Hivi wanawake shida ni nini lakini?

Labda wageni na mambwataa, [emoji23][emoji23][emoji23]e
Yaan damu ya hedhi ndo iwe tiba, usawa huu? Woiiiiih
 
Kiukweli kitaani hali ni mbaya, yaani mbaya saana na usiombe yakukutee.
Unakuta watu wameoana,wanapendana lakini ghaflaa mabalaa yanaanza,ugomvi usioisha,kufilisika,kupoteza kazi mpaka unaanza kujuta kuoa/kuolewa.
Vijana wamejawa wivu na tamaa yuko tayari akateketeze pesa zake ilimradi tuu akuvurugie maisha.
"SIKU HIZI WACHAWI WENGI SIO WAZEE"
 
Magonjwa ya akili ni tatizo Kwa taifa letu 😐
 
Cc Chizi Maarifa
 
Wengi tu mbona
Ila SI mnataka pisi
Endeleeni
Na ibada hamtaki.walokole mnawananga, [emoji1787]
Achana na wanaojifanya walokole wapo na utawajua tu
Yan mtu aache kuopoa pisi kisa ayo maujinga ambayo hayapo? Mbona mimi silogwi na sijawahi kulogwa na kima yoyote?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…