Wanateseka sana aisee..Inawezekanaje Wananchi wanaoshindwa kununua chumvi na Sukari waweze kutengeneza Mabango ya Mapokezi yenye picha ya Rais kwa wingi namna hii?
Hebu Jionee hawa wa Mtwara , halafu toa maoni yako.
View attachment 2749217View attachment 2749218View attachment 2749220View attachment 2749221View attachment 2749222
Juhudi ziongezwe zaidi, kazi hiyo ni ngumu sana kama unavyojionea mwenyewe hata humu JF; kunaibuka akina 'Lucas' wa kila aina kila siku.Kazi imeanza miezi 24 iliyopita na ndio maana imekuwa rahisi sana kwenye oparesheni 255
Yani mama anadanganwa nae anona sawa tu, ccm hacheni uhuni nawambia mtakufa midomo waziInawezekanaje Wananchi wanaoshindwa kununua chumvi na Sukari waweze kutengeneza Mabango ya Mapokezi yenye picha ya Rais kwa wingi namna hii?
Hebu Jionee hawa wa Mtwara , halafu toa maoni yako.
View attachment 2749217View attachment 2749218View attachment 2749220View attachment 2749221View attachment 2749222
Hii "nyomi" ni wapi ilikuwa!!??Bila ya kupepesa macho, Hao wameandaliwa na tena kwa bajeti maalum, iliyowezehsakupatikana kwa haya mabango na fulana Hivyo sio wanachi, kama hawa pichani hapa chini.
View attachment 2749616
---
View attachment 2749617
Ccm wanapenda number lakini hawajui hesabuInawezekanaje Wananchi wanaoshindwa kununua chumvi na Sukari waweze kutengeneza Mabango ya Mapokezi yenye picha ya Rais kwa wingi namna hii?
Hebu Jionee hawa wa Mtwara , halafu toa maoni yako.
View attachment 2749217View attachment 2749218View attachment 2749220View attachment 2749221View attachment 2749222
Watu wapo kimipangilio (organised) hawakurupuki.Inawezekanaje Wananchi wanaoshindwa kununua chumvi na Sukari waweze kutengeneza Mabango ya Mapokezi yenye picha ya Rais kwa wingi namna hii?
Hebu Jionee hawa wa Mtwara , halafu toa maoni yako.
View attachment 2749217View attachment 2749218View attachment 2749220View attachment 2749221View attachment 2749222
Hi ni nzuri.
Hahahaha, kwishasambaratika huko, watu wamenyimana posho za kila siku kibabe.Hi ni nzuri.
Njoo na huku Kusini (Ruvuma, Mtwara, Lindi) pamoja na Pwani.
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Ma shaa AllahWafanyakazi wote wa umma wamelazimishwa kujitokeza kumpokea
Inawezekanaje Wananchi wanaoshindwa kununua chumvi na Sukari waweze kutengeneza Mabango ya Mapokezi yenye picha ya Rais kwa wingi namna hii?
Hebu Jionee hawa wa Mtwara , halafu toa maoni yako.
View attachment 2749217View attachment 2749218View attachment 2749220View attachment 2749221View attachment 2749222
DJ mboweBila ya kupepesa macho, Hao wameandaliwa na tena kwa bajeti maalum, iliyowezehsakupatikana kwa haya mabango na fulana Hivyo sio wanachi, kama hawa pichani hapa chini.
View attachment 2749616
---
View attachment 2749617
Kwa hizo Tshirt hapo inaonekana kabisa wamepangwa sio wameenda kwa hiar yao wenyeweInawezekanaje Wananchi wanaoshindwa kununua chumvi na Sukari waweze kutengeneza Mabango ya Mapokezi yenye picha ya Rais kwa wingi namna hii?
Hebu Jionee hawa wa Mtwara , halafu toa maoni yako.
View attachment 2749217View attachment 2749218View attachment 2749220View attachment 2749221View attachment 2749222
Kudhani kuwa ccm mama samia haina wafuasi ni kujidanganyaInawezekanaje Wananchi wanaoshindwa kununua chumvi na Sukari waweze kutengeneza Mabango ya Mapokezi yenye picha ya Rais kwa wingi namna hii?
Hebu Jionee hawa wa Mtwara , halafu toa maoni yako.
View attachment 2749217View attachment 2749218View attachment 2749220View attachment 2749221View attachment 2749222