Hivi wanawake wa siku hizi wanajali kuhusu show kali au cha muhimu hela tu?

Hivi wanawake wa siku hizi wanajali kuhusu show kali au cha muhimu hela tu?

Again sheria za kiroho Accord to utashi wako au kitabu Cha wayahudi wa kale ambao walikuwa hawajui dunia linazunguka jua
Kwenye maswala ya kiroho sijaona sehemu wakizungumzia maswala ya jua kuzunguka dunia, siju gravitational motion, rotation dynamics, centripetal and centrifugal force zaidi ya kuziona kwenye Nelkon,Roger nk.

Au may be ww kwenye kitabu chako umeona?.
 
ABBF5958-9700-4F39-BE34-A92E72BEAFAA.jpeg
 
KWa kizazi hiki cha wanaume kama mabinti ni mahusiano ya kijana na Mungu kwanza
Pia marinda yapooo.......
Tatu Maono ya familia,watoto ukoo na kizazi chake
 
Jamani, nimeona siku hizi kuna wimbi kubwa la wanawake kutoka na wababa na kuwa na mahusiano kwa ajili ya hela tu na mpaka unakuta mdada slay Ila chumbani hana kitu cha maana anachofanya.

Inaonekana mademu hawa hawana experience ya show kalo coz wanatiwa na kulipwa ka malaya na vibabu so hawana mtu wa kuwapa mahaba niue.

Je, wanawake siku hizi wanajali kuridhishana kimapenzi au cha msingi wanapata malipo baada ya BAO moja la dakika tano waende kujirusha nazo?
Nyakati za teknolojia hizi, nguvu kidogo mazao mengi, kwa nini wajichoshe?
 
Kwenye maswala ya kiroho sijaona sehemu wakizungumzia maswala ya jua kuzunguka dunia, siju gravitational motion, rotation dynamics, centripetal and centrifugal force zaidi ya kuziona kwenye Nelkon,Roger nk.

Au may be ww kwenye kitabu chako umeona?.
Sawa kwa vile Biblia haisemi jua kuzunguka dunia na nyota kua Kama taa angani zinaweza kuangushwa kwa mkia wa dragon, jua kusimama ili mtu ashinde vita, jua kurudi nyuma, all these show Biblia imeandikwa na watu wasio na maarifa. Sasa pastor wako hawezi kukuambia haya coz anataka sadaka yako Ila ndo hivyo soma kitabu chako hamna uroho wowote so plz usikilete as reference
 
siku hizi kuna screaming fake mwanaume akisikia anajua amefanya kazi vizuri kumbe hama lolote
 
Jamani, nimeona siku hizi kuna wimbi kubwa la wanawake kutoka na wababa na kuwa na mahusiano kwa ajili ya hela tu na mpaka unakuta mdada slay Ila chumbani hana kitu cha maana anachofanya.

Inaonekana mademu hawa hawana experience ya show kalo coz wanatiwa na kulipwa ka malaya na vibabu so hawana mtu wa kuwapa mahaba niue.

Je, wanawake siku hizi wanajali kuridhishana kimapenzi au cha msingi wanapata malipo baada ya BAO moja la dakika tano waende kujirusha nazo?


Mwanamke anataka kitu amacho humpi, au hapati, ukizingatia mwanamke utakufa maskini au siku si zako
 
Back
Top Bottom