Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Watu hawajielewiKwenda tu kumlaki Mfalme Hangaya watu wanalipwa!
Kwa hizo njaa mtaani lazima wajae tu
NB: Pale Arusha watu wanajazana kisindikiza msafara wa Geodavie hata wasiosali kanisani kwake.
Usicho kijua ni kwamba rais akija mkoani kwako basi ujue UWT na UVCCM wa mikoa jirani wanasafirishwa bure kutoka huko walikoInawezekanaje Wananchi wanaoshindwa kununua chumvi na Sukari waweze kutengeneza Mabango ya Mapokezi yenye picha ya Rais kwa wingi namna hii ?
Hebu Jionee hawa wa Mtwara , halafu toa maoni yako .
Wazalendo wenye njaaWananchi wazalendo
CCM inapumulia kwapani hapo Mtwara.Inawezekanaje Wananchi wanaoshindwa kununua chumvi na Sukari waweze kutengeneza Mabango ya Mapokezi yenye picha ya Rais kwa wingi namna hii ?
Hebu Jionee hawa wa Mtwara , halafu toa maoni yako .
Aiseeeee !!!!Usicho kijua ni kwamba rais akija mkoani kwani baso ujie UWT na UVCCM wa mikoa jirani wanasafirishwa bure kutoka huko waliko
Nafikiri umeelewa kwa nini tunaitwa wadanganyikaInawezekanaje Wananchi wanaoshindwa kununua chumvi na Sukari waweze kutengeneza Mabango ya Mapokezi yenye picha ya Rais kwa wingi namna hii ?
Hebu Jionee hawa wa Mtwara , halafu toa maoni yako .
NishaelewaNafikiri umeelewa kwa nini tunaitwa wadanganyika
Mabango yameandaliwa Dar kwenda kutumika mtwaraWazalendo wenye njaa
Daah ! noma sana !Mabango yameandaliwa Dar kwenda kutumika mtwara