Hivi wanaompokea Rais Samia kwenye ziara zake ni Wananchi au ni Chawa?

Hivi wanaompokea Rais Samia kwenye ziara zake ni Wananchi au ni Chawa?

Mambo kama haya kunakuwa na combination ya mambo mengi. Matumizi ya fedha, mkumbo wa kijinga, uhamasishaji, ushamba na ulimbukeni, kutokuwa na kazi za kufanya nk. Halafu wengi ni wale wasiojua hata leo jioni watakula nini. All in all, Tanzania bado watu hawajajua correlation kati ya maisha yao na siasa. Wanachukulia siasa kama ushabiki wa mpira ambao timu ifungwe au ifunge, haisadii chochote kwenye kipato chao.
Kazi kubwa inayowakabili CHADEMA tokea sasa hadi chaguzi zijazo, ni kujaribu kupunguza idadi ya hawa wajinga miongoni mwetu.
Njia pekee ya kujaribu hili ni kutumia viongozi wa chdema walioko huko mashinani kujaribu kutoa elimu kwa hawa watu. Kuna watakaoelewa miongoni mwao.
 
Kazi kubwa inayowakabili CHADEMA tokea sasa hadi chaguzi zijazo, ni kujaribu kupunguza idadi ya hawa wajinga miongoni mwetu.
Njia pekee ya kujaribu hili ni kutumia viongozi wa chdema walioko huko mashinani kujaribu kutoa elimu kwa hawa watu. Kuna watakaoelewa miongoni mwao.
Kazi imeanza miezi 24 iliyopita na ndio maana imekuwa rahisi sana kwenye oparesheni 255
 
Chawa wote hao hamna lolote hapo

Ingependeza kama tungeona wananchi kama wananchi wasio na sare wala mabango ya MCHONGO lakini hayo wafanyayo ni maigizo Tu

Yale yale ya kuwatengenezea mabango wamasai wa Ngorongoro na kuwakusanya wayashike wapige picha na waandishi wa habari.

Hii nchi hii
 
Ulienda lini na ukaambiwa kuwa hawana uwezo wa kununua chumvi na sukari. Hata hivyo lazima ufahamu ya kuwa Rais samia anakubalika sana na kupendwa sana na mamilioni ya watanzania.ndio maana kila anapokwenda anapokelewa na umati mkubwa sana wa wananchi.
 
Kejeli nimejibu kwa hekima
Maana kwa akili za kawaida huezi uliza huo upuuzi na hali waona hao ni watz wenzako
Watanzania waliovaa sare?soma swali vizuri ili uweze kujibu kuna mapokezi ya wananchi wa kawaida kabisa wakiwa hawajavalia sare wala mabango ya kutengenezwa ingependeza tungeona hayo lakini si hiki katika hizo picha hawa wamejipanga bwana tusidanganyane
 
Ulienda lini na ukaambiwa kuwa hawana uwezo wa kununua chumvi na sukari. Hata hivyo lazima ufahamu ya kuwa Rais samia anakubalika sana na kupendwa sana na mamilioni ya watanzania.ndio maana kila anapokwenda anapokelewa na umati mkubwa sana wa wananchi.
Aliwahi kuchaguliwa lini na wapi , ikiwa kwenye ubunge kikwajuni aliangukia pua ?
 
Ulienda lini na ukaambiwa kuwa hawana uwezo wa kununua chumvi na sukari. Hata hivyo lazima ufahamu ya kuwa Rais samia anakubalika sana na kupendwa sana na mamilioni ya watanzania.ndio maana kila anapokwenda anapokelewa na umati mkubwa sana wa wananchi.
Ila kumbuka kwamba alikataa mabango ya kero za wananchi badala yake anataka mabango yanayomsifia.
Na 'chawa' kawaida yao ni kwenda na upepo unapoelekea hawana 'query' ni waelewa sana wanajua kucheza na akili ya kiongozi husika!
 
Maskini bodaboda wamenunaaa dah

Kwa bei ya petrol kwa lita hapa nchini hivi sasa, ndio uone bodaboda walivyo na upendo kwa viongozi kwa kuweka mafuta vyombo vyao na kujitokeza kwa wingi kwenye nsafara.
Hao wenye nyoyo za ujasiri wa aina hii kuridhika moyoni na kuwa na amani kwamba wanapendwa na kukubalika kiasi hiko.
 
Ni wananchi. Kama Mwamposa tu ana wafuasi ndo iwe Rais wa nchi? Hao ni wananchi wazalendo waliokataa propaganda za kina Mbowe.
 
Back
Top Bottom