Mbona naona wengine wana vijora vimeandikwa CUF au ccm na cuf wameunganaInawezekanaje Wananchi wanaoshindwa kununua chumvi na Sukari waweze kutengeneza Mabango ya Mapokezi yenye picha ya Rais kwa wingi namna hii?
Hebu Jionee hawa wa Mtwara , halafu toa maoni yako.
View attachment 2749217View attachment 2749218View attachment 2749220View attachment 2749221View attachment 2749222
Kazi kubwa inayowakabili CHADEMA tokea sasa hadi chaguzi zijazo, ni kujaribu kupunguza idadi ya hawa wajinga miongoni mwetu.
Njia pekee ya kujaribu hili ni kutumia viongozi wa chdema walioko huko mashinani kujaribu kutoa elimu kwa hawa watu. Kuna watakaoelewa miongoni mwao.
Nyoko anajisifia kumuokoa samaki aliyekua anazama majiniKwa bei ya petrol kwa lita hapa nchini hivi sasa, ndio uone bodaboda walivyo na upendo kwa viongozi kwa kuweka mafuta vyombo vyao na kujitokeza kwa wingi kwenye nsafara.
Hao wenye nyoyo za ujasiri wa aina hii kuridhika moyoni na kuwa na amani kwamba wanapendwa na kukubalika kiasi hiko.
Yuko sambamba na Mmawia wa Ufipa stLucas yupo hapo naona
Ova
Bila ya kupepesa macho, Hao wameandaliwa na tena kwa bajeti maalum, iliyowezehsakupatikana kwa haya mabango na fulana Hivyo sio wanachi, kama hawa pichani hapa chini.Inawezekanaje Wananchi wanaoshindwa kununua chumvi na Sukari waweze kutengeneza Mabango ya Mapokezi yenye picha ya Rais kwa wingi namna hii?
Bila ya kupepesa macho, Hao wameandaliwa na tena kwa bajeti maalum, iliyowezehsakupatikana kwa haya mabango na fulana Hivyo sio wanachi, kama hawa pichani hapa chini.
View attachment 2749616
---
View attachment 2749617
Inawezekanaje Wananchi wanaoshindwa kununua chumvi na Sukari waweze kutengeneza Mabango ya Mapokezi yenye picha ya Rais kwa wingi namna hii?
Hebu Jionee hawa wa Mtwara , halafu toa maoni yako.
View attachment 2749217View attachment 2749218View attachment 2749220View attachment 2749221View attachment 2749222
Acheni pesa iongee kama aliweza kuweka mabango nchi nzima atashindwaje kisehemu kidogo kama kusiniInawezekanaje Wananchi wanaoshindwa kununua chumvi na Sukari waweze kutengeneza Mabango ya Mapokezi yenye picha ya Rais kwa wingi namna hii?
Hebu Jionee hawa wa Mtwara , halafu toa maoni yako.
View attachment 2749217View attachment 2749218View attachment 2749220View attachment 2749221View attachment 2749222
Acha kutukana watuKunguni,mende,kenge,mamba,mizoga,ndege,nyoka,vibwengo,wajinga na mambumbu
Ukifika milembe watu watakupa jina gani.ccm Ina kipi kwa watu waina hiyo zaidi ya kuendekeza ujinga tu sio watu makiniAcha kutukana watu
Inawezekanaje Wananchi wanaoshindwa kununua chumvi na Sukari waweze kutengeneza Mabango ya Mapokezi yenye picha ya Rais kwa wingi namna hii?
Hebu Jionee hawa wa Mtwara , halafu toa maoni yako.
View attachment 2749217View attachment 2749218View attachment 2749220View attachment 2749221View attachment 2749222
wewe kwa akili yako unaona kabsa rais yupo sawa sawa tuanzie hapo kwanza...Ukiuliza mtu wa chadema kwann tumchukie rais atakuambia kauza nchi [emoji81][emoji81]sababu nyingine hana
Ukirejea sababu aliyekupa nayo ni uongo
Hela ya DP WORLD inakazi gani? Huoni Kitenge Kawa taahila fulani
Humo kuna chawa na wajinga.Inawezekanaje Wananchi wanaoshindwa kununua chumvi na Sukari waweze kutengeneza Mabango ya Mapokezi yenye picha ya Rais kwa wingi namna hii?
Hebu Jionee hawa wa Mtwara , halafu toa maoni yako.
View attachment 2749217View attachment 2749218View attachment 2749220View attachment 2749221View attachment 2749222