Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 78,790
- 128,275
Weka mfano hapa tuuchambue.Sasa njoo uwasikilize wabongo utachoka mwenyewe. Kila sehemu yenye kuhitaji kutumia "unless" pekee lazima wasema "unless otherwise".
Tushaona kuna sehemu "unless otherwise" inatumika kwa usahihi.