Hivi wanaoishi maeneo haya na wenyewe wanajiona kabisa wanaishi Dar?

Hivi wanaoishi maeneo haya na wenyewe wanajiona kabisa wanaishi Dar?

Kuna sehemu huwa nikipita hapo dar naona kabisa kuliko niishi huko bora niendelee tu kuishi huku kijijini kwetu.maeneo ni machafu,msongamano wa watu ni mkubwa,kunanuka harufu mbaya,joto kali,tabia za ajabu ajabu,usalama hakuna,umasikini uliokithiri nk.
1.Manzese
2.Magomeni
3.Mburahati
4.Kigogo
5.tandale
6.Gongo la mboto
7.Mbagala
8.mwananyamala
9.Temeke
10.Buguruni
Wa kawe tumesahaulika wapi genta mzee ya makaburi 3
 
Kuna sehemu huwa nikipita hapo dar naona kabisa kuliko niishi huko bora niendelee tu kuishi huku kijijini kwetu.maeneo ni machafu,msongamano wa watu ni mkubwa,kunanuka harufu mbaya,joto kali,tabia za ajabu ajabu,usalama hakuna,umasikini uliokithiri nk.
1.Manzese
2.Magomeni
3.Mburahati
4.Kigogo
5.tandale
6.Gongo la mboto
7.Mbagala
8.mwananyamala
9.Temeke
10.Buguruni
Mbona wewe unaishi kigogo halafu unauliza hili swali?
 
Alafu akishafukuzwa kwa shemeji anaanza kuuza mtaro
 
Zamani haya maeneo yalikuwa masafi sema nyie waluga luga mliotoka huko mbwinde ndio mlikuja chafua jiji letu
 
Kuna sehemu huwa nikipita hapo dar naona kabisa kuliko niishi huko bora niendelee tu kuishi huku kijijini kwetu.maeneo ni machafu,msongamano wa watu ni mkubwa,kunanuka harufu mbaya,joto kali,tabia za ajabu ajabu,usalama hakuna,umasikini uliokithiri nk.
1.Manzese
2.Magomeni
3.Mburahati
4.Kigogo
5.tandale
6.Gongo la mboto
7.Mbagala
8.mwananyamala
9.Temeke
10.Buguruni
Unauliza kwa maana ya Jiografia, kiutawala au kiustaraabu.

Naamini ulikulia mikoani na ukaaminishwa kwamba Dar ni pazuri sana.

Acha na huo ujinga, tafuta pesa. Kila mahali ni pazuri ukipatengeneza
 
Kuishi dar uswahilini kwenye Joto kali, usafiri shida, miundombinu mibovu , kiukweli bora kijijini kwenye kamjengo kako.
 
Kuna sehemu huwa nikipita hapo dar naona kabisa kuliko niishi huko bora niendelee tu kuishi huku kijijini kwetu.maeneo ni machafu,msongamano wa watu ni mkubwa,kunanuka harufu mbaya,joto kali,tabia za ajabu ajabu,usalama hakuna,umasikini uliokithiri nk.
1.Manzese
2.Magomeni
3.Mburahati
4.Kigogo
5.tandale
6.Gongo la mboto
7.Mbagala
8.mwananyamala
9.Temeke
10.Buguruni
Wewe mbna unaishi mchafu kuoga na unasema upo mjiniiii
 
Nimezaliwa Dar nimekulia Dar, kwa kifupi sehemu kubwa ya Dar ni hovyo ila hayo maeneo ni hovyo zaidi ni takataka
Basi kama umezaliwa Dar na kukulia Dar basi utakuwa ni shoga wa Sinza au mikocheni pale panapotuama maji.

Mjanja wa born here here hawezi kujivuna kwa ukaazi.
 
Kama umekaa mkoa muda mrefu kwa maisha safi safi, Dar huwezi kukaa
 
Kuna sehemu huwa nikipita hapo dar naona kabisa kuliko niishi huko bora niendelee tu kuishi huku kijijini kwetu.maeneo ni machafu,msongamano wa watu ni mkubwa,kunanuka harufu mbaya,joto kali,tabia za ajabu ajabu,usalama hakuna,umasikini uliokithiri nk.
1.Manzese
2.Magomeni
3.Mburahati
4.Kigogo
5.tandale
6.Gongo la mboto
7.Mbagala
8.mwananyamala
9.Temeke
10.Buguruni
Mmh ila kiukweli ht mi Kuna maeneo dar siwezi ishi🤣
 
Basi DAR HAUIJUI vizuri na kama sio hivo utakua mgeni wa jiji, kuna watu maeneo hayo wanamaisha mazuri kuliko wengi wa mbweni, goba , madale, mbezi beach na kadhalika na maeneo hayo hayo kuna sehemu kiwanja Tu bila bilioni moja bado hujakigusa ,
Wewe Sasa umezidisha..
Kiwanja bilioni?
😂😂😂😂
 
Basi DAR HAUIJUI vizuri na kama sio hivo utakua mgeni wa jiji, kuna watu maeneo hayo wanamaisha mazuri kuliko wengi wa mbweni, goba , madale, mbezi beach na kadhalika na maeneo hayo hayo kuna sehemu kiwanja Tu bila bilioni moja bado hujakigusa ,
Huyo hawezi kuwa mimi Mkuu 😎
 
Kuna sehemu huwa nikipita hapo dar naona kabisa kuliko niishi huko bora niendelee tu kuishi huku kijijini kwetu.maeneo ni machafu,msongamano wa watu ni mkubwa,kunanuka harufu mbaya,joto kali,tabia za ajabu ajabu,usalama hakuna,umasikini uliokithiri nk.
1.Manzese
2.Magomeni
3.Mburahati
4.Kigogo
5.tandale
6.Gongo la mboto
7.Mbagala
8.mwananyamala
9.Temeke
10.Buguruni
Gongo la Mboto ni karibu zaidi na Kisarawe kuliko Dar mjini Mchafukoge.
 
Back
Top Bottom