Cytochrome p450
JF-Expert Member
- Mar 19, 2019
- 5,638
- 15,044
- Thread starter
- #41
Yaah ni nzuri nayo. Humo ndani yupo yule Sara tancredi wa Prison BreakKuna. Kitu kinaitwa colony icho ndo kinafata baada ya PB
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaah ni nzuri nayo. Humo ndani yupo yule Sara tancredi wa Prison BreakKuna. Kitu kinaitwa colony icho ndo kinafata baada ya PB
Wapumbavu sana Wanatunyima burudani kwa mibifu yao ya kishenziMwaka 2018 January Fox walitangaza kuwa season six itakuwepo lakini kukatokea kamgogoro kati ya Fox na Disney hiyo mwaka jana 2019 August wakatangaza kuwa wame cancel season six.
Lakini producers wa PB wanakuambia "never say never for the future".
The Wire inahusu nini mkuu ebu idadavue kiufupiWengi wadandiaji tu hawajui kitu wanafata mkumbo kusifia ujinga.
Mfano kama The Wire nauhakika ni asilimia chache sana ya watu wameiona hii show. Bonge moja la show.
Money Heist haifikii hata Breaking Bad
Kinahusu nini mkuu, ebu kielezee kwa ufupi.Kuna. Kitu kinaitwa colony icho ndo kinafata baada ya PB
Asante .. kitambo sana niliiangalia hii
Dah! Mzee unakumbukumbu sana.. Haipingwi mkuu!Moto wa PB haugusiki wazee... Matukio ya michael scofield yalikuwa well arranged na ye ndo organizer mkuu...
Mf;
~kwenye s1, katika hali ya kawaida ilikuwa ni ngumu kuamini kuwa jamaa angemtumia pope kiasi cha kuruhusu bro ake aachiwe
~s2 licha ya kutokufanya ubaya wa kusema ni mwenye hatia lakini alienda kutubu dhambi zake baada ya kuiba ile compas
~s3 pale sona wakati wanatoroka, wakina Bellick, T-Bag na yule kiongozi wao wakang'ang'ania kuwa wa kwanza kutoka, naye akawaruhusu... kumbe wao walikuwa chambo bana, hahaha! nilipapenda sana hapa "and this is a plan" wakati mwanzo aliwaambia umeme utakata sekunde 30 na ndo inabid watumie hizo kusepa... alijua wenye kiherehere watapatikana tu
~s4 kwny kuiba cylla, card ya general alijua lazima itajileta tu, na general akabaki anamshangaa kapata wapi kadi nyingine 5?
~s5 poseidon hakuamin mchezo aliofanyiwa na scofield, kachora macho mikononi km passcode, kamfanyia flaming ya tukio alilofanyiwaga na mwisho kapropose awekwe chumba kimoja na t-bag kule gerezan
mzee profesa angenaswa episode ya 2 tu mzee maana alikuwa yupo jirani na eneo la tukio,wakati michael alikuwa mexico dakika 0 tu akamtimbiakama mahone angekuwa yupo money heist profesa angekamatwa episode ya tatu tu