Hivi wanawake pesa zenu mnapelekaga wapi? Badilikeni!

Lengo la mwanamke kuumbwa lilikuwa ni KUMSAIDIA mwanaume. Ukiona mkeo sio msaada kwako, jitafakari sana na uchukue hatua.


YESU KRISTO NI BWANA NA MWOKOZI
Kusaidiana sawa lakini sio kwenye pesa, wewe tafuta tutumie sote, yaani ukipigia hesabu pesa ya mwanamke utalala mlango wazi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hawa wanawake wa sasa hivi ni kenge sana. Ukiwa nae kuwa makini uwr bandidu.
 
Sio mtaalqm wa biblie ila inasema mwanamke ataacha familia yake na kuwa mwili mmoja na mume wake. Sio sahihi sana ila linamaanisha hivyo iweje nimemuoa analipwa kisha hela yote apeleke kwao na sio kusaidia tu. Wanawake wana roho mbaya sana.
 
Ubarikiwe sana kwa kutupa pongezi, tunapitia magumu sana hawajui tu!
 
Ndio 1.3 per month ikatikie hapo?
Inabidi jamaa achunguze hizo hela anapeleka wapi? Isijekuwa anawahonga wanaompelekea moto vizuri maana jamaa hawajibiki vizuri kwenye 6 kwa 6.
 
ubarikiwe kwa kutambua mchango wetu kwenye jamii,mtoa mada anawivu wake tu unamsumbua
 
hatubadiliki
Mbadilike msijione wajanja otherwise mtajazana jehanam .

Mungu anawaona. Mungu alimuumba Hawa kutoka ubavu wa Adam ili awe msaidizi wake. Nakazia yaani awe msaidizi wa adam mume wake sasa wewe hutaki kumsaidia mumeo maana ya unapingana na aliekuumba ngojeni mkale kichapo jehanam na akili zenu mbovu.
 
Mkuu huwa nasikia tu kwa watu aya mambo kumbe yapo kweli, namshukuru mungu nimepata mke ambae sio mbinafsi ananisaidia kipindi nakuwa niko juu ya mawe
Hongera sana mkuu ila usiendekeze michepuko maana umepata mke bora na sio bora mwanamke.
 
Sio mtaalqm wa biblie ila inasema mwanamke ataacha familia yake na kuwa mwili mmoja na mume wake. Sio sahihi sana ila linamaanisha hivyo iweje nimemuoa analipwa kisha hela yote apeleke kwao na sio kusaidia tu. Wanawake wana roho mbaya sana.
Mkuu uwe mwelewa basi. Did you really read between the lines? Simtetei mwanamke hapa hata kidogo. Nilichosema mimi ni kwamba people should be careful when searching or choosing life partners.

Maana matokeo ndo haya. Sidhani kama haya mambo mwenye thread alikuwa anayazingatia kabla ya kuoa..sijui ST. Anyways naomba nikucorrect..sio mwanamke atakayeacha nyumba ni mwanaume.. soma Mwa 2:24 period...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…