RRONDO
JF-Expert Member
- Jan 3, 2010
- 55,727
- 123,094
Naona umeanza kuchemka. Ungeshughulisha kidogo ubongo wako kabla ya kuja kuwatuhumu watz ingekuwa bora zaidi.Mkuu hebu kwanza toa negativity uliyonayo kichwani halafu ubongo wako uuruhusu kujifunza "otherwise" utaendelea kutokunielewa.