Kusaidiana sawa lakini sio kwenye pesa, wewe tafuta tutumie sote, yaani ukipigia hesabu pesa ya mwanamke utalala mlango wazi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Lengo la mwanamke kuumbwa lilikuwa ni KUMSAIDIA mwanaume. Ukiona mkeo sio msaada kwako, jitafakari sana na uchukue hatua.
YESU KRISTO NI BWANA NA MWOKOZI
Hongera kwa kuchakata koneksheni mkuuMimi sitooa,na sitaki mahusiano nao kabisa ila mbususu napiga kama kawaida.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kaka hawa ni mashetani wenye mbususu tamu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hawa wanawake wa sasa hivi ni kenge sana. Ukiwa nae kuwa makini uwr bandidu.Siku moja nipo site napiga mishe sasa nilikuwa kweny ICD fulani nakagua container bahati mbaya simu yangu kali Samsung S9 plus ilidondoka jamaa wa forklift hajaiona akakanyanga ila aliniomba excuse sana mpaka nikaona poa kwa kweli haifai kabisa nikatoa line kibaha kariakoo nikachukua kiswadu cha bontel elfu 20 fasta niwasiliane na mteja
Ghafla message inaingia naomba uniagaiwe pesa ya Kama 50k matumizi hakusema nikamwambia jamani hata salamu tujuliane hali kwanza "aah sorry ' vip anajibebisha nikamwambia yote kuhusu simu 'ndo maana meseji WhatsApp hujibu" nikamwambia ndio akasema "sawa"
Balaa anasema sasa pesa utanitumia saa ngapi au niifuate ***** zake kwa kweli hata pole
Kipindi gani??Achana na pesa ya mwanamke kama umeoa ipo siku utaifaidi tu
Wanawake kama hao wanapatikana bar au kwenye mitandao.Hivi wanawake kama hao mnatoa wapi [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kuoa ni ufala we piga mbususu tu
Nakupongeza kwa kuongea kweli.Wanawake sie ni wabinafsi sana... Kupata mwanamke mwenye utu na utulivu ni Kazi sana
Umechoka kukaa uraiani!!!mwengine kashauza nchi na pesa kashinda kugawia masai wa ngorongoro
Hata hawa wenye kazi zao wanaotuzidi kipato nao hawana pesa?Pesa zipi?
Wanawake hawana hela Mkuu.
Sio mtaalqm wa biblie ila inasema mwanamke ataacha familia yake na kuwa mwili mmoja na mume wake. Sio sahihi sana ila linamaanisha hivyo iweje nimemuoa analipwa kisha hela yote apeleke kwao na sio kusaidia tu. Wanawake wana roho mbaya sana.Laiti kama tungelijua neno la Mungu. The word says katika Mith 14:1 "Kila mwanamke aliye na hekima hujenga nyumba yake...." Nadhani kama watu tungewekeza kwenye kulijua neno lililo msingi wa familia this shit isingetokea. Tukiadvice tunaonekana walokole sana lakini ndo mbomoko wa familia huanzia hapa.
My take..if the family wants success as an entity tusimtaje Mungu mdomoni au kwenye kutype tu..embu tumtafute kweli maadam anapatikana, neno linasema Kwa maana wale waliitao jina la Bwana ndio watakaookoka. Kama ni mwanaume utapata mke bora (sio mkamilifu) lakini bora wa kiwango cha Standard Gauge....lakini if you as a man hutaki kusuccumb to your master akupe mke bora wa maisha yako..unatumia vigezo unavyovijua wewe fine if you get lucky haya..ila if you are not..haloooo ndo malalamiko hapa..hayataisha
#nimaonitu#
Ubarikiwe sana kwa kutupa pongezi, tunapitia magumu sana hawajui tu!Najaribu kufikiria bila mwanamke dunia ingekuwaje aisee!
Barikiweni sana wakinamama wote japo tunapandikiziwa sana sumu juu yenu lakini toka ndani ya moyo wangu nawathamini mno japo mna mapungufu mengi sana, na hayo mapungufu ndio yanakamilisha ubinadamu wetu, binadamu bila mapungufu hajawa binadamu.
Alimuoa kwa sababu walipendana na wanagongana vizuri pengine dem ana figa nzuri akavutiwa na hakumchunguza tabia.Yule jamaa anAfeli Sana kwann alienda kuoa mke aliyemsidi kipato
Inabidi jamaa achunguze hizo hela anapeleka wapi? Isijekuwa anawahonga wanaompelekea moto vizuri maana jamaa hawajibiki vizuri kwenye 6 kwa 6.Ndio 1.3 per month ikatikie hapo?
ubarikiwe kwa kutambua mchango wetu kwenye jamii,mtoa mada anawivu wake tu unamsumbuaNajaribu kufikiria bila mwanamke dunia ingekuwaje aisee!
Barikiweni sana wakinamama wote japo tunapandikiziwa sana sumu juu yenu lakini toka ndani ya moyo wangu nawathamini mno japo mna mapungufu mengi sana, na hayo mapungufu ndio yanakamilisha ubinadamu wetu, binadamu bila mapungufu hajawa binadamu.
Mbadilike msijione wajanja otherwise mtajazana jehanam .hatubadiliki
Hongera sana mkuu ila usiendekeze michepuko maana umepata mke bora na sio bora mwanamke.Mkuu huwa nasikia tu kwa watu aya mambo kumbe yapo kweli, namshukuru mungu nimepata mke ambae sio mbinafsi ananisaidia kipindi nakuwa niko juu ya mawe
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mkuu mapenzi ayo ukute mwamba kamkubali sana manzi ake
Mkuu uwe mwelewa basi. Did you really read between the lines? Simtetei mwanamke hapa hata kidogo. Nilichosema mimi ni kwamba people should be careful when searching or choosing life partners.Sio mtaalqm wa biblie ila inasema mwanamke ataacha familia yake na kuwa mwili mmoja na mume wake. Sio sahihi sana ila linamaanisha hivyo iweje nimemuoa analipwa kisha hela yote apeleke kwao na sio kusaidia tu. Wanawake wana roho mbaya sana.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mkuu hebu ifafanue kidogo hiyo ni tamu sana.Miaka si Mingi mwanamke atajumuishwa kwenye aina za Ugaidi.