiutawala au kiustaraabu.Kuna sehemu huwa nikipita hapo dar naona kabisa kuliko niishi huko bora niendelee tu kuishi huku kijijini kwetu.maeneo ni machafu,msongamano wa watu ni mkubwa,kunanuka harufu mbaya,joto kali,tabia za ajabu ajabu,usalama hakuna,umasikini uliokithiri nk.
1.Manzese
2.Magomeni
3.Mburahati
4.Kigogo
5.tandale
6.Gongo la mboto
7.Mbagala
8.mwananyamala
9.Temeke
10.Buguruni
Njoo kinondoni yetu uishi mzeeMaeneo yote uliyotaja kwakweli siwezi ishi bila kufika uswahilini kula kula maake, nimepiga mishe flani manzese na tandale nikiwa naishi sinza by then so ilikuwa unyama sana
Uswahilini ni raha
Wewe mbna unaishi mchafu kuoga na unasema upo mjiniiiiKuna sehemu huwa nikipita hapo dar naona kabisa kuliko niishi huko bora niendelee tu kuishi huku kijijini kwetu.maeneo ni machafu,msongamano wa watu ni mkubwa,kunanuka harufu mbaya,joto kali,tabia za ajabu ajabu,usalama hakuna,umasikini uliokithiri nk.
1.Manzese
2.Magomeni
3.Mburahati
4.Kigogo
5.tandale
6.Gongo la mboto
7.Mbagala
8.mwananyamala
9.Temeke
10.Buguruni
Basi kama umezaliwa Dar na kukulia Dar basi utakuwa ni shoga wa Sinza au mikocheni pale panapotuama maji.Nimezaliwa Dar nimekulia Dar, kwa kifupi sehemu kubwa ya Dar ni hovyo ila hayo maeneo ni hovyo zaidi ni takataka
π€£π€£π₯΄Mbona wewe unaishi Kigera-etuma na hatukuhoji?Waache wafe na mafuriko tule ubwabwa.
Endii zee Kwa Popo Bawa πKaribu sana Tandale kwa Tumbo
Mmh ila kiukweli ht mi Kuna maeneo dar siwezi ishiπ€£Kuna sehemu huwa nikipita hapo dar naona kabisa kuliko niishi huko bora niendelee tu kuishi huku kijijini kwetu.maeneo ni machafu,msongamano wa watu ni mkubwa,kunanuka harufu mbaya,joto kali,tabia za ajabu ajabu,usalama hakuna,umasikini uliokithiri nk.
1.Manzese
2.Magomeni
3.Mburahati
4.Kigogo
5.tandale
6.Gongo la mboto
7.Mbagala
8.mwananyamala
9.Temeke
10.Buguruni
Wewe Sasa umezidisha..Basi DAR HAUIJUI vizuri na kama sio hivo utakua mgeni wa jiji, kuna watu maeneo hayo wanamaisha mazuri kuliko wengi wa mbweni, goba , madale, mbezi beach na kadhalika na maeneo hayo hayo kuna sehemu kiwanja Tu bila bilioni moja bado hujakigusa ,
Hahaha hahaha duhBuguruni kuna mpaka dawa ya meno ya kupima.
Unaenda dukani na mswaki
Huyo hawezi kuwa mimi Mkuu πBasi DAR HAUIJUI vizuri na kama sio hivo utakua mgeni wa jiji, kuna watu maeneo hayo wanamaisha mazuri kuliko wengi wa mbweni, goba , madale, mbezi beach na kadhalika na maeneo hayo hayo kuna sehemu kiwanja Tu bila bilioni moja bado hujakigusa ,
Gongo la Mboto ni karibu zaidi na Kisarawe kuliko Dar mjini Mchafukoge.Kuna sehemu huwa nikipita hapo dar naona kabisa kuliko niishi huko bora niendelee tu kuishi huku kijijini kwetu.maeneo ni machafu,msongamano wa watu ni mkubwa,kunanuka harufu mbaya,joto kali,tabia za ajabu ajabu,usalama hakuna,umasikini uliokithiri nk.
1.Manzese
2.Magomeni
3.Mburahati
4.Kigogo
5.tandale
6.Gongo la mboto
7.Mbagala
8.mwananyamala
9.Temeke
10.Buguruni
π€£π€£π€£π€£π€£ wapi huko? wa migombani πLeo Kwa mara ya kwanza mtaaa naoishi umesahaulika