KIXI
JF-Expert Member
- Mar 3, 2015
- 1,955
- 2,465
Mbona naona wengine wana vijora vimeandikwa CUF au ccm na cuf wameunganaInawezekanaje Wananchi wanaoshindwa kununua chumvi na Sukari waweze kutengeneza Mabango ya Mapokezi yenye picha ya Rais kwa wingi namna hii?
Hebu Jionee hawa wa Mtwara , halafu toa maoni yako.
View attachment 2749217View attachment 2749218View attachment 2749220View attachment 2749221View attachment 2749222